The Loyalty King
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 1,298
- 2,124
Kmmk 🤣🤣🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kmmk 🤣🤣🤣🤣🤣
😂Mdau anataka kujua alikuwa anatoa sh ngapi ,ukijua itakuwaje?
🤣Nitakua tajiri nambari moja duniani alisikika CEO wa wasafi midia
View attachment 3105745
🤣🤣🤣🤣🤣Now thats wat am talking about! Kwenye hela usilete wivu wakingese...wacha mke agegedwe mpate million 100. Dah kumbe beyonce bonge la wife! Itakuwa walipiga threesome hawa bwana🤣🤣🤣🤣
HahahaAkila mvua za maisha mikoba atamwachia nani?
Halafu huu msurulu wa kesi zinazo mkabili huwenda alimpaka mafhta mtu ambaye hakustahili kwa lazima? Na huyo mtu ndie anaye injinia kila kitu nyuma ya pazia?
😂🤣Mtu maarufu anajiita Daddy alafu unategemea iweje
Hiyo sauti mbona sijaisikia 😂😂Nasubiri Nifah aanze kutumwagia facts hapa JF.
Sauti ya Burner Boy imesikika akinegotiate mkataba.
Najua ya kijana wetu nayo itatujia.
Very shame
Si kalisema kenyewe kwamba yaliyotokea huko hayafai kuweka hadharani 😂😂😂Nasikia na haka kajamaa ka hapa Bongo kalienda kupakwa wese na huyu mwamba!
Au ni story tu za vijiweni?
Baada yakupakwa wese alikaagwa au alibanikwa.?Nasikia na haka kajamaa ka hapa Bongo kalienda kupakwa wese na huyu mwamba!
Au ni story tu za vijiweni?
Itakuwa anataka kuchukua "fursa" hiyo....Mdau anataka kujua alikuwa anatoa sh ngapi ,ukijua itakuwaje?
Hapana. Hili jina lipo kimkakatiBraza haya mengine mnayataka wenyewe.
Majina yapo mengi mbona.
Achana na hili jina.
Sii kilainishi kipo jamani...wee chupa zote zile za bby oil 🤣🤣🤣🤣
Ila sasa nielewesheni yeye mademu alikuwa hawali linda ni wanaume tuu au jinsia zote yeye anapiga rough road.??
Kwani hao walioliwa linda chanzo sii hela mwanawane....wanavaa nepi lakini wapo ndani ya range rover au austin martin db9 mzeyaHaya bana.. kweli hela mwanaharamu.
Hongera aisee..Kwani hao walioliwa linda chanzo sii hela mwanawane....wanavaa nepi lakini wapo ndani ya range rover au austin martin db9 mzeya
Ila mzeya turidhike na hivi vilaki vya waajiri wetu...tamaa mbaya aliimba twenty percentHongera aisee..
Record label yenyewe inaitwa Bad Boy Records! Hivi kweli tutegemee kuwe na jema kweli!Ana label kubwa ya mziki na yenye ushawishi mkubwa wa kutoboa,pia wana studio ya kuzalisha mziki
kama wana nguvu kiasi hicho cha kublackmail mpaka wanasiasa wakubwa inakuaje wameshindwa kulizima hili sakata. Yani vipolisi vya L.A vinawezaje kufichua maovu ya watu wenye nguvu ya kublack mail mpaka rais, au kuna mwenye nguvu pia yuko nyuma ya vipolisi vya L.ADiddy sio Alpha na yeye alikua akitumika tu na hao waliokuwa wanawa control Wasanii, list ni ndefu mpaka Viongozi wa siasa na maraisi. Diddy hana ubavu kum blackmail Kamala, Trump ama mtu kama Prince wa Uingereza.