Wasanii wa kiume wenye macho ya kuvutia Tanzania

Wasanii wa kiume wenye macho ya kuvutia Tanzania

Ukimalizamacho uje midomo
Namba one adimame domomd mwenyewe,hivi mdomo wa diamond ulipoteleaga wapi
 
Kweli kuna wakaka wazuri hata kama sio msanii ukimuona anavutia, sisi wanawake hilo tunaliangaliaga sana.( ila hatulipi kipaumbele naomba nieleweke)

Tuachane na hilo la wasanii wakaka wa hivyo wazuri hawanaga hela sijui kwa nini?
Msiniponde mawe mimi nina vijipesa vyangu vya kula mwenyewe siombagi wananume, ila wakaka wenye muonekano mzuri ,macho mazuri,ni wabahili na hawanaga hela ya maana hadi wanakera

Kweli Mungu hakupi vyote.

Yaani mchawi alie watenganisha wanaume wenye mwonekano mzuri na hela alaaniwe milele.

Sorry kama niko nje ya mada, nimekumbuka zamani panya mmoja alivyokuwa na mwonekano mzuri macho yake, dah bahili balaa. Happy Sunday.
Mbona hii comment yako inajipinga yenyewe?

Mwanzo unasema una vipesa vyako na hua huombi hela wanaume ila hapo hapo unasema wakaka wazuri hawanaga hela ya maana hadi wanakera,

Sasa kama hua huwaombi hela,kitu gani kinakufanya wewe ukereke kwa wao kutokua na hela? na huo ubahili wao,wewe umeujuaje ikiwa huwaombi hela? kwanini ukereke kwa maisha ya mtu mwingine?

Umewapitia wakaka wangapi wazuri hadi sasa ambao walikua hawana hela ya maana mpaka ukafikiria hiyo conclusion yako ya kuhukumu wakaka wote wazuri?
 
Kweli kuna wakaka wazuri hata kama sio msanii ukimuona anavutia, sisi wanawake hilo tunaliangaliaga sana.( ila hatulipi kipaumbele naomba nieleweke)

Tuachane na hilo la wasanii wakaka wa hivyo wazuri hawanaga hela sijui kwa nini?
Msiniponde mawe mimi nina vijipesa vyangu vya kula mwenyewe siombaji mwanaume, ila wakaka wenye muonekano mzuri, macho mazuri, ni wabahili na hawanaga hela ya maana yaani hadi wanakera.

Kweli Mungu hakupi vyote.

Yaani mchawi alie watenganisha wanaume wenye mwonekano mzuri na hela alaaniwe milele.

Sorry kama niko nje ya mada, nimekumbuka zamani panya mmoja alivyokuwa na mwonekano mzuri macho yake, dah bahili balaa. Happy Sunday.
Kwahiyo ndo uniite Panya haki sijapenta [emoji17] sahivi nimezipata sina ubahili tena
 
Kweli kuna wakaka wazuri hata kama sio msanii ukimuona anavutia, sisi wanawake hilo tunaliangaliaga sana.( ila hatulipi kipaumbele naomba nieleweke)

Tuachane na hilo la wasanii wakaka wa hivyo wazuri hawanaga hela sijui kwa nini?
Msiniponde mawe mimi nina vijipesa vyangu vya kula mwenyewe siombaji mwanaume, ila wakaka wenye muonekano mzuri, macho mazuri, ni wabahili na hawanaga hela ya maana yaani hadi wanakera.

Kweli Mungu hakupi vyote.

Yaani mchawi alie watenganisha wanaume wenye mwonekano mzuri na hela alaaniwe milele.

Sorry kama niko nje ya mada, nimekumbuka zamani panya mmoja alivyokuwa na mwonekano mzuri macho yake, dah bahili balaa. Happy Sunday.
Kwa hiyo sisi mwenye sura personal na hatuna pesa tuuwawe sio?
 
Macho yanavutia sana. Kupitia macho waweza kuchungulia roho ya mtu, baadhi ya vigezo vinavyofanya macho kuwa yenye mvuto ni; kuwa na umbo la Uduara wenye uwiano, kuchomoza nje ya sura, na kuchukua nafasi zaidi ya asilimia hamsini ya Sura. Nimeweza kutazama kazi za sanaa za uimbaji na kubaini baadhi ya wasanii wa kiume wana Macho yenye mvuto kulinganisha na wenzao.

Wa kwanza ni Mr. Blue, kupitia kazi - Mimi na wewe - Kiss Kiss. Blue ana macho maridadi sana kuna muda mpaka nilizania yanaweza dondoka kutokana na jinsi yalivyochomoka. Kupitia Macho yake nabashiri Blue ni mtu poa sana, anaishi vizuri na watu.
View attachment 2999670

Wa pili ni Bushoke, kupitia kazi kama - Dunia mapito, Usiende mbali, Nalia kwa furaha. Sijachoka kuyatizama muda wote jamaa Macho yake angavu sana, na Ni makubwa. Kupitia Macho yake jamaa namwona ni kama mtu mwenye usiri na hekima kubwa.
View attachment 2999671
Pia, kuna viumbe vingine vyenye Macho mazuri ajabu sijavitaja. Lucky vina mioyo ya damu na sio ya mashine hivyo vitaelewa. Je, nimemaliza wote au unadhani kuna msanii nimemwacha? Una comment gani juu ya hili.
Wewe ni ME au KE
 
Macho yanavutia sana. Kupitia macho waweza kuchungulia roho ya mtu, baadhi ya vigezo vinavyofanya macho kuwa yenye mvuto ni; kuwa na umbo la Uduara wenye uwiano, kuchomoza nje ya sura, na kuchukua nafasi zaidi ya asilimia hamsini ya Sura. Nimeweza kutazama kazi za sanaa za uimbaji na kubaini baadhi ya wasanii wa kiume wana Macho yenye mvuto kulinganisha na wenzao.

Wa kwanza ni Mr. Blue, kupitia kazi - Mimi na wewe - Kiss Kiss. Blue ana macho maridadi sana kuna muda mpaka nilizania yanaweza dondoka kutokana na jinsi yalivyochomoka. Kupitia Macho yake nabashiri Blue ni mtu poa sana, anaishi vizuri na watu.
View attachment 2999670

Wa pili ni Bushoke, kupitia kazi kama - Dunia mapito, Usiende mbali, Nalia kwa furaha. Sijachoka kuyatizama muda wote jamaa Macho yake angavu sana, na Ni makubwa. Kupitia Macho yake jamaa namwona ni kama mtu mwenye usiri na hekima kubwa.
View attachment 2999671
Pia, kuna viumbe vingine vyenye Macho mazuri ajabu sijavitaja. Lucky vina mioyo ya damu na sio ya mashine hivyo vitaelewa. Je, nimemaliza wote au unadhani kuna msanii nimemwacha? Una comment gani juu ya hili.
Yavutie ili waliwe au?
 
Back
Top Bottom