HIMARS
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 70,791
- 98,334
Huyu jamaa hana kelele, ananyata kimya kimya, akihakikisha ukidakwa hutokiWasimbeep kusaya,atawaweka kabatini ohooo
Ova
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu jamaa hana kelele, ananyata kimya kimya, akihakikisha ukidakwa hutokiWasimbeep kusaya,atawaweka kabatini ohooo
Ova
Hii serikali ya kijinga sana. Wasanii wanapanda na mashoga jukwaani wanawaangalia tu halafu wanajifanya nchi yetu ina maadili pambav sana.
Kuna huyu mmoja alikua stage na Diamond anakatika kama demu, na watu wanafurahia.Hii serikali ya kijinga sana. Wasanii wanapanda na mashoga jukwaani wanawaangalia tu halafu wanajifanya nchi yetu ina maadili pambav sana.
Bora tuvute bangi tu
Inashangaza sana. Watanzania sisi ni wanafikiKuna huyu mmoja alikua stage na Diamond anakatika kama demu, na watu wanafurahia.
Kuna mashoga wanajitangaza kabisa
Kuna wanawake wanajiuza kabisa
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Teh teh ,ila mondi &Co Ltd wana promote sana ushgKuna huyu mmoja alikua stage na Diamond anakatika kama demu, na watu wanafurahia.
Kuna mashoga wanajitangaza kabisa
Kuna wanawake wanajiuza kabisa
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Ila wakisema wakaze wengine ndo biashara zao.Inashangaza sana. Watanzania sisi ni wanafiki
Ni kampuni yote wanasifia ushoga, mapenzi kinyume na maumbile, wanasifia pombeTeh teh ,ila mondi &Co Ltd wana promote sana ushg
Ova
“Mbona mashairi yapo ya aina nyingi unashindwaje kutunga mashairi ya vitu vyote, si wahamasishe hata kilimo bora au biashara, kwani lazima wahamasishe mambo ya bangi? hatutoruhusu Mtanzania yoyote afanye uhamasishaji wa matumizi ya dawa za kulevya”[emoji1752]
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), Gerald Kusaya amewaonya Wasanii wa Tanzania wanaotunga nyimbo za kuhamasisha matumizi ya dawa za kulevya ikiwemo bangi na kusema hatua kali za kisheria zitachukuliwa kwa Wasanii hao.
Akiongea na Waandishi wa Habari, Dar es salaam leo amesema “Kuna Wasanii wanahamasisha matumizi ya dawa za kulevya ikiwemo bangi, kama kuna Wasaniii ambao wanadhani badala ya kutunga nyimbo za kuhamasisha Jamii wao wanatunga nyimbo za kuhamasisha matumizi ya dawa za kulevya, sheria yetu inasema hao tutawachukulia hatua”
“Kama kuna Msanii anadhani anaweza kupata umaarufu kwa kupitia nyimbo za kuhamasisha matumizi ya dawa za kulevya hatutomuacha hata mara moja, sheria itachukua mkondo na ipo siku nitawaita Waandishi wa habari ili muone kitu gani tumekifanya kwa Wasanii wanaotaka kupata umaarufu kwa kutumia dawa za kulevya”
“Mbona mashairi yapo ya aina nyingi unashindwaje kutunga mashairi ya vitu vyote, si wahamasishe hata kilimo bora au biashara, kwani lazima wahamasishe mambo ya bangi? hatutoruhusu Mtanzania yoyote afanