Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna verse alimtusi Inspector....Domo kama chai chaba,punguza ngenga, wenzako watakugonga.Zay B Remix aliimba na Juma nature na hii remix ndiyo inajulikana kuliko og. OG aliimba na Harun
Mmmhh hii verse naisahau kidogo ila nafikiri hii ngoma ilikua ni dongo la Sister P.Kuna verse alimtusi Inspector....Domo kama chai chaba,punguza ngenga, wenzako watakugonga.
ana kiuno lainiIla Besta alikuwa anabalaa manake ule mshepu hatari.....
Ngoja nikitulia nitautafuta,kitambo tena tushasahau hizi ngoma.Mmmhh hii verse naisahau kidogo ila nafikiri hii ngoma ilikua ni dongo la Sister P.
Kwakua ukikumbuka vizuri utagundua huu ndiyo wimbo wa pekee wa Zay B uliotamba kuliko zingine na ndiyo huu ulikua diss kwa Sister P.
Kwa hiyo unatuhadithia....wakati wote tumesoma hapahapaNdiye mmiliki, halafu Marlow nasikia kamzalisha faster faster.
Hivi Maunda yupo wapi sikuizi? Nilikuwa namkubali sana.Maunda Zorro alinikosha sana
Ni mdogo wake banana zoro.Huyo Maunda Zoro ni mke wa Banana Zoro???
Nawasilisha swali
Kwani kuna sehemu nimekosea........?Kwa hiyo unatuhadithia....wakati wote tumesoma hapahapa