Wasanii wa hip-hop wa bongo, wamejipoteza kwenye game wenyewe

Wasanii wa hip-hop wa bongo, wamejipoteza kwenye game wenyewe

Hiyo dhana ya kuvutia makampuni si kazi ya msanii, msanii kazi yake ya kutoa kazi za sanaa ziwafikie walengwa. Ili afanikiwe anahitaji mpango wa kibiashara hiyo bidhaa yake ifike sokoni apate faida.
Kama ni hivyo ndio maana muziki wao umepotezwa na singeli.
 
Mzee mi sikubaliani na huo mfumo wa kuuza mkononi kwasababu haufikii watu wengi.
Faida anaweza kupata kulingana na malengo aliyojiwekea.

Nachopinga ni kusema hiyo ya kuuza mkononi ina faida zaidi ya kuuza kwa kutumia platforms.

Tuchukulie tu mfano msanii aliekuja juzi tu hapa, Marioo. Hivi kweli anaweza kuuza kazi zake kama hao tamaduni na akafaidika zaidi ya anavofaidika sasa kwa kutumia platforms.
Kwenye platform unawatajirisha wengine ndugu,yani hapo hupati asilimia 100 tena hata 70 hazifiki.
 
Twende mbele turudi nyuma, huyo jamaa anayekula kachori daaah mbona najikuta siamini kama ni mwana hip hop [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]. Ngoja niende mjini Yutyubu nikaone kazi zake
Maalim Nash huwa anagonga biriyani pale Temeke kwa mdau mmoja maarufu pale, ila kuna wadau wataponda kwa nini biriyani asingegonga pale kwa Shishi Food.
 
Nilishangaa sikua naangaalia clouds kuna msanii wa hip hop alikua anatambulisha album yake. Na njia za kuipata akasema eti unamcheki whatsapp unatuma ela anakutumia album.

Nilishangaa mno aisee kwa utandawazi huu kweli unauza album kwa whatsapp.!!?
Wakati hata dancers, wasanii chipukizi hawafanyi hixo mishe bali wanauzia kwenye platforms mbalimbali na mkwanja unaingia mwingi tu.
Mfano mmoja wa hizo platforms!

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Kwa mfano;Boomplay inafanyaje kazi mpaka msanii anaingiza kipato?

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app

Mtu akisikiliza/stream msanii anapata percent yake kidogo..boomplay wanalipa msanii kila baada ya miez 3 nafkiri kwahyo wakisikiliza wengi ndo anavopata zaidi ila sio rahisi mpaka uwe na wasikilizaj weng wa kutosha
 
Hip-hop ni muziki wa wanaume, bongo fleva ni muzik wa wavulana na akina dada. Kwa takwim za haraka haraka wavulana+ akina dada ni wengi kuliko wanaume, ndio maana bongo fleva wanauza Zaid.
 
Mi nadhani watu wasijifiche kwenye kuishi uhalisia. Ukweli ni kwamba watu hawana chapaa. Kama wangekua na chapaa wangeshatoka uswahilini na kwenda kujenga mijengo nje ya mji huko au maeneo mazuri zaidi. Ila kwavile hatuna kitu inabidi tubaki huku huku uswazi na tutetee uhalisia. Tuache kutetea umaskini.
 
Mi nadhani watu wasijifiche kwenye kuishi uhalisia. Ukweli ni kwamba watu hawana chapaa. Kama wangekua na chapaa wangeshatoka uswahilini na kwenda kujenga mijengo nje ya mji huko au maeneo mazuri zaidi. Ila kwavile hatuna kitu inabidi tubaki huku huku uswazi na tutetee uhalisia. Tuache kutetea umaskini.
 
