Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kazuri gani midomo Kama KYaan bongo katoto kakiwa kazuri wanakaita shoga loo
Umeonaee wazuri wapo wengi hatutaki kuwapostiKazuri gani midomo Kama K
Ukiwaona wanangu utasemaje
This is bullying kwa mtoto... wamkosoe watakavyo mamake, mtoto is just a victim
Bad enough anazidi kumsubject to this bullying kwa kumruhusu kuangalia hayo matusi na kumjibia mamake...this is child abuse.
Mbona Kendrick Mabeste yupo vizuri lkn hajawahi itwa hivyo mkuuYaan bongo katoto kakiwa kazuri wanakaita shoga loo
Sio kweli kama unabisha tuzae wakwetu mimi na wewe uone kama ataitwa hivyo.Yaan bongo katoto kakiwa kazuri wanakaita shoga loo
Kwakweli kaleta chukizo LA kutia hasila, kuna sehemu mama anasema tatizo mtoto amenifanana kila kitu. Nikaona huo uzwazwa , kwa hiyo anatamani wampasue wamuwekee pupuchi ili wakadange wote. Hapo Katauti Marehemu asingekubali. Mtoto wa Kirundi kumfanyia hivyo aiseeKwani watu si wana mjadili yeye kwa kumtumia mtoto wake...wakati yeye ndiyo kampost? Acha akome
Kwakweli kaleta chukizo LA kutia hasila, kuna sehemu mama anasema tatizo mtoto amenifanana kila kitu. Nikaona huo uzwazwa , kwa hiyo anatamani wampasue wamuwekee pupuchi ili wakadange wote. Hapo Katauti Marehemu asingekubali. Mtoto wa Kirundi kumfanyia hivyo aisee
Mkuu we can't breath here in Tanzania!View attachment 1486306
Huyu anatakiwa astaafu kuigiza awe mfanyabiashara labda maana ni mwaribigubwa maadili.Hivi huyo Uwoya si ndiye aliwahi kumfanyia 'make up' Dogo Janja na kumfanya awe na mwonekano wa kike kipindi fulani mahaba yakiwa moto moto?
View attachment 1486629
Kumbe ni tabia yake hii?Hivi huyo Uwoya si ndiye aliwahi kumfanyia 'make up' Dogo Janja na kumfanya awe na mwonekano wa kike kipindi fulani mahaba yakiwa moto moto?
View attachment 1486629
huu ujinga mkipotezwa mnaanza kulialia!Mkuu we can't breath here in Tanzania!View attachment 1486306
Tupotezwe na nani?We are in the land of our mothers and fathers![emoji847][emoji847][emoji847]
wewe sio mwoga atiiiiTupotezwe na nani?We are in the land of our mothers and fathers![emoji847][emoji847][emoji847]