Wasanii wa hip-hop wa bongo, wamejipoteza kwenye game wenyewe

 
Kuwa msafi, presentable, kufanya biashara, kuwa mstaarabu sio ushoga. Hii mentality ndio inafanya wanauza muziki kwa WhatsApp.

Niliona hata Nick Mbishi anaomba email za mashabiki unamtumia pesa anakumwagia mzigo kwenye email lakini pia haina tatizo kama wanatengeneza faida maana platform ni popote ambapo kazi inawafikia walaji hakafu whatspp na email hazina mtu kati hivo msanii anapiga chake moja kwa moja
 
Miziiki yenu sahv hata mnachoimba hamjui....
Mara sijui inama nkupake wese
Ohh ingiza taratibu
Ndomana matamasha yenu yanajaa mashog tu

Ova

Unasema hawa hawa wanaosifia matako nyimbo nzima?
 
Kwa hiyo unataka kusema Nash Mc si msafi, hivi unafatilia kiundani hawa wana Hip Hop Tz au kwa kuwa umeshiba ugali na maji mtaani kwenu yametoka umeshindwa fikiria vitu vyengine sasa? hebu fatilia mzee Nash anatokea Temeke na kazi ya sanaa ni KIOO CHA JAMII so unatakiwa uishi kulingana na JAMII yako ilivyo Kendrick Lamar ni msanii nje Africa pia anawakilisha JAMII anayoishi yeye anatakiwa kuishi kulingana na JAMII yake.

Nyie ndo vile vilaza vinavyo kurupukia habari zisizo kuwa na maadili ya KUJENGA JAMII, Unaweza niambia ni Msanii gani MBANA PUA anae WAKILISHA JAMII yake kupitia BUNGE? Angalia sasa HipHop wanavyo wakilisha kuna hao wa Tatu ambae sasa yupo Mmoja, kuna hao wengine walipambana wakakosa nafasi hiyo ya kuwa Mbunge mfano WAKAZI hii yote ni kwa sababu wanaishi na JAMII na wanaiwakilisha vyema katika NYANJA zote za KIMAISHA.
 
Miziiki yenu sahv hata mnachoimba hamjui....
Mara sijui inama nkupake wese
Ohh ingiza taratibu
Ndomana matamasha yenu yanajaa mashog tu

Ova
Matamasha kujaa ndio pesa zenyewe hizo, sasa wasanii wa hiphop uwa wanajazana pale msasani wanaimbiana wenyewe masela kwa masela si bora wakalime hata nyanya
 
Matamasha kujaa ndio pesa zenyewe hizo, sasa wasanii wa hiphop uwa wanajazana pale msasani wanaimbiana wenyewe masela kwa masela si bora wakalime hata nyanya
Ndio maana nyie watoto wa Sinza mnaharibikiwa sana sasa hivi

Ova
 
Mashairi yao mazuri sana ,mitindo yao ya kuchana ipo poa sana.Tatizo.beat zao.mbaya sana.Hazina mvuto,hazina ule ubunifu na mvuto wq kihip hop.Nilikick na snate tu linagonga hapo.Na libase na kinanda ambacho kinarudia tudia tu.Jamani wasikilize hata beat za DJ Premier,Dr Clue,RZA,Dr Dre,True Master n.k.Wajifunze beat zenye akili.
 
Hilo ndo tatizo mlilo nalo. Mnaamini hip hop haiwezei kuwa na beat kali ila trap. Nikutolee mfano tu beat kama ya still Dre, 1 23,4 ya LL Cool J, Final coundownnya EPMD, Nas is like ya Nas. Je zile ni trap. Na utazifananisha zile beat na mabeat mabaya ambayo wanachania akina Nick na Maalim Nash. Mimi nazungumzia beat zilizoenda shule za HIp Hop sizungumzi trap.
 
Ndo maana mtu mmoja kasema watu wa hip hop wanajifanya wajuaji sana. Sisi tunasema wengi wanafeli kwenye beat. Wana punch line, styles, lyrics nzuri. Ila kama beat zinakuwa mbaya kwa kila muda. Kazi zinaanza kikosa mvuto. Yaani kama jinsi ambayo msaani wa hip hop anavyotakiwa kiwa na punch l8ne na lyrics nk. Ndivyo ambayo composer wa mziki wa hip hop naye anatakiwa kuproduce mziki au beat ambayo ni hip hop. Beat nzuri. Nitolee mfano tu beat ya frwsh ya fid. Hebu jaribu kuwaza Nick Mbishi na mistari yale angetqmbaa pale. Wewe unaona kitu ambacho kingetokea pale.
 
Sijawahi kumsikia MC Nash lakini nimeingia youtube nimeangalia nyimbo zake, yuko vizuri na nyimbo yake ya Maneno naona kaeleza struggle yote ya mziki wa hip hop bongo, pole brother labda kuna siku utatusua
 
Dah aisee nimegundua weusi nyimbo zao kali kwa kuwa hata beat huwa tamu.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…