Mi nadhani watu wasijifiche kwenye kuishi uhalisia. Ukweli ni kwamba watu hawana chapaa. Kama wangekua na chapaa wangeshatoka uswahilini na kwenda kujenga mijengo nje ya mji huko au maeneo mazuri zaidi. Ila kwavile hatuna kitu inabidi tubaki huku huku uswazi na tutetee uhalisia. Tuache kutetea umaskini.
Humu JF kila mtu anamiliki crown athlete..tunaishi mbezi beach, oysterbay na masaki 😁

BTW username yako ya kibabe sana.
 
Humu JF kila mtu anamiliki crown athlete..tunaishi mbezi beach, oysterbay na masaki 😁

BTW username yako ya kibabe sana.
Yes, mitandaoni kuna upuuzi mwingi sana. Lakini turudi kwenye swala la msingi, wana hawana kitu, huku kuishi uhalisia kudai sijui ndio hip-hop ni kujificha tu na kuukataa ukweli kwamba hawana hela. Wangekuwa nazo wangeishi uhalisia kwa style ya to give back to society lakini kwa bahati mbaya hawana kitu. Hakuna mtu asiyependa kuwa na mjengo wa maana na maisha swafi na familia yake. Huku kuendelea kuishi uswahilini ni sababu hatuna kitu, sio ndio hip-hop inavyotaka. Tupambane tupige hela tusapport movement.
 
Yes, mitandaoni kuna upuuzi mwingi sana. Lakini turudi kwenye swala la msingi, wana hawana kitu, huku kuishi uhalisia kudai sijui ndio hip-hop ni kujificha tu na kuukataa ukweli kwamba hawana hela. Wangekuwa nazo wangeishi uhalisia kwa style ya to give back to society lakini kwa bahati mbaya hawana kitu. Hakuna mtu asiyependa kuwa na mjengo wa maana na maisha swafi na familia yake. Huku kuendelea kuishi uswahilini ni sababu hatuna kitu, sio ndio hip-hop inavyotaka. Tupambane tupige hela tusapport movement.
Haipingwi master 👊

Hakuna asiependa maisha mazuri, ata hivo bora anaeuza watsapp album anapata hela yake kiuhalali kuliko ku fake maisha af wakiugua wanaomba misaada.
 
asa mbona mi navutiwa sana na rap zao pia mavazi yao

mi sijaona cha maana ulichokosoa zaidi ya chuki
 
Sijawahi kumsikia MC Nash lakini nimeingia youtube nimeangalia nyimbo zake, yuko vizuri na nyimbo yake ya Maneno naona kaeleza struggle yote ya mziki wa hip hop bongo, pole brother labda kuna siku utatusua
Uyo kwa jamii ya watu wa hip hop alishatoka kitambo ni A list kabisa..
 
Twende mbele turudi nyuma, huyo jamaa anayekula kachori daaah mbona najikuta siamini kama ni mwana hip hop [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]. Ngoja niende mjini Yutyubu nikaone kazi zake
A - list kabisa kwa sisi watu wangumu..take your time skiza mipini ya bwana nashiri,Nash mc,Madina,uchebe..nakupa hints kaskilize ngoma hizi chache tu ..naandika,funzo,mitihani,maneno,tabia,sauti..alafu urudi hapa tuendele na mjadala.
 
View attachment 2404319

Ridhaa ya nini na amepost kwenye page yake.....wewe unaona picha za hovyo zinashusha brand yake yeye anaona ndio kuwa real 🤣🤣🤣 hiphop wabadilike aiseee
e7017ad5ea0d41e89112a076eccec54e.jpg

Imebidi niangalie mara mbilimbili hiyo picha ya Nash,kwakweli watu watakutukana humu wanaojikuta eti wagumu ila umesema ukweli kuwa msafi and presentable inakufanya promo yako iwe kubwa na uwe na mvuto kimataifa,hebu cheki hii picha ya huyu msanii wa Marekani na hiyo ya Nas wewe unafkiri kampuni za kimataifa zikitaka zifanye kazi na mmoja itamchagua nani!?
 
Back
Top Bottom