Wasanii toka Arusha acheni kujibagua na kupigania mkoa badala ya taifa

Wasanii toka Arusha acheni kujibagua na kupigania mkoa badala ya taifa

Mtoa mada wewe ni ndo mbaguzi tena biased.

Wakati hapa Dar East Coast kutokea pande za Upanga wanabaguana na Wanaume kutoka Temeke nao walikua watu wa Arusha sio? We ni Kijana wa hovyo hovyo sana
East Coast na TMK walikuwa kibishara zaidi. Ukiangalia East Coast ilikuwa na members ambao walikuja Dar ukubwani kwa mfano AY, FA na O Ten... ila ukienda kwa members wa makundi ya Arusha ni kwamba wote wamezaliwa na kukulia Arusha. Kibaya zaidi hawataki kabisa kuingiza members wa mkoa tofauti na wao. Hiyo hali imefanya muziki wa Arusha kuwa duni sana usiovuka mipaka. Nenda tu hapo Malawi huwezi sikia nyimbo za Weusi na makundi mengine ya Arusha... nje ya mipaka yetu utasikia tu WCB, na wasanii wengine chipukizi wanaofanya vizuri kama Ali Kiba, Nandy na Aslay.
 
Washamba sana hawa mapopoma. Kuna sehemu wana ukanda na ukabila zaidi ya kanda ya ziwa? Stress zao za kufeli kwao maisha wazipeleke Chato wakaona namna kiongozi mkuu wa nchi alisema nyumba za watu wa mwanza hazibomolewi wakati huo huo dar watu vilio.
Wanajisahaulisha mapema sana Hawa watu
 
Acha ujinga wewe. Kwaio akina weusi hawapo kibiashara? We jamaa umekula maharagwe ya wapi.

Kwa taarifa yako mambo ya ukanda yapo kuanzia marekani mpaka ulaya. Na hautakaa uishe.
Weusi muziki wao sio wa kuvuka mipaka ya Tanganyika.
 
Huo ubaguzi aliuleta John aliyedai ilikuwa zamu ya kanda nyingine kuendelea. Akaanza kuijenga Kanda ya Ziwa kana kwanda kaskazini ndiyo ilidumaza kanda nyingine wakati hata Rais haijawahi toa.
Na haitowahi kutoa Rais! Na tuseme amen!
 
Mleta mada anataka hao majaa wakiamka wawe wanampa shikamoo.

Kiufupi ana inferiority complex.
 
Nawasalimu kwa jina la JMT.

Juzi kwenye mkesha wa Christmas, dunia imeshuhudia magwiji wa muziki Nigeria, Wizkid, Davido, na Komredi Burna Boy, wakiungana kufanya show pamoja iliyoandaliwa na Tony Olumelu wa BOA bank. Iliashiria umoja na upendo miongoni mwa wasanii huko Nigeria. Kwa pamoja wameamua kulipigania na kuliwakilisha taifa lao vyema. Hili suala lilinitafakarisha sana hasa kuhusu sanaa ya hapa Tanzania.

Watanzania wengi waliochangia maoni kwenye post zilizohusu show ya hiyo miamba walikuwa wakiwatupia lawama kali Diamond na Alikiba. Mimi niliona wako sawa kwasababu Diamond na Kiba ni kama nembo za muziki wetu wangeweza kuhamasisha mambo yakabadilika. Ila binafsi sikupenda kujikita sana kuwalaumu hao wawili kwasababu wamefanya mambo mengi makubwa kwenye sanaa ya Tanzania. Wakati nikitafakari ndo nikakumbuka hawa wasanii kutoka Arusha. Nilipatwa na hasira kali sana kuhusiana na mienendo yao.

Wasanii wa Arusha ni wenye vipaji vikubwa pia wana exposure kubwa kutokana na kukulia kwenye kitovu cha utalii. Miongoni mwa wasanii wa mwanzo kupiga show za kimataifa walikuwa kundi la X-plastaz kutoka Arusha. R.I.P father Nelly. Hata wakongwe Chindoman na wengine ni watu wanaoijua vizuri mitaa ya mabeberu. Tatizo lililopo kwa wasanii wengi wa Arusha ni hii tabia mbaya ya kujitenga. Wao kila sehemu wanataka wawe wao tu bila kujichanganya na watu toka mikoa mingine. Hii ni tabia mbaya ya ubaguzi ambayo baba wa taifa aliichukia sana. Hayati Mwalimu Nyerere angekuwa hai angewakemea wasanii wote wanaodai wao ni wa Arachuga.

