Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani pale Kawe watu wanapakwa mafuta kuna nguvu gani ???Kwani huyo Diddy alikua na nguvu kiasi gan ktk muziki wa [emoji631].
had hao wasanii kuharibiwa nae? LOL
Aisee...kama ndio hivyo waliopakwa wese siwalaumu hiyo hela ndefu sana mzeeHadi Dola milion 50
Jay Z anahusishwa kama Mshirika na sio mtendwa, ana scandal zake nayeJayz yeye kasema alimbusu kwa upendo
Hapo mkuu wanakuwa blackmailed,Aisee umaarufu unasakwa kweli kweli.....hivi alikuwa anatoa bei gani ukimpatia linda?
Diddy sio Alpha na yeye alikua akitumika tu na hao waliokuwa wanawa control Wasanii, list ni ndefu mpaka Viongozi wa siasa na maraisi. Diddy hana ubavu kum blackmail Kamala, Trump ama mtu kama Prince wa Uingereza.Kuna kitu hakipo Sawa kwenye story hii!
Inawezekanaje Kila mtu aliyeenda kwa Didy aliwe liwati kimzaha mzaha hivyo?
Walikuwa wanalazimishwa au kwa hiari yao!
Kwanini walikubali?
🤔
Now thats wat am talking about! Kwenye hela usilete wivu wakingese...wacha mke agegedwe mpate million 100. Dah kumbe beyonce bonge la wife! Itakuwa walipiga threesome hawa bwana🤣🤣🤣🤣
kabisa uko sahihiDiddy sio Alpha na yeye alikua akitumika tu na hao waliokuwa wanawa control Wasanii, list ni ndefu mpaka Viongozi wa siasa na maraisi. Diddy hana ubavu kum blackmail Kamala, Trump ama mtu kama Prince wa Uingereza.