cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Ooooh kumbeee.Ana label kubwa ya mziki na yenye ushawishi mkubwa wa kutoboa,pia wana studio ya kuzalisha mziki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ooooh kumbeee.Ana label kubwa ya mziki na yenye ushawishi mkubwa wa kutoboa,pia wana studio ya kuzalisha mziki
Si umeambiwa, umaarufu ktk carrier yako Dunia nzimaa.Aisee umaarufu unasakwa kweli kweli.....hivi alikuwa anatoa bei gani ukimpatia linda?
Mimi bado siamini, nahisi ni mitazamo ya wabongo kushadadia mambo hayoKwani huyo Diddy alikua na nguvu kiasi gan ktk muziki wa [emoji631].
had hao wasanii kuharibiwa nae? LOL
Diddy ni tofauti na mwamposa, wee unaona ni sawa?Kwani pale Kawe watu wanapakwa mafuta kuna nguvu gani ???
Lakini mbona alikuwa hali linda za mademu hapo ndio nashindwa elewaSi umeambiwa, umaarufu ktk carrier yako Dunia nzimaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wee em sema kwelii? LolUnataka kujua nguvu yake?!
Tumuulize kamara harisi
Maana nae alisambaziwa upendo wa futa. Hili jambo ni zaidi ya jinsi linavyopigiwa kelele kwenye media
Duuuh hatariiii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]masonic are very powerful in dark realm.,
shetani anakwambia: "unataka umaarufu wa dunia hii? unataka pesa na fahari ya dunia hii?" njoo kwangu.
YESU NI KRISTO
Woiiiiiih!! [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nikama katika ccm tu kuna
MAKOMREDI aka MABASHA na
MAKADA aka MASHOGA
Wamesemaa waja wa Dunia.Nani kasema wameharibika?
Oooh kumbeee.Wakala wa freemason
Na wewe ni wakala wa nani ? au ni wakala wa Mpesa ?Kuna watu hawa watatu ni mawakala wa shetani:-
1.didy
2.jay z
3.rick ross
Wacha tusubiri, muda utasemaa.Mimi bado siamini, nahisi ni mitazamo ya wabongo kushadadia mambo hayo
FreemasonsLakini mbona alikuwa hali linda za mademu hapo ndio nashindwa elewa
Bila shaka huyo RC ni Paulo Makonda au wengine wanamuita BashiteOgopa sana mtu anayetaka kuonekana mwema. Huyo Diddy alikuwa na kampeni yake mitandaoni ya kusambaza upendo (LOVE) hadi mwanae akamwita LOVE. Kumbe ni mshenzi mno. Hana tofauti na RC fulani ambaye hujifanya ni mkristo kuliko Yesu.
Wenye connection za freemason wanipe na mie niwe na shehena ya vilainishi chumbani ila mie utajiri sitakiFreemasons
Hichi kitu ccm kipo ,japo kinafanywa sirini, lakini wakati ni ukutaNikama katika ccm tu kuna
MAKOMREDI aka MABASHA na
MAKADA aka MASHOGA
Fake storiesUnataka kujua nguvu yake?!
Tumuulize kamara harisi
Maana nae alisambaziwa upendo wa futa. Hili jambo ni zaidi ya jinsi linavyopigiwa kelele kwenye media
Kama wao wenyewe wanakulana watashindwaje kumla Threesome Beyonce!Now thats wat am talking about! Kwenye hela usilete wivu wakingese...wacha mke agegedwe mpate million 100. Dah kumbe beyonce bonge la wife! Itakuwa walipiga threesome hawa bwana🤣🤣🤣🤣