Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jayz yeye kasema alimbusu kwa upendoOrodha ni ndefu sana kuanzia justin bieber mpaka Lil bow wow,
Orodha ni ndefu sana,na wameanza kujitaja na kutajana baada ya kugindua mamlaka ina ushahifi wa wapakwa mafuta wote ,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Jayz yeye kasema alimbusu kwa upendo
Kadai ilikua bahati mbayaJayz yeye kasema alimbusu kwa upendo
😂🤣🤣🤣 Akae kwa kutuliaJayz yeye kasema alimbusu kwa upendo
Ana label kubwa ya mziki na yenye ushawishi mkubwa wa kutoboa,pia wana studioKwani huyo Diddy alikua na nguvu kiasi gan ktk muziki wa [emoji631].
had hao wasanii kuharibiwa nae? LOL
Ana label kubwa ya mziki na yenye ushawishi mkubwa wa kutoboa,pia wana studio ya kuzalisha mzikiKwani huyo Diddy alikua na nguvu kiasi gan ktk muziki wa [emoji631].
had hao wasanii kuharibiwa nae? LOL
Nasikia na haka kajamaa ka hapa Bongo kalienda kupakwa wese na huyu mwamba!Orodha ni ndefu sana kuanzia justin bieber mpaka Lil bow wow,
Orodha ni ndefu sana,na wameanza kujitaja na kutajana baada ya kugindua mamlaka ina ushahifi wa wapakwa mafuta wote ,
Nasikia na haka kajamaa ka hapa Bongo kalienda kupakwa wese na huyu mwamba!
Au ni story tu za vijiweni?
Hadi Dola milion 50Aisee umaarufu unasakwa kweli kweli.....hivi alikuwa anatoa bei gani ukimpatia linda?