Wasanii mbambali wanaohusishwa na P-Diddy waanza kutajana na wengine kujitaja

Wasanii mbambali wanaohusishwa na P-Diddy waanza kutajana na wengine kujitaja

Orodha ni ndefu sana kuanzia justin bieber mpaka Lil bow wow,
Orodha ni ndefu sana,na wameanza kujitaja na kutajana baada ya kugindua mamlaka ina ushahifi wa wapakwa mafuta wote ,
Kujitaja co shida, ila msingi wa kujitaja kwao wanaweka wazi? Mana wacje wakafunikafunika kombe tu kama ndugu yetu Chai Jaba.
 
Hili nalo neno...aisee kwa hiyo pdaddy alimkula linda jz na bby wake kama vile anasolve simultaneous equation🤣🤣🤣🤣
Aisee dunia ina mambo
Jay Z ni kama demu wake wa siku zote, Ila hii ya kumuingiza na Beyonce!! Huenda labda kabla hawajaoana mwamba alishakula ngoma labda ndio maana inakuwa rahisi hivyo kama ni kweli, Ila ya Jigga na Diddy walikulana denda mbele ya Blue, Blue akakimbilia kusema kwa mama yake, Jigga akaanza kukachunia katoto kwanini kamemwambia Mama wakati ilikuwa ni normal Kissing, Kiufupi mtoto hakupenda kuona tukio hilo.
 
Back
Top Bottom