Wasanii mbambali wanaohusishwa na P-Diddy waanza kutajana na wengine kujitaja

Wasanii mbambali wanaohusishwa na P-Diddy waanza kutajana na wengine kujitaja

Hv watu ni kwamba tuna matatizo ya akili ama nn. Upo radhi utafute pesa hata Kwa kufirwa uwe na pesa nyingi. Yaan uwe na pesa nyingi ili bia ya elfu mbili ukakae mazingira ya kuinunua elfu kumi, msosi wa buku kumi ukakae maeneo ya kukinunua laki moja, au utembelee gari la milioni mia nne badala ya la milioni sitini, au uweze kuchangia tukio milioni mia watu wakuone wa maana wakati umetokea kuingiziwa paipu. Hii Dunia sahani Ina Kila aina ya uchafu na usafi wake ni wewe tu uamue unapakua nini
 
jamaa katili yaani jamani mtu kama mtandale mti mkavu hata kalio hana au mtu sura ngumu kama Burna jamaa hajali anatindua. duuh inataka moyo wa kijambazi
Hahahah hapo ilikuwa ni mwendo wa tlofu tlofu tlofu tlofu” noma sana ndiyo maana tunashauriwa kurithika na vipato vyetu.
 
Back
Top Bottom