Wasanii Jifunze kwa yaliyompata Irene Uwoya. Ni baada ya Malezi mabovu, watu wamempandia hewani hadi kutoa machozi

Wasanii Jifunze kwa yaliyompata Irene Uwoya. Ni baada ya Malezi mabovu, watu wamempandia hewani hadi kutoa machozi

mgt software

JF-Expert Member
Joined
Nov 1, 2010
Posts
13,778
Reaction score
7,145
Wana Jf

Ukisikia mwanakuyatafuta na mwanakuyapata Ni pale msanii maarufu baada ya kuposti picha chafu za kumdhalilisha mwanae wa kiume mavazi ya kike na kumpamba mithili ya like. Wanamitandao walichukizwa na kitendo kile na kuanza kumtukana wakitaka ajirekebishe, matusi Yale yalimtikia mwanae kiasi kwamba alijirekodi akionya wanaomfatilia akitishia kuwashitaki ikiwa wataendelea.

Hata hivyo akiwa anatoa onyo alionyesha kusikitika kwake mamayake alivyobanishwa na jamii naye kuanza kutoa machozi kwa majina wanayoanza kumuita mapema. Mpaka tunaenda mitandaoni wajuba waliahakikisha ujumbe unafika na mtoto na mama yamewauhuzunisha
 
Mkuu weka picha bas
Mkuu we can't breath here in Tanzania!
1592575.jpg
 
This is bullying kwa mtoto... wamkosoe watakavyo mamake, mtoto is just a victim

Bad enough anazidi kumsubject to this bullying kwa kumruhusu kuangalia hayo matusi na kumjibia mamake...this is child abuse.
 
Yaan bongo katoto kakiwa kazuri wanakaita shoga loo
Inategemea mama anavyomtayarisha. Sasa mama anamvalisha heleni. Kibukta cha kike , miguuni viatu vya kike uo Ni uzuri au uzwazwa. Alaf kwanini watu wachukie kwa kile walichokiona na kutoa mwongozo. Yeye sio handsome wakwanza wapo wengi mno
 
Yule ana mpoteza kabisa Mambo ambayo anatakiwa afanye mama yake anafanya yeye
 
Back
Top Bottom