Nassib Sanga
Senior Member
- Aug 11, 2012
- 170
- 114
Kuna jamaa alishaniambia kuwa wanatumia madawa kwa madhumuni ya kuongeza ubora kwenye game kitandani.
Tunajua wasanii huwa ratiba zao zimewabana sana kwa hiyo hata ukifikia muda wa faragha perfomance zao huwa ni mbovu.
Wanaanza mdogo mdogo kutumia poda na wanasema ukishapiga hayo mambo game yako inakuwa hatari.
Mwisho wa siku wanakuwa addicted mazima na unga.
Tunajua wasanii huwa ratiba zao zimewabana sana kwa hiyo hata ukifikia muda wa faragha perfomance zao huwa ni mbovu.
Wanaanza mdogo mdogo kutumia poda na wanasema ukishapiga hayo mambo game yako inakuwa hatari.
Mwisho wa siku wanakuwa addicted mazima na unga.