Wasanii toka Arusha acheni kujibagua na kupigania mkoa badala ya taifa

Wasanii toka Arusha acheni kujibagua na kupigania mkoa badala ya taifa

Tatizo majamaa hata kwenye maisha ya kawaida wao hujitenga. Diamond ukitoa haya mabifu yake na kina kiba & harmonize lakini lazima tukiri hana haya mambo ya ukanda. Harmonize from Mtwara, Rayvany from Mbeya ambao chini ya Diamond wamekuwa wakubwa. Lakini ukija Weusi wanaojiita kampuni ni kwamba wote wametokea sehemu moja na ni ngumu kusikia hata wanasajili msanii toka kwingine.
Weusi sio lebo
 
Kiukweli kuna uzi nmeusoma humu wa wasanii wa Ar chuga kujitenga na mimi nalithibitisha hili.

Sikuwa mdau sana wa muziki wa Arusha ila wasanii tulikuwa tuliishi nao.

Yani msanii wa Arusha hafikiriagi kutoka nje ya Arusha kwenda hata kurekodi dar.

Wasanii nlikuwa nawajua ni wa kawaida tu lakini nao walikuwa wanatembea mule mule tu.

Kulikuwa na msanii anaitwa Viva consious huyu nlikuwa namuona ana roll na wasanii wa Arusha tu aisee, yani ni wasanii wx chuga mwanzo mwisho, Msanii mwenzake nae alikuwa anaitwa Nyigu nae ni hivyo hivyo tu ana roll na wasanii wa Atown tu.

Srudio nilikuwa naijua ni kwa mesen selekta, wasanii wa chuga ndiko wanakamulia vocal kwenye beats, yani wakifika huko nahisi ndio kulikuwa kwa p funk wao.

Kwenye shows sijawahi kwenda sana ila kiukweli wasanii wa Arusha wakitoka kwenye show ni mwendo wa kukodi taxi

Nlidhani hii tabia iliachwa kumbe inaendelea, hawa wasanii wa Arusha wawekewe vikao aisee
 
Kiukweli kuna uzi nmeusoma humu wa wasanii wa Ar chuga kujitenga na mimi nalithibitisha hili.

Sikuwa mdau sana wa muziki wa Arusha ila wasanii tulikuwa tuliishi nao.

Yani msanii wa Arusha hafikiriagi kutoka nje ya Arusha kwenda hata kurekodi dar.

Wasanii nlikuwa nawajua ni wa kawaida tu lakini nao walikuwa wanatembea mule mule tu.

Kulikuwa na msanii anaitwa Viva consious huyu nlikuwa namuona ana roll na wasanii wa Arusha tu aisee, yani ni wasanii wx chuga mwanzo mwisho, Msanii mwenzake nae alikuwa anaitwa Nyigu nae ni hivyo hivyo tu ana roll na wasanii wa Atown tu.

Srudio nilikuwa naijua ni kwa mesen selekta, wasanii wa chuga ndiko wanakamulia vocal kwenye beats, yani wakifika huko nahisi ndio kulikuwa kwa p funk wao.

Kwenye shows sijawahi kwenda sana ila kiukweli wasanii wa Arusha wakitoka kwenye show ni mwendo wa kukodi taxi

Nlidhani hii tabia iliachwa kumbe inaendelea, hawa wasanii wa Arusha wawekewe vikao aisee

Kuhusu kurekodi, hivi ni lazima ukiwa msanii urekodi Dar?
Hizo studio zilizo huko Arusha unataka nani akarekodi huko?
Kwa hiyo unataka huko Arusha kusiwe na studio ili wasanii wa huko wakarekodi Dar…!?
Acha kuwa mjinga wewe, mwishowe utasema nao wasukuma wasitumie studio zilizo huko kwao wakarekodi Dar, angali watu wamewekeza fedha zao katika hizo studio ili kuwarahisishia kazi walio maeneo hayo!
Ni upuuzi kuwaza kila kitu ni lazima kifanyike Dar…
 
Bwana wewe mtu wa msoma watukana wachagga humu hamna mbele wala nyuma tulia wewe, tengenezeni kwanza vyoo ndio mje kutukana watu wenye Akili zao nchini Tanzania.
Mkoa wenu tu ni moja ya mikoa maskini Tanzania, Sasa na wewe unatukana tu humu JF, hizo chuki zigeuzeni mubadili mkoa wenu kwanza, wanywa mbege wame progress kila sector nchi hii, na wanajulikana kimataifa, vipi nyie mkoa wenu?

Kila familia ina jambazi.
 
Kiukweli kuna uzi nmeusoma humu wa wasanii wa Ar chuga kujitenga na mimi nalithibitisha hili.

Sikuwa mdau sana wa muziki wa Arusha ila wasanii tulikuwa tuliishi nao.

Yani msanii wa Arusha hafikiriagi kutoka nje ya Arusha kwenda hata kurekodi dar.

