Wasanii Wa Bongo Movie Wakiongozwa na Steve "rais wao" Walimchongea Idris

Wasanii Wa Bongo Movie Wakiongozwa na Steve "rais wao" Walimchongea Idris

kamdharau rais kwa kuweka picha ya rais magufili kwenye mitandao kisha akaidhihaki na kuikejeli.
Mzee Baba ndio alikuwa anaingia mjini , mimi nafikiri kama fundi aliyemchonea yupo anatakiwa kufungwa kabisa ....kwa miaka ile 2000 kulikuwa na suit kali tu mjini ....zinazokaaa vizuri
 
Idris akaze na misimamo yake
Wanataka kumfanyia kama wema wakati ule , ambapo walimtia ndani , wakampa kesi ya bangi ..na kupeleka notice ya kuvunja nyumba yao ya sinza ,,,,,ahaaaa yeye mwenyewe aliomba Pooooo na unakumbuka wakati ule ili leak audio ya steve na mama yake wema akimshawishi amuambie wema arudi kwenye line ili wamsaidie mambo yaishe ...
Viongozi wa Bongo movie badala ya kusaidia sanaa wamejeuka watu wa kuuza wenzao kama hivi , ukuwadi , etc na anayekataa wanamuandama ...hii inafanya watu wawe na maumivu moyoni ..
Nakumbuka wakati ule baada ya kumteka Roma walikuwa walikuwa wana m parade wanaenda kuimba na lile kundi la Tanzania All Stars lakini wazi ulikuwa ukimuangalia Roma unaona kabisa ana jambo moyoni bado .....
Wasanii wanaumizana wao kwa wao kwa vipande vya pesa ....wanatajirika kwa kuumiza wenzao ...ndio maana hawana muda wa kutoa sinema mpya au kufanya shoo bali ni ujanja ujanja tu au kula pesa za misiba
 
Mzee Baba ndio alikuwa anaingia mjini , mimi nafikiri kama fundi aliyemchonea yupo anatakiwa kufungwa kabisa ....kwa miaka ile 2000 kulikuwa na suit kali tu mjini ....zinazokaaa vizuri
bwashee ile suti ni kalisana kwa miaka ile.na mzee baba katokelezea poa tu.sema vijana wa sasa mikato yenu ni ya kuvaa nguo za kike ndosababu mnaoana chuma akijapendeza
 
Wanataka kumfanyia kama wema wakati ule , ambapo walimtia ndani , wakampa kesi ya bangi ..na kupeleka notice ya kuvunja nyumba yao ya sinza ,,,,,ahaaaa yeye mwenyewe aliomba Pooooo na unakumbuka wakati ule ili leak audio ya steve na mama yake wema akimshawishi amuambie wema arudi kwenye line ili wamsaidie mambo yaishe ...
Viongozi wa Bongo movie badala ya kusaidia sanaa wamejeuka watu wa kuuza wenzao kama hivi , ukuwadi , etc na anayekataa wanamuandama ...hii inafanya watu wawe na maumivu moyoni ..
Nakumbuka wakati ule baada ya kumteka Roma walikuwa walikuwa wana m parade wanaenda kuimba na lile kundi la Tanzania All Stars lakini wazi ulikuwa ukimuangalia Roma unaona kabisa ana jambo moyoni bado .....
Wasanii wanaumizana wao kwa wao kwa vipande vya pesa ....wanatajirika kwa kuumiza wenzao ...ndio maana hawana muda wa kutoa sinema mpya au kufanya shoo bali ni ujanja ujanja tu au kula pesa za misiba
Nakumbuka vizuri na huyo steve nyerere sanaa imemshinda kahamia kwenye siasa. Bongo movie ilishakufa siku nyingi saiv wanahemea mipira. Na ubaya ukishajulikana wewe ni wa chama tofauti na ccm au una mitazamo tofauti kama idris lazima uandamwe.
Idris namfuatiliaga post zake anajaribu kuongea vitu vyenye uhalisia though anajitahid asiwe straight sana lakini mtu unaelewa kua Idris anajitambua.
 
bwashee ile suti ni kalisana kwa miaka ile.na mzee baba katokelezea poa tu.sema vijana wa sasa mikato yenu ni ya kuvaa nguo za kike ndosababu mnaoana chuma akijapendeza

Ndugu yangu mimi ni mkubwa sana kwako na miaka hiyo ya mwanzo 2000 sio kuwa ni zamani sana ....kama ukitazama suit tu alikuwa anapiga Nyerere mwaka 1960 zilikuwa zimesimama , kuvaa vizuri ni ujanja wa mtu ..sisi tunakata issue humu ndani toka enzi za BCS , jAMBO FORUM Miaka 16 iliyopita ulikuwa form ngapi ?? au la ngapi ? enzi za kina FMES [sauti ya umeme] ,kichuguu ,mswahili etc ...mambo yalikuwa moto ....watoto walikuwa hawaingii humu , humu tulikuwa tunaongea siri za nchi kigogo haoni ndani ...... watoto walikuwa wanaishia DAR HOTWIRE
 
poa kakamkubwa ngoja nirekebishe hapo ni "wao vijana wa sasa wanaovaa nguo za kike wanaona mzee baba ajapendeza"
dah,,kweli wewe ni mkongwe kaka mkubwa.lkn tunaweza mlaumu fundi kumbe mzee baba pengine aliuziwa na marehemu john komba ?
 
Wamwachie tu ila kweli utundu mbaya . magu sio trump. Magu chuma cha pua hana masihara
Hiyo sifa uliompa sio kabisa. Chuma gani kinalainishwa kwa kicheko cha mtu laini kama Idris?. Vyuma ni wazungu na baadhi kwenye vitabu vitakatifu kama akina Daudi ambao walizuia upanga uliokuwa uwale adui zake na akaamua kumwachia kisasi Mungu juu ya watesi wake. Acha kufananisha vitu vya thamani na ujinga ujinga.
 
kamdharau rais kwa kuweka picha ya rais magufili kwenye mitandao kisha akaidhihaki na kuikejeli.

Mbona kwenye hati ya mashtaka hakuna hiki ulichoandika wewe? Hii kitu umeitoa wapi? Idriss anashtakiwa kwa kosa la kutumia line ambayo haijasajiliwa kwa jina lake
 
Mbona kwenye hati ya mashtaka hakuna hiki ulichoandika wewe? Hii kitu umeitoa wapi? Idriss anashtakiwa kwa kosa la kutumia line ambayo haijasajiliwa kwa jina lake
fatauhalisia wa mambo yalivyo.usizubae changamka.
 
Nakumbuka vizuri na huyo steve nyerere sanaa imemshinda kahamia kwenye siasa. Bongo movie ilishakufa siku nyingi saiv wanahemea mipira. Na ubaya ukishajulikana wewe ni wa chama tofauti na ccm au una mitazamo tofauti kama idris lazima uandamwe.
Idris namfuatiliaga post zake anajaribu kuongea vitu vyenye uhalisia though anajitahid asiwe straight sana lakini mtu unaelewa kua Idris anajitambua.
Ila kwa kitendo kile wewe Huoni kama ni dhihaka
Alikifanya, hebu tuwe wa Kweli

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Steve Nyerere?No wonder watu wafupi tunadharauliwa sana.
 
Back
Top Bottom