Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Badala wazuie kitimoto hata vitabu vya dini vinekataza wai wanaangaika na ganja. Hii kitu ni tamu hasa ule moshi ukiwa unautolea kwa puani 😋😋
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miss u mwenza. Hlf nitakuletea siku moja...na hivyo vimacho vyako sijui utakuaje😅😅Ila mwenzaaa [emoji119][emoji119]
Mwenza hapana aiseee me kuna vitu acha niwe mtazamaji na hiyo ikiwepo [emoji1787]mpaka kufikia uzee huu hivyo vitu sijawahi kugusa acha viendelee kunipitaMiss u mwenza. Hlf nitakuletea siku moja...na hivyo vimacho vyako sijui utakuaje[emoji28][emoji28]
Wasimbeep kusaya,atawaweka kabatini ohooo
Ova
Kweni pombe sio dawa ya kulevya?.. Binafsi nashauri mswada wa Bangi urudi bungeni tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), Gerald Kusaya amewaonya Wasanii wa Tanzania wanaotunga nyimbo za kuhamasisha matumizi ya dawa za kulevya ikiwemo bangi na kusema hatua kali za kisheria zitachukuliwa kwa Wasanii hao.
Akiongea na Waandishi wa Habari, Dar es salaam leo amesema “Kuna Wasanii wanahamasisha matumizi ya dawa za kulevya ikiwemo bangi, kama kuna Wasaniii ambao wanadhani badala ya kutunga nyimbo za kuhamasisha Jamii wao wanatunga nyimbo za kuhamasisha matumizi ya dawa za kulevya, sheria yetu inasema hao tutawachukulia hatua”
“Kama kuna Msanii anadhani anaweza kupata umaarufu kwa kupitia nyimbo za kuhamasisha matumizi ya dawa za kulevya hatutomuacha hata mara moja, sheria itachukua mkondo na ipo siku nitawaita Waandishi wa habari ili muone kitu gani tumekifanya kwa Wasanii wanaotaka kupata umaarufu kwa kutumia dawa za kulevya”
“Mbona mashairi yapo ya aina nyingi unashindwaje kutunga mashairi ya vitu vyote, si wahamasishe hata kilimo bora au biashara, kwani lazima wahamasishe mambo ya bangi? hatutoruhusu Mtanzania yoyote afanye uhamasishaji wa matumizi ya dawa za kulevya”
Mtoto mzuri sana weweMwenza hapana aiseee me kuna vitu acha niwe mtazamaji na hiyo ikiwepo [emoji1787]mpaka kufikia uzee huu hivyo vitu sijawahi kugusa acha viendelee kunipita
Hili litasemewa na Kamishha Mkuu wa Kudhibiti na Kupambana na Ngono na Mtaro. Tumpe muda tu.Na wale wanao-promote ngono na mtaro mbona hawakemewi?
😂😂 anaitwa nani?Hili litasemewa na Kamishha Mkuu wa Kudhibiti na Kupambana na Ngono na Mtaro. Tumpe muda tu.
AiseeeNa wale wanao-promote ngono na mtaro mbona hawakemewi?
Waanze na DiamondSiku itafika lini? Hawajaanza leo mbona.
Tena kwa tamko hili huo wimbo utatafutwa na kusikilizwa sana. Kamishna kapromote na yeye.
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), Gerald Kusaya amewaonya Wasanii wa Tanzania wanaotunga nyimbo za kuhamasisha matumizi ya dawa za kulevya ikiwemo bangi na kusema hatua kali za kisheria zitachukuliwa kwa Wasanii hao.
Akiongea na Waandishi wa Habari, Dar es salaam leo amesema “Kuna Wasanii wanahamasisha matumizi ya dawa za kulevya ikiwemo bangi, kama kuna Wasaniii ambao wanadhani badala ya kutunga nyimbo za kuhamasisha Jamii wao wanatunga nyimbo za kuhamasisha matumizi ya dawa za kulevya, sheria yetu inasema hao tutawachukulia hatua”
“Kama kuna Msanii anadhani anaweza kupata umaarufu kwa kupitia nyimbo za kuhamasisha matumizi ya dawa za kulevya hatutomuacha hata mara moja, sheria itachukua mkondo na ipo siku nitawaita Waandishi wa habari ili muone kitu gani tumekifanya kwa Wasanii wanaotaka kupata umaarufu kwa kutumia dawa za kulevya”
“Mbona mashairi yapo ya aina nyingi unashindwaje kutunga mashairi ya vitu vyote, si wahamasishe hata kilimo bora au biashara, kwani lazima wahamasishe mambo ya bangi? hatutoruhusu Mtanzania yoyote afanye uhamasishaji wa matumizi ya dawa za kulevya”