Wasanii toka Arusha acheni kujibagua na kupigania mkoa badala ya taifa

Wasanii toka Arusha acheni kujibagua na kupigania mkoa badala ya taifa

Rudi darasani ukasome Jiografia. Ziwa halipatikani mkoa mzima wa MARA.

Ziwa Nyanza linapatikana eneo la Musoma MC na Musoma DC hasa eneo la Majita.

Halafu kuhusu vyoo sizungumzi sana kwasababu ninajua kuhusu hilo huko uchaggani kuliko wewe. Hivi karibuni tu, nimetoka kufanya CLTS ( Community_Led Total Sanitation ) pamoja na kampeni ya nyumba ni choo.

Kwahiyo ni bora ukakaa kimya tu kwenye hili, nisije nikakuwekea picha za kukudhalilisha humu.
Bwana wewe mtu wa msoma watukana wachagga humu hamna mbele wala nyuma tulia wewe, tengenezeni kwanza vyoo ndio mje kutukana watu wenye Akili zao nchini Tanzania.
Mkoa wenu tu ni moja ya mikoa maskini Tanzania, Sasa na wewe unatukana tu humu JF, hizo chuki zigeuzeni mubadili mkoa wenu kwanza, wanywa mbege wame progress kila sector nchi hii, na wanajulikana kimataifa, vipi nyie mkoa wenu?
 
Bwana wewe mtu wa msoma watukana wachagga humu hamna mbele wala nyuma tulia wewe, tengenezeni kwanza vyoo ndio mje kutukana watu wenye Akili zao nchini Tanzania.
Akili za kutengeneza mbege, kunywa pombe na kuharisha. Uko sahihi kwa 💯

Kwetu Musoma unywaji wa pombe ni mpaka sikukuu na sherehe.
Mkoa wenu tu ni moja ya mikoa maskini Tanzania, Sasa na wewe unatukana tu humu JF, hizo chuki zigeuzeni mubadili mkoa wenu kwanza, wanywa mbege wame progress kila sector nchi hii, na wanajulikana kimataifa, vipi nyie mkoa wenu?
Mkoa masikini kwa mujibu wa nini?

Kama.ni NBS ?

Hivi unajua takwimu za NBS zinavyokokotolewa?

Rudi darasani kwanza. Na hakikisha hujanywa Kiwingu ili uelewe maana naona mambo mengine madogo yanakutatiza sana.
 
Wachagga na watu wa kaskazini asilimia kubwa ni wabaguzi na ni watu wa kupendeleana.

Ukiona mchagga au mtu wa huko anahitaji ukaribu au anajiweka karibu na wewe ujue kuna kitu anataka kunufaika kutoka kwako.

Lakini usitegemee hata siku moja kama mtu wa kaskazini au mchagga atakuona wewe ni mtu wa maana wakati huna kitu.

Tatizo kubwa kuna wapuuzi kabisa ambao wanatamani hata na wao wangekuwa wachagga au watu wa huko, hasa wakurya na wanyakyusa.

Yaani unakuta jitu mpaka limeanza kunywa pombe, mbege, kuvuta bangi na kuiga rafudhi ili na leneyewe lionekane ni la kaskazini.
Kwa nini msiyatie viboko majitu kama hayo?
 
Wachagga na watu wa kaskazini asilimia kubwa ni wabaguzi na ni watu wa kupendeleana.

Ukiona mchagga au mtu wa huko anahitaji ukaribu au anajiweka karibu na wewe ujue kuna kitu anataka kunufaika kutoka kwako.

Lakini usitegemee hata siku moja kama mtu wa kaskazini au mchagga atakuona wewe ni mtu wa maana wakati huna kitu.

Tatizo kubwa kuna wapuuzi kabisa ambao wanatamani hata na wao wangekuwa wachagga au watu wa huko, hasa wakurya na wanyakyusa.

Yaani unakuta jitu mpaka limeanza kunywa pombe, mbege, kuvuta bangi na kuiga rafudhi ili na leneyewe lionekane ni la kaskazini.
Kwa nini msiyatandike viboko majitu kama hayo?
 
IMG_3792.jpg


Rapa Fido Vato kutoka VatoLocco anakuambia ni United States Of Arusha[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Wewe kama mkuu wa mkoa wa Mara, unachukua hatua gani kukomesha hili kwa vijana wako?
Ukiwa kiongozi huwezi kuwa na suluhisho la.moja kwa moja.

Ila binafsi naona njia rahisi ni ku-raise awareness kwa vijana na wakazi wote wa Mkoa kujua kipi ni cha thamani kwao ili wakilinde kwa nguvu zote.

Uchagaani huwezi kununua ardhi, kufanya biashara au kupata uongozi wa kisiasa kirahisi kama wewe ni Mpori aka Chasaka yaani mtu wa kuja.

Ila ukienda huko mikoa ya Morogoro utakuta wabunge wachagga na waarabu.

