Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
Sijui kuhusu kukosea ila ulichokiandika hakikuwa na ulazimaKwani kuna sehemu nimekosea........?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijui kuhusu kukosea ila ulichokiandika hakikuwa na ulazimaKwani kuna sehemu nimekosea........?
Basi tufanye nimesisitiza.Sijui kuhusu kukosea ila ulichokiandika hakikuwa na ulazima
SawaBasi tufanye nimesisitiza.
Acha tamaa ni mke wa mtu huyo, usafini mmekaa kifisifisiIla Besta alikuwa anabalaa manake ule mshepu hatari.....
Nimetamani au nime mpa sifa zake......Acha tamaa ni mke wa mtu huyo, usafini mmekaa kifisifisi
Yupo mbonaHivi Maunda yupo wapi sikuizi? Nilikuwa namkubali sana.
Anajishughulisha na nini kwa Sasa?Yupo mbona
Hata sifahamuAnajishughulisha na nini kwa Sasa?
Unique sisters! Wale watoto wa kipoziEnika
Raha p
Zay b
Ray c
Dataz
Renee
Maunda
Jackie maria
Stara tomaz
Queen darien
Best
K lyn
Jay dee
Pauline zongo
Happy
Angelies
Farida
Zay b
Sister p
Huyo Maunda Zoro ni mke wa Banana Zoro???
Nawasilisha swali
Anaitwa Sarah kama sijakosea, aliimba na Caz T mtoto wa Komba. Mara ya mwisho kumuona alikuwa ni mtangazaji wa ITV na Radio one katika vipindi vya nyimbo za injiliKuna yule aliimba "nakuhitaji mpenzi wangu nakuhitaji" sijui cat b
Uishi milele EYCE,List inakamilikaje bila Renee Lamira, K lyn, Enika na Stara Thomas mkuu
Our Lady Maunda Zorro was just ahead of her time,....Maunda Zorro alinikosha sana
Yule mwanadada alikua ni hatari. Alitisha sana kwenye mdundo wa nako2nako hawatuwezi, na ile aliyoshilikishwa na makamua (so baby please rudi nyumbani). sijui kwa nini aliamua kuacha mzikiNaam, hili nalo lilikuwa ni balaa.
Kuna sababu nyingi sana kwa wasanii wengi wazuri kujitoa kwenye muziki bongo,....yule mwanadada alikua ni hatari. Alitisha sana kwenye mdundo wa nako2nako hawatuwezi, na ile aliyoshilikishwa na makamua (so baby please rudi nyumbani). sijui kwa nini aliamua kuacha mziki
Aiseee Hardman na Fatma waliimba lile goma lao linaitwa TAMALA lilibamba kinoma noma. Hilo la Eno Mic nakumbuka mwaka 2003 kuna jamaa zangu Waingereza walinikutaga nasikiliza kwenye Walk-Man wakalipenda kinoma, wakaomba niwaandikiage mistari yake. Daah hata kiganda chenyewe nikawa sijui, nikaandikaga pumba tu. These moments were one among the Best times of my life.......List haiwezi kukamilika bila kumuweka Fatma yule dada yake na Hardmad, dada alikuwa anaimba aisee, kipindi hiko bila kumuweka kwenye chorus wimbo wako haukubaliki kitaa.
Ule wimbo wa Eno mic wa Ziggy D wa Uganda mpaka leo nausikilizaga saana hasa kile kisauti cha huyu bidada.