Wasanii mbambali wanaohusishwa na P-Diddy waanza kutajana na wengine kujitaja

Wasanii mbambali wanaohusishwa na P-Diddy waanza kutajana na wengine kujitaja

Akila mvua za maisha mikoba atamwachia nani?

Halafu huu msurulu wa kesi zinazo mkabili huwenda alimpaka mafhta mtu ambaye hakustahili kwa lazima? Na huyo mtu ndie anaye injinia kila kitu nyuma ya pazia?
jamaa katili yaani jamani mtu kama mtandale mti mkavu hata kalio hana au mtu sura ngumu kama Burna jamaa hajali anatindua. duuh inataka moyo wa kijambazi
 
Back
Top Bottom