Huu upuuzi umefanya muziki wa Arusha kuwa duni sana na kuishia kuwa wasanii wa hapahapa. Na hii tabia imeota mizizi hadi kwa watu wengine ambao sio wasanii. Aliyekuwa mbunge wa Arumeru Nassari alishawahi kupanda jukwaani na kuropoka kuwa kuwepo jamhuri ya watu wa kaskazini. Mkimaliza kujibagua kwamba mmetoka Arusha mtaanza kubaguana kwamba huyu katoka Kijenge yule Kaloleni au Majengo. Watu wa Arusha tujichanganye na kusimama na watanzania wengine kama taifa moja la Tanzania.
Hakuna mbwa yyte atakayekuja kuwaweza watu wa kaskazini kwa kila kona ni vile tu sina.muda ningewanyoosha kwa facts..waru wa kaskazini hatuwawez yaan wao.wamejipachika kila kada ata hapo ulipo wapo na tena wanakunyanyasa sana Ata yupo ambaye anasumbua vichwa vya hii nchi wameamua hadi kumpiga ndani We tulia tu naja now
 
Ni wapumbavu watu wa kaskazini wana ubaguzi mambwa kabisa wanajiona wanajua mabangi tu na ufala

Baadhi ya media wanapendelea kwao kutokan watangazaji ni wa huko ni binafsi simkubali msanii wala presenter yeyote anayetokea kaskazini zaidi ya milladayo tu

Kuanzia wasanii hata makundi yao siwafagilii hawana cha maana kujikuta katika wanajua tu
Kunywa maji ukalale mkuu achana na maisha yetu.
 
Sikieni nyie matakataka wa mikoani huko ..kama mumeshindwa kupaendeleza kwenu huko tandaimba au nalinjilinji halafu unakuja leta chuki za kiboya Kwa watu wa Kaskazini aise utakufa mapema sana maana huwezi shindana na sisi. Sisi ni sisi na wala hatujambagua kuzi yeyote yule ..in kwamba hatutaki shobo ..huku ni kusaka hela tu hatuna muda na mararu kila mtu ana ishi life ake asee.
Ukitaka uishi vizuri na watu wa Arusha ..wewe usilete mbambamba na ujuaji mwingi asee chali yangu utaachwa kwenye mataa areef.
 
Jambo lingine wao kujihisi ndio wajanja na masela tz nzima.. Na chuga ndio sehemu nzuri kumbe ni city lenye hadhi ya kuwa kuitwa manispaa tu..

Pia ukiwakuta wamevaa yale mashati yao makubwa ya draft na viatu oversize.. utaskiaa mimi ni mchugaaaa... Hapo keshakula banggi na viroba.
Na maprsenta wao kutwa kusifia chuga kina mchomvu.
Kiufupi binafsi yangu sijawahi wakubali
View attachment 2061608
Hahaha dah asee...

Maisha ni hatua... Mungu ni mwema.

Kila kitu kina maana yake..

CODE

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sikieni nyie matakataka wa mikoani huko ..kama mumeshindwa kupaendeleza kwenu huko tandaimba au nalinjilinji halafu unakuja leta chuki za kiboya Kwa watu wa Kaskazini aise utakufa mapema sana maana huwezi shindana na sisi. Sisi ni sisi na wala hatujambagua kuzi yeyote yule ..in kwamba hatutaki shobo ..huku ni kusaka hela tu hatuna muda na mararu kila mtu ana ishi life ake asee.
Ukitaka uishi vizuri na watu wa Arusha ..wewe usilete mbambamba na ujuaji mwingi asee chali yangu utaachwa kwenye mataa areef.
Sasa ndo uandike kwa hicho kiswahili cha kipumbavu ili tujue kwamba na wewe umetoka huko Arusha? Ukiandika kawaida utakufa? Watu wa Arusha acheni usela mavi.
 