Wasanii nlikuwa nawajua ni wa kawaida tu lakini nao walikuwa wanatembea mule mule tu.

Kulikuwa na msanii anaitwa Viva consious huyu nlikuwa namuona ana roll na wasanii wa Arusha tu aisee, yani ni wasanii wx chuga mwanzo mwisho, Msanii mwenzake nae alikuwa anaitwa Nyigu nae ni hivyo hivyo tu ana roll na wasanii wa Atown tu.

Srudio nilikuwa naijua ni kwa mesen selekta, wasanii wa chuga ndiko wanakamulia vocal kwenye beats, yani wakifika huko nahisi ndio kulikuwa kwa p funk wao.

Kwenye shows sijawahi kwenda sana ila kiukweli wasanii wa Arusha wakitoka kwenye show ni mwendo wa kukodi taxi

Nlidhani hii tabia iliachwa kumbe inaendelea, hawa wasanii wa Arusha wawekewe vikao aisee
yani mnataka kuwapangia watu warafiki wa kuroll now 🤣 🤣 🤣
yani wasanii kupanda tax pia ni kosa? unataka watembee kwa miguu??
 
Jambo lingine wao kujihisi ndio wajanja na masela tz nzima.. Na chuga ndio sehemu nzuri kumbe ni city lenye hadhi ya kuwa kuitwa manispaa tu..

Pia ukiwakuta wamevaa yale mashati yao makubwa ya draft na viatu oversize.. utaskiaa mimi ni mchugaaaa... Hapo keshakula banggi na viroba.
Na maprsenta wao kutwa kusifia chuga kina mchomvu.
Kiufupi binafsi yangu sijawahi wakubali
images (13).jpeg
 
Jambo lingine wao kujihisi ndio wajanja na masela tz nzima.. Na chuga ndio sehemu nzuri kumbe ni city lenye hadhi ya kuwa kuitwa manispaa tu..

Pia ukiwakuta wamevaa yale mashati yao makubwa ya draft na viatu oversize.. utaskiaa mimi ni mchugaaaa... Hapo keshakula banggi na viroba.
Na maprsenta wao kutwa kusifia chuga kina mchomvu.
Kiufupi binafsi yangu sijawahi wakubali
View attachment 2061608
Hiyo picha imebeba taswira nzima ya umaskini.
 
Wenyewe wanapaita chugastan[emoji2]

Sasa si waende tu huko afighanstan
 
Kama ambavyo tamaduni hazifanani Mkubali kwamba Watu wa Kule hawafanani na ninyi.
Kuchangamana ni uamuzi wa Mtu ( Nimesoma Tanzania kwa ngazi zote Wasukuma huishi kwa makundi wao pekee nk )
Mimi nina marafiki wachache Angalau wanafanana tabia na mimi.....Siwezi kuwa na mazoea na kila mtu vinginevyo tutagombana bahati mbaya wenye tabia za kufanana tofauti na wa kule ni wachache.
Kingine kutoka ndani kabisa nikimuona yeyote kutoka kule nahisi furaha kwani tunatokea sehemu moja kumbe wenzetu mnachukia.
Kuhusu namna tunazungumza tunajikubali hii ni tofauti na Wasukuma kwa mfano ambao uzungumzaji wao ...wao wenyewe hawaupendi sasa sisi tutafanya nini zaidi ya kuwacheka.
Hatuwabagui lakini ni vyema tukaishi hivi yaani kama jamii za wahindi ama wazanzibari...
Mkubali kutofautiana na sisi na sio kubaguliwa na sisi.

Naona unaongelea urafiki na undugu,mtoa mada kaongelea kujibagua na kuleta ukanda katika sanaa,
 
Jambo lingine wao kujihisi ndio wajanja na masela tz nzima.. Na chuga ndio sehemu nzuri kumbe ni city lenye hadhi ya kuwa kuitwa manispaa tu..

Pia ukiwakuta wamevaa yale mashati yao makubwa ya draft na viatu oversize.. utaskiaa mimi ni mchugaaaa... Hapo keshakula banggi na viroba.
Na maprsenta wao kutwa kusifia chuga kina mchomvu.
Kiufupi binafsi yangu sijawahi wakubali
View attachment 2061608

Mambo mengine tusibishane tu,watoto wa chugastan wengi wanao uwezo wa kujitoa ufahamu na kufanya jambo lolote analo ona linamfaa, pia wengi wana exposure kutokana na mji wao kuwa wa kitalii na upo mpakani pia,kitu ambacho ni tofauti na mikoa mingine nchini hapa,

Hata totozi za chuga zinajua bata bana,na starehe ....kama ni mdau wa club utakubaliana nami club za chuga totozi zinafanya vyema kama dar tu.

Sema nini waache ubaguzi kama wanao kweli maana nchi hii ni moja na inatakiwatuikuze pamoja,

Kama mkoa wao wametangulia baashi ya vitu basi wasijione wao ni bora kuliko wengine
 
Back
Top Bottom