Dr Dre
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 2,664
- 2,810
Usiamini kila kitu mtandaoni . This is AI generated
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usiamini kila kitu mtandaoni . This is AI generated
Wewe mwehu usituharibie uzi maana umeanza na uwakala sijui nini wengine watsema they sold their souls to devil😂😂Kuna watu hawa watatu ni mawakala wa shetani:-
1.didy
2.jay z
3.rick ross
Mwendo ni ule ule mpaka Jela, Maafande kazi wanayo.
View attachment 3106190
Kwani we rinda walikotoaje?Kwani huyo Diddy alikua na nguvu kiasi gan ktk muziki wa [emoji631].
had hao wasanii kuharibiwa nae? LOL
Duh! Miaka ya 90?Diddy tayari kashamalizwa ,hachomoki tena huyo ,maana kuna tuhuma za ubakaji hadi za miaka ya 90.
Rungu litatembezwa huko huko.Diddy tayari kashamalizwa ,hachomoki tena huyo ,maana kuna tuhuma za ubakaji hadi za miaka ya 90.
Hahahah hapo ilikuwa ni mwendo wa “tlofu tlofu tlofu tlofu” noma sana ndiyo maana tunashauriwa kurithika na vipato vyetu.jamaa katili yaani jamani mtu kama mtandale mti mkavu hata kalio hana au mtu sura ngumu kama Burna jamaa hajali anatindua. duuh inataka moyo wa kijambazi
Kinakera zaidi hawa wajinga ni Blacks,kupitia wapumbavu kama hawa hatuwezi tena kujitofautisha na weupe.Hakuna bahati mbaya hao wanatifuana mzee wanaume mdendeke mmmh
Dah noma kweli kweli!Nimesikia hapa Burnaboy
Yaaani! Anasisitiza kabisa ishughulikiwe tu..Dah noma kweli kweli!
Kwamba bUrna Bway na sura lake lile alivutwa mbavu na Diddy kisha ”pah pah pah pah pah” huku akigugumia ?
Mafuta yalikuwa yanamsaidiaKwani huyo Diddy alikua na nguvu kiasi gan ktk muziki wa [emoji631].
had hao wasanii kuharibiwa nae? LOL
Mmhh 🙌ngachoka
Devil kingdomHuyu mtu ana nguvu Gani? mbona habari ni nyingi sana