East Coast na TMK walikuwa kibishara zaidi. Ukiangalia East Coast ilikuwa na members ambao walikuja Dar ukubwani kwa mfano AY, FA na O Ten... ila ukienda kwa members wa makundi ya Arusha ni kwamba wote wamezaliwa na kukulia Arusha. Kibaya zaidi hawataki kabisa kuingiza members wa mkoa tofauti na wao. Hiyo hali imefanya muziki wa Arusha kuwa duni sana usiovuka mipaka. Nenda tu hapo Malawi huwezi sikia nyimbo za Weusi na makundi mengine ya Arusha... nje ya mipaka yetu utasikia tu WCB, na wasanii wengine chipukizi wanaofanya vizuri kama Ali Kiba, Nandy na Aslay.
Wewe kweli pimbi hao wote ni wa dsm, mikoa mingine haina wasanii!? Kama wanao, hebu taja wanaojulikana huko kwenu malawi. Arusha achana nao hiyo ndiyo identity yao. Au unataka waimbe amapiano ya Sauzi!? Au wawakopi wanaija kama hao uliowataja!?
 
Utapaliwa na chuki we mbululsion

Utapaliwa na chuki we mbulula.
Tambua hakuna msanii wa chuga ninaye mkubali hata mmoja uncivilized wala moshi

Huyo dogo janja kapokelewa na kina madee akafundishwa ustaarabu achane na manguo ya mitumba ona anavyopendeza na yale meno na alianza kusugua 😂😂mnakunywa maji yana mikojo ya vyura
 
Wewe kweli pimbi hao wote ni wa dsm, mikoa mingine haina wasanii!? Kama wanao, hebu taja wanaojulikana huko kwenu malawi. Arusha achana nao hiyo ndiyo identity yao. Au unataka waimbe amapiano ya Sauzi!? Au wawakopi wanaija kama hao uliowataja!?
Wajinga huo mziki wenu unajulikana wapi kwanza mnabaguana wenyewe kaeni mtulie bado mkoa wenu hauna potential ya kuhost wasanii wakubwa dar mtakuja tunamitambua kwa meno na kugombania mitumba pale karume
 
Wewe kweli pimbi hao wote ni wa dsm, mikoa mingine haina wasanii!? Kama wanao, hebu taja wanaojulikana huko kwenu malawi. Arusha achana nao hiyo ndiyo identity yao. Au unataka waimbe amapiano ya Sauzi!? Au wawakopi wanaija kama hao uliowataja!?
FA, AY na O Ten ni wa Dar? Wewe ni mpumbavu sana aisee. Pia inaonekana labda umri wako mdogo au umechelewa kujua haya mambo ya sanaa na wasanii. Halafu sijazungumzia music genre nimeongelea tabia za wasanii. Kuwa mwelewa.
 
FA, AY na O Ten ni wa Dar? Wewe ni mpumbavu sana aisee. Pia inaonekana labda umri wako mdogo au umechelewa kujua haya mambo ya sanaa na wasanii. Halafu sijazungumzia music genre nimeongelea tabia za wasanii. Kuwa mwelewa.
Wewe ndio mpumbavu. Huo ulazima wa wasanii wa Chuga kujumuisha wasanii wa mikoa mingine unatokea wapi!? Ushirika unalazimishwa!? Kwani interest ziko sawa!? Halafu ulivyokuwa punguani umedai "muziki wa Arusha umekuwa duni usiovuka mipaka". Nimekuuliza wasanii gani wa mikoa mingine waliovuka mipaka , hebu wataje!? Unarukaruka. Kabla ya O_ten, Fa na AY kuja Dar unaweza kutaja ngoma zao? Kama hawakutoka wakiwa mikoani kwao, unalazimisha vipi kuwanasibisha na mikoa yao ya asili!? Hii game naifatilia tangu Saleh Jabiri anafanya remix ngoma za mbele kwa Kiswahili 1990. Kenge wewe.
 
Back
Top Bottom