John Fedha
JF-Expert Member
- Jul 2, 2018
- 624
- 717
Umpoteze mtu kwa ajili ya katuni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
.Mkuu we can't breath here in Tanzania!View attachment 1486306
Photoshop ni propaganda dhaifu na ya kitoto.Mnafanya kazi dhaifu ambazo hamjatumwa na CCM.Mmeamua kujituma wenyewe kufanya propaganda dhaifu ili kuiaibisha na kuiangusha CCM.
Hii sio PhotoshopPhotoshop ni propaganda dhaifu na ya kitoto.Mnafanya kazi dhaifu ambazo hamjatumwa na CCM.Mmeamua kujituma wenyewe kufanya propaganda dhaifu ili kuiaibisha na kuiangusha CCM.
Wala hii sio PhotoshopPhotoshop ni propaganda dhaifu na ya kitoto.Mnafanya kazi dhaifu ambazo hamjatumwa na CCM.Mmeamua kujituma wenyewe kufanya propaganda dhaifu ili kuiaibisha na kuiangusha CCM.
Kwa nini mnatumia propaganda dhaifu za photoshop?!Ina maana wapinzani hawana maovu ya kweli wanayofanya ambayo mnaweza kutumia kama propaganda sahihi?!Ni mmekosa akili kisa ni CCM?Wala hii sio PhotoshopView attachment 1487251
Sio PhotoshopKwa nini mnatumia propaganda dhaifu za photoshop?!Ina maana wapinzani hawana maovu ya kweli wanayofanya ambayo mnaweza kutumia kama propaganda sahihi?!Ni mmekosa akili kisa ni CCM?
Yaaan wee acha tu dea, hadi inashangaza kwa kweli lol.Yaan bongo katoto kakiwa kazuri wanakaita shoga loo
Yaaan wee acha tu dea, hadi inashangaza kwa kweli lol.
😂😂😂😂🤣🤣🤣Mkuu we can't breath here in Tanzania!View attachment 1486306
Katoto kashoga kale alafu kana tishia watu maisha kapuuzi kabisaWana Jf
Ukisikia mwanakuyatafuta na mwanakuyapata Ni pale msanii maarufu baada ya kuposti picha chafu za kumdhalilisha mwanae wa kiume mavazi ya kike na kumpamba mithili ya like. Wanamitandao walichukizwa na kitendo kile na kuanza kumtukana wakitaka ajirekebishe, matusi Yale yalimtikia mwanae kiasi kwamba alijirekodi akionya wanaomfatilia akitishia kuwashitaki ikiwa wataendelea.
Hata hivyo akiwa anatoa onyo alionyesha kusikitika kwake mamayake alivyobanishwa na jamii naye kuanza kutoa machozi kwa majina wanayoanza kumuita mapema. Mpaka tunaenda mitandaoni wajuba waliahakikisha ujumbe unafika na mtoto na mama yamewauhuzunisha
Katoto kashoga kale alafu kana tishia watu maisha kapuuzi kabisa
Kwa nini mnatumia propaganda dhaifu za photoshop?!Ina maana wapinzani hawana maovu ya kweli wanayofanya ambayo mnaweza kutumia kama propaganda sahihi?!Ni mmekosa akili kisa ni CCM?
Anaye mtesa mtoto ni huyo anayempost na kumrekodi kila mara.This is bullying kwa mtoto... wamkosoe watakavyo mamake, mtoto is just a victim
Bad enough anazidi kumsubject to this bullying kwa kumruhusu kuangalia hayo matusi na kumjibia mamake...this is child abuse.
Mtoto mzuri ndo apakwe lipstick?Yaan bongo katoto kakiwa kazuri wanakaita shoga loo
So akamfate babake makaburini akalelewe naye?Yule mtoto amesha haribika hata kuongea ni shida....mtoto amekuzwa kama mwanamke kabisa! Uwoya ana vuna anachopanda!
Baba ana umuhimu sana kwenye malezi ya mtoto hasa wa kiume ladba mama awe na akili nzuri lakini asiwe na utahira kama Uwoya
Mtoto mzuri ndo apakwe lipstick?
Na kuvishwa viatu vya kike?
Alipost ili asifiwe tu.Amfiche mwanaye.Wametukanwa watoto wa Jay z sembuse yeye.
Ndio maana wenzie wanaficha watoto wao.