Wasanii wa Tanzania wameshindwa kuhudhuria msiba wa mama yake Sugu kwa sababu za kiitikadi?

Alitamka hivi baada ya kushindwa kupata sapoti kutoka kwa wasanii wenzie kipindi cha kampeni,alafu hao hao wanaenda kufanya kampeni kwa chama cha kijani huku wakiwa wanataka sugu anawasemee matatizo yao bungeni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
usiku mwema!
 

Mbona unajiuliza swali la kijinga na kipumbavu sana? Ina maana akili yako imeshindwa kupata jibu?
 
Mleta mada ni kiazi tena kiazi mbatata.

Huu ujinga wa kila kitu kumlaumu mzee, kuna siku mtagongewa wake zenu kisha mtalaumu mzee

Sent using Jamii Forums mobile app
 
.
...mbowe alimzika mamake Zito !?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
....ulipewa kitengo cha kuratibu wanao hudhuria maziko !?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nia yake atengeneze tu lawama ya kuwa kuna watu hawakwenda kisa kuna mtu anawatisha !unafiki tu umemjaa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Misiba ya wasanii wenzie SUGU alikua anaonekana?
 
Suma G, kala jeremiah, nguva vicking Papi kocha wameshiriki kwenye kuaga mwili wa Mama Jongwe, Ulihitaji wasanii wapi ndo ukubali kuwa wasanii wameshiriki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona unajiuliza swali la kijinga na kipumbavu sana? Ina maana akili yako imeshindwa kupata jibu?
La kijinga na kipumbavu? Huoni kama kweli lipo kundi la watu ambao wanaogopa kumsabahi mgonjwa au kumpa pole aliyefiwa kwa sababu wanamwogopa mtu fulani basi kuna tatizo kubwa kabisa? i.e. hao wanaopangiwa watakuwa na matatizo?
 
Sifa ya "Sugu " kwenye Bongo Flava ni ya pekee, kwa msiba huo huwezi kulinganisha na mambo ya chama chake. Viongozi wa chama wako nchi nzima na wapo walioko nje ya Dar, na pengine wataenda Mbeya.
Wasanii wa bongo flava walipaswa kuonyesha mshikamano kama wana fani achilia mbali wanasiasa na siasa zao.
Lakini tunàshukuru kwa yote tuyaonayo maana ndiyo jamii tuliyojenga sasa na hata mbeleni.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwanza nimshukuru sana Mungu kwa kuzuia wanafiki wenye akili za kichawi kutoka ccm kwenda kwenye msiba huu , hii ni baraka kwa mama yetu , Msiba ukihudhuriwa na wachawi roho ya marehemu huishia ardhini tu .

Mkuu umeongea jambo la msingi sana. Hao waliohudhiria wameguswa kikweli kweli na huyo mama atazikwa. Hakuna haja ya kujaza wanafiki eti kuonyesha una watu wengi. Mimi kuliko kuzikwa na wanafiki 20,000 bora kuzikwa na watu 10 walioguswa sio wauza sura. Hao wasanii wasubiri wakajazane kwa watoa vyeo huko ndio sura zinalipa. Nina hakika Mbeya itazizima maana Sugu huko yuko kwenye damu zao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…