Wasanii Bongo Fleva na ajenda za ushoga

Freemason hawahusiki na hao jamaa kuliwa gololi labda useme imani zao zingine tu za giza ila Freemason msiwasingizie.
Hizo mambo za masharti sijui ni chai iliyolala, haiingii akilini.
 
Mtueleweshe na sisi ni nguo ipi hapo inaashiria ushoga?
 
Taasisi husika ipo likizo! Hongera sana kwa kuliona hilo. Hatuwezi kumchekea mamba, ilihali naye anacheka. Madhara yake ni makubwa sana kuna siku tutashindwa kujua asili ya tamaduni yetu ni ipi.
 
Hii agenda unaeisambaza ni ww mleta uzi.

Watu kibao hawajaelewa ubaya wa hiyo picha mpaka mmeanza kuwafafanulia na si ajabu hawajaelewa ubaya wa hizo nguo za rangi rangi.

Mtoto gani anaelewa maana ya hizo rangi za upinde wa mvua?? Kama haupo kwenye hayo mambo si rahisi kuelewa kitu kuhusu hilo labda uwe mmoja wao ama mfatiliaji mzuri.

Mboso kama ni mmoja wa machoko basi kafikisha ujumbe kwa machoko wenzie sisi tusio machoko huo ujumbe hautuhusu.
Angali video enjoy basi, na imani watu kibao hawajaweka akilini hiyo ishu, hata mm wala sikuiwazia mpaka nimeukuta huu uzi wako hapa.
 
Acha ujinga ww, tatizo huondolewa moja baada ya jingine, ameanza na na hilo la kwanza, likiwa solved litafuata jingine kupata utatuzi.
 
Wewe ushawahi kuwa freemasons?? Maana kwa ushuhuda unaotoa utasema na wewe ni mwanachama mstaafu, acha kusimulia ulichosimuliwa kwa watu ambao nao wamesimuliwa
 
Basi hata wamasai na wagogo nao ni machoko?si wanavaa hereni
Kwahiyo tuwaige uliyowataja wawe role model wetu?
Nikukumbushe kuwa kuna baadhi ya mila ni nzuri lakini nyingine hazifai kuigwa na hata wanaoziendeleza ikitokea umekaa nao waelimishe waziache.

Mfano,kukeketa,kurefusha masikio n.k ni mambo ya asili kwa baadhi ya jamii.Je,tuyaendeleze eti kisa ni asili yao??
 
Na lengo lake limetimia alikua anataka kuanzishiwa thread kama hivi
 
Sidhani kama upo sahihi,
Hii ndo inaitwa kupuuzia mambo,na ukweli hali hii tunayosana watanzania.
Mbona kanisa,miskiti(hapo mwanzo) ilikuwa ikipinga matumizi ya kondomu,kwani walokuwa wanazuia walikuwa wakizitumia pia?
Mbona ukikutwa na madawa/bangi unakamatwa,basi usikamatwe kisa anayeenda kukukamata hajawahi tumia?
Plse leta hoja yako kwa njia nyingine!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…