Alikuwa anasafiri kwenda wapi? Kulikuwa na ndege au ni punda?Suleman alikua anasafiri na wanawake 700 na michepuko 300 lakini waisrael hawakulalamika ......
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa anasafiri kwenda wapi? Kulikuwa na ndege au ni punda?Suleman alikua anasafiri na wanawake 700 na michepuko 300 lakini waisrael hawakulalamika ......
Kwani wafanyabiashara wanaoambatana na Rais ulipiwa na nani?Jana lililotoka tamko kwamba kuanzia sasa Mhe. Rais akisafiri nje ataambatana na wasanii mbalimbali. Je hao wasanii lengo lao ni kwenda kufanya matamasha au watakuwa na kazi gani?
Je, nani atagahrimia safari zao kuambatana na Rais? Nchi ina utajiri mkubwa kiasi hicho wakati nchi nyingi Duniani uchumi umedorora? Nani anamshauri kiuchumi kwamba huu ni muda wa matumizi kwa kuambatana na misafara mirefu?
Anayeshauri ameona mjadala ulioibuka Kenya juzi? Ameona namna Rais alivyokuwa na wakati mgumu kutetea private Jet? Tuwahurumie maskini hata kidogo
Elimu , elimu,elimu.Jana lililotoka tamko kwamba kuanzia sasa Mhe. Rais akisafiri nje ataambatana na wasanii mbalimbali. Je hao wasanii lengo lao ni kwenda kufanya matamasha au watakuwa na kazi gani?
Je, nani atagahrimia safari zao kuambatana na Rais? Nchi ina utajiri mkubwa kiasi hicho wakati nchi nyingi Duniani uchumi umedorora? Nani anamshauri kiuchumi kwamba huu ni muda wa matumizi kwa kuambatana na misafara mirefu?
Anayeshauri ameona mjadala ulioibuka Kenya juzi? Ameona namna Rais alivyokuwa na wakati mgumu kutetea private Jet? Tuwahurumie maskini hata kidogo
Hivi unajua kuwa watu wanakuona we ni mjinga Sana! Au ww ufahamu hivyo, kwanini ww Kila Jambo la kipuuzi unapenda kulitetea.Hoja zako ni dhaifu kwa sababu ilielezwa sababu ya kwenda nao nje ya nchi. Pili unaposema misafara mirefu Ni hoja dhaifu maana hajasema kuwa ataambatana na wasanii wote wanaopatikana katika nchi hii.bali ni kwa kuchagua tu msanii hata mmoja au wawili kwa safari moja. Lakini pia unaposema habari za gharama nayo ni hoja dhaifu sana kwa sababu Mheshimiwa Rais kwa kutumia mshahara wake tu hawezi kushindwa kumlipia na kumsafirisha msanii mmoja au wawili katika safari yake.
Ikumbukwe wasanii wana ushawishi mkubwa sana na wanafaida kubwa sana katika kuitangaza nchi yetu na ni miongoni mwa watu walioitangaza na kuipeperusha vyema sana bendera ya Taifa letu Duniani kwote. Jiulize pia wasanii kama Diamond ana wafuasi wangapi wanaomfuatilia mtandaoni?
Usiwe na mawazo mafupi.fikiri na tumia vyema akili yako.
This is Africa bro.. tulidai Uhuru mapema saana..Jana lililotoka tamko kwamba kuanzia sasa Mhe. Rais akisafiri nje ataambatana na wasanii mbalimbali. Je hao wasanii lengo lao ni kwenda kufanya matamasha au watakuwa na kazi gani?
Je, nani atagahrimia safari zao kuambatana na Rais? Nchi ina utajiri mkubwa kiasi hicho wakati nchi nyingi Duniani uchumi umedorora? Nani anamshauri kiuchumi kwamba huu ni muda wa matumizi kwa kuambatana na misafara mirefu?
Anayeshauri ameona mjadala ulioibuka Kenya juzi? Ameona namna Rais alivyokuwa na wakati mgumu kutetea private Jet? Tuwahurumie maskini hata kidogo
Unauliza mavumbi stoo?Jana lililotoka tamko kwamba kuanzia sasa Mhe. Rais akisafiri nje ataambatana na wasanii mbalimbali. Je hao wasanii lengo lao ni kwenda kufanya matamasha au watakuwa na kazi gani?
Je, nani atagahrimia safari zao kuambatana na Rais? Nchi ina utajiri mkubwa kiasi hicho wakati nchi nyingi Duniani uchumi umedorora? Nani anamshauri kiuchumi kwamba huu ni muda wa matumizi kwa kuambatana na misafara mirefu?
Anayeshauri ameona mjadala ulioibuka Kenya juzi? Ameona namna Rais alivyokuwa na wakati mgumu kutetea private Jet? Tuwahurumie maskini hata kidogo
acha upindi wananchi ni maskini sana hafu utumie pesa za kodi hovyo kwa wasanii hii haikubalikiHoja zako ni dhaifu kwa sababu ilielezwa sababu ya kwenda nao nje ya nchi. Pili unaposema misafara mirefu Ni hoja dhaifu maana hajasema kuwa ataambatana na wasanii wote wanaopatikana katika nchi hii.bali ni kwa kuchagua tu msanii hata mmoja au wawili kwa safari moja. Lakini pia unaposema habari za gharama nayo ni hoja dhaifu sana kwa sababu Mheshimiwa Rais kwa kutumia mshahara wake tu hawezi kushindwa kumlipia na kumsafirisha msanii mmoja au wawili katika safari yake.
Ikumbukwe wasanii wana ushawishi mkubwa sana na wanafaida kubwa sana katika kuitangaza nchi yetu na ni miongoni mwa watu walioitangaza na kuipeperusha vyema sana bendera ya Taifa letu Duniani kwote. Jiulize pia wasanii kama Diamond ana wafuasi wangapi wanaomfuatilia mtandaoni?
Usiwe na mawazo mafupi.fikiri na tumia vyema akili yako.
Jana lililotoka tamko kwamba kuanzia sasa Mhe. Rais akisafiri nje ataambatana na wasanii mbalimbali. Je hao wasanii lengo lao ni kwenda kufanya matamasha au watakuwa na kazi gani?
Je, nani atagahrimia safari zao kuambatana na Rais? Nchi ina utajiri mkubwa kiasi hicho wakati nchi nyingi Duniani uchumi umedorora? Nani anamshauri kiuchumi kwamba huu ni muda wa matumizi kwa kuambatana na misafara mirefu?
Anayeshauri ameona mjadala ulioibuka Kenya juzi? Ameona namna Rais alivyokuwa na wakati mgumu kutetea private Jet? Tuwahurumie maskini hata kidogo
Rais mnae
Mimi sina uhusiano wowote na huyo 'chizi' uliye mjibu hapo, lakini je, akikujibu kwamba hizo hela siyo za "maskini walipa kodi", utapata nafuu kidogo katika maumivu yanayotupata sote kuhusu utapanyaji wa kodi zetu?acha upindi wananchi ni maskini sana hafu utumie pesa za kodi hovyo kwa wasanii hii haikubaliki