Kwahiyo muhimu ni kujielewa, kujiamini na kutokuwa EASY GOING.

Kama kuna kitu unajua kabisa mwenzio hawezi kukupa wewe kwanini umpe chako kirahisi tu ?
 
Akili za kutengeneza mbege, kunywa pombe na kuharisha. Uko sahihi kwa [emoji817]

Kwetu Musoma unywaji wa pombe ni mpaka sikukuu na sherehe.

Mkoa masikini kwa mujibu wa nini?

Kama.ni NBS ?

Hivi unajua takwimu za NBS zinavyokokotolewa?

Rudi darasani kwanza. Na hakikisha hujanywa Kiwingu ili uelewe maana naona mambo mengine madogo yanakutatiza sana.
Yaani mkoa wa wavuta bangi uwe na watu wenye Akili kweli?[emoji23][emoji23][emoji23] Toka lini watu wala furu na udaga wakawa na akili timamu, wewe mwenyewe tu mkaruka unategemea nini?
Huo mkoa wenu mumewekeza chuki na kukomoana hamtaki hata maendeleo ya elimu na Miundo mbinu mnaharibu tena nyie wajita ni vinara wa majungu na uchawi in short huko kwenu hamfai kabisa
 
Ukiwa kiongozi huwezi kuwa na suluhisho la.moja kwa moja.

Ila binafsi naona njia rahisi ni ku-raise awareness kwa vijana na wakazi wote wa Mkoa kujua kipi ni cha thamani kwao ili wakilinde kwa nguvu zote.

Uchagaani huwezi kununua ardhi, kufanya biashara au kupata uongozi wa kisiasa kirahisi kama wewe ni Mpori aka Chasaka yaani mtu wa kuja.

Ila ukienda huko mikoa ya Morogoro utakuta wabunge wachagga na waarabu.

Kwahiyo muhimu ni kujielewa, kujiamini na kutokuwa EASY GOING.

Kama kuna kitu unajua kabisa mwenzio hawezi kukupa wewe kwanini umpe chako kirahisi tu ?
Nimeridhika na hoja yako. Ahsante sana!
 
Yaani mkoa wa wavuta bangi uwe na watu wenye Akili kweli?[emoji23][emoji23][emoji23]
Wenye akili ni kina nani huko, labda siwajui.
Toka lini watu wala furu na udaga wakawa na akili timamu, wewe mwenyewe tu mkaruka unategemea nini?
Furu na Udaga ndio chakula sahihi cha kuwafanya watu na Afya na ukakamavu.

Arusha na Moshi kuna nini ?

Ndizi na Kitimoto ???
Huo mkoa wenu mumewekeza chuki na kukomoana hamtaki hata maendeleo ya elimu na Miundo mbinu mnaharibu tena nyie wajita ni vinara wa majungu na uchawi in short huko kwenu hamfai kabisa
Una ushahidi na hili ?

Au ushapiga Kiwingu ??
 
Hakuna inferior complex hawana jipya vile hatuna Shobo nao kwanza wanaonekana kama wezi wengi wao

Ishu wanaponda watu mfano kuwasema wasukuma wakibishana kidogo wanaleta ukaskzini wana nn cha maana tuliza mshono
Kama hawana cha maana unahangaika nao wa nini!? Ishi maisha yako nao waishi maisha yao. Unawapangia waishije, wewe nani!?
 
Be positive, hakuna aliyetangaza kuwa anashindana na wa kaskazini, hatujaongelea maendeleo ya kikanda, ila ubaguzi, ambao ni SUMU kali mno kwa mshikamano wa taifa, si hao tu, mpaka baadhi ya wanasiasa wa kaskazini wana maneno ya kibaguzi. Ni ushamba!

Tunataka maendeleo ya TZ moja, na si vinginevyo. Got it?
Huo ubaguzi aliuleta John aliyedai ilikuwa zamu ya kanda nyingine kuendelea. Akaanza kuijenga Kanda ya Ziwa kana kwanda kaskazini ndiyo ilidumaza kanda nyingine wakati hata Rais haijawahi toa.
 
Hawa jamaa ni wabaguzi mno hata nyerere aliliona hilo wana jichama lao hilo lina ubaguzi na halitoingia madarakani kwa nguvu za mwenyezi mungu
Nguvu za Mwenyezi au wizi wa kura!? Hao waliopo madarakani wamewaletea nini zaidi ya kuwapa majina "wananchi wanyonge" wakati wao wako ndani ya vieite.
 
Na akina imbombo jilipo vile vile nao msiwasahau ktk hilo la ukanda,, kifupi ni ushamba tu uliowajaa japo wenyewe wanajiona wanapatia,, sie wakali wa donta tunawachora tu mijitu kutoka nyuma nyuma huko,,,,
Nyonzo makeneke mfanyabiashara asiyeogopa hasara. Mama mtendaji kashakurudishia banda lako ulilookota!?
 
Back
Top Bottom