Wasanii ambao wapenzi wao hawajulikani

Wasanii ambao wapenzi wao hawajulikani

Hahahaha binamu wewe sio mzima.Yani yule mwenye kisauti kama demu sijui ndio anaitwaje yani ananikeraga kwa kuingiza maswali wakati mtu bado hajamaliza kueleza lenyewe unakuta limeishadandia kuuliza swali jingine

Mi naiitaga misukule ya salama, maana salama ndo anawabeba, yani mijanaume mizima ila salama anawazidi skills na swagga, yani hawajawahi kunoga wale, wapo wapo tu kama misukule, sijui salama anawapendeaga nini, si bora waniweke warumi mie nadhan kipindi kitanoga, maana jamaa hawajuagi vitu vingi kuhusu mastaa ndio maana uwa wanang'aa masharubu tu
 
Last edited by a moderator:
Miss gan? Labda miss neddy

ni kweli anatoka na mshiriki wa miss tz, japo sikushika jina lake lakini alikwisha muaanikaga kwenye kipindi cha planet bongo, tena akasema its a longest relationship he had never have.
 
Last edited by a moderator:
bora huyo fetty angalau alishaonekanaga na mabovu, salama sasa, ndio anaeumiza vichwa vya watu hapa.

BInamu salama sio mtu mzuri yule, wala usikae nae karibu, anakoboa na kusigina vintuntuni vya wanawake wenzie
 
ni kweli anatoka na mshiriki wa miss tz, japo sikushika jina lake lakini alikwisha muaanikaga kwenye kipindi cha planet bongo, tena akasema its a longest relationship he had never have.

Longest relationship ya miez tisa? Kwel ben kibok
 
Kwa fikra hizi za wapiga kura.....sishangai CCM kuendelea kubaki madarakani..
 
jamani kwanini hakumpaga mimba tuuuu, huwezi amini natamani vipi kumuona salama mimba, heheheheee uuuwiiii!!!

sasa hv ni ngumu maana salama ni lesboo full
alikua anamtongoza denti fulani pale jangwani tukisimama fire kituoni anamfata kumuimbisha
na kuna dada alikua na saloon kinondoni maarufu tu alikua anamfukuzia sana mpaka mdada alikua analia ana sera yake HUPATI MIMBA WALA UKIMWI UKIWA NA MIMI
na amefundishwa mchezo na yule mtoto wa dr..machache kipindi anaanza kazi maana yule bosi ndo michezo yake
 
Back
Top Bottom