Wasanii wa sinema punguzeni "Uzungu"

Wasanii wa sinema punguzeni "Uzungu"

Anaweza kusema" NOOOOO"
halafu akaongeza " HAPANA"

sasa najiuliza haya maneno Yana maana 2 tofauti?
Atakuwa anajua wenzie lugha haipandi kwahiyo ili asiharibu ama kuwachajganya inabidi aweke na kiswahili ili kuwaelewesha na sio kuweka msisitizo kama wadau wasemavyo
 
Kule Youtube kuna yule Fatma birthday anaita bazday
 
Wellu Sengo mmmh anajishaua jamani Hadi anajaribu utamu wa movie yenyewe kutwa kabenua midomo na English yake feki
 
Ila Wellu mzuri bana kuanzia sura mpaka chini.
Akivaa nguo zisizombana hatariiiiii zaidi.
 
Ila jamani bongo movies ni washamba hata kiuhalisia. Niliangalia bongo movies awards iliyofanyika Mbeya sikuweza kuendelea nilibadili channel.
Watu ni washamba wanachezacheza na kujichekesha wengine watu wazima utadhani kijana wa form two. niliona aibu.

Kesho yake naangalia matukio yaliyotokea jana yake naona zee zima eti limepata award linalia michozi hadi mikamasi inamtoka.
Hadi leo nashangaa labda mimi nina matatizo.
 
English yenyewe haimudu
Kumudu anamudu sema naazingua.
Si wabongo hatupendi hizo.
Anaboa anaboa narudia anaboa anaboa.
Halafu ana fake sana, zile za kizungu sana.
Halafu kanenepa ovyo, zamani alikua kakaa vema. Sasa kunenepa kule kwa ovyo kawa kama gari iliyopata ajali inahitaji kunyooshwa, kisha bado anavaa ovyoovyo kuonyesha mwili ule wa kibindankoi.
 
Ila jamani bongo movies ni washamba hata kiuhalisia. Niliangalia bongo movies awards iliyofanyika Mbeya sikuweza kuendelea nilibadili channel.
Watu ni washamba wanachezacheza na kujichekesha wengine watu wazima utadhani kijana wa form two. niliona aibu.

Kesho yake naangalia matukio yaliyotokea jana yake naona zee zima eti limepata award linalia michozi hadi mikamasi inamtoka.
Hadi leo nashangaa labda mimi nina matatizo.
Vingine vunga tu.
Bongo hatuna sehemu tunayofanya vema tunapuyanga kila sehemu.
Umewahi hudhuria cooperate events au awards zinazotolewa kwa makampuni bora? Ungejionea utopolo mwingine huko. Sisi dunia hii tupotupo mradi tunaishi na kujamba.
 
Back
Top Bottom