Wasanii Wa Bongo Movie Wakiongozwa na Steve "rais wao" Walimchongea Idris

Wasanii Wa Bongo Movie Wakiongozwa na Steve "rais wao" Walimchongea Idris

Phillemon Mikael

Platinum Member
Joined
Nov 5, 2006
Posts
10,557
Reaction score
8,673
Rais wa Wasanii akishirikiana na baadhi ya wasanii ndio waliomchongea Idris Sultani kwa madai kuwa anajifanya mjanja kila mara anaandaa vichekesho vya kuwasema viongozi , mpango mzima wa kuhakikisha anakamatwa walifanya waao wakishirikiana na RC ili tu kumkomoa

Pia wanatumia staili hiyo ili kumlegeza apunguze msimamo wa kupingana nao na iwapo atakubali kulamba miguu kama Wema basi wataanza kumshirikisha kwenye mipango yao ya kupiga pesa kwa kigezo cha kumfanyia kiongozi kampeni

Itakumbukwa kuwa mwaka 2015 wasanii hawa hawa walitumia pesa na vitisho ikiwemo kuwabambikia kesi wasanii wote ambao hawakua upande wao

Kutumika kwa wasanii hawa kisiasa kumeuwa vipaji kabisa na wengi wa wasanii wana zaidi ya miaka mitano hawajatoa movie na wanategemea kuishi maisha ya upambe , na hata wachache wanaojitahidi kutoa movie hazipati mapokezi mazuri kwakua wananchi wameshawachoka
 
Wamwachie tu ila kweli utundu mbaya . magu sio trump. Magu chuma cha pua hana masihara
 
Sasa mbona kosa la kumcheka Mfalme wa mataga ajapewa hilo kosa.
 
Rais wa Wasanii akishirikiana na baadhi ya wasanii ndio waliomchongea Idris Sultani kwa madai kuwa anajifanya mjanja kila mara anaandaa vichekesho vya kuwasema viongozi , mpango mzima wa kuhakikisha anakamatwa walifanya waao wakishirikiana na RC ili tu kumkomoa
Pia wanatumia staili hiyo ili kumlegeza apunguze msimamo wa kupingana nao na iwapo atakubali kulamba miguu kama Wema basi wataanza kumshirikisha kwenye mipango yao ya kupiga pesa kwa kigezo cha kumfanyia kiongozi kampeni
Itakumbukwa kuwa mwaka 2015 wasanii hawa hawa walitumia pesa na vitisho ikiwemo kuwabambikia kesi wasanii wote ambao hawakua upande wao

Kutumika kwa wasanii hawa kisiasa kumeuwa vipaji kabisa na wengi wa wasanii wana zaidi ya miaka mitano hawajatoa movie na wanategemea kuishi maisha ya upambe , na hata wachache wanaojitahidi kutoa movie hazipati mapokezi mazuri kwakua wananchi wameshawachoka .......,
Tupia video au hata picha wakimchongea mkuu kama ushahidi..
 
Hahahaha...kweli CCM ni ya kupigiwa kampeni na huyo kiazi? you can't be serious aisee, JPM hata asipopiga kampeni atashinda kwa zaidi ya 95% ya kura zote, endeleeni kuota mchana mkijiliwaza na mutusi ya multiple accounts za akina Chahali na kile kikahaba wakati hata kura hawapigi.
 
Back
Top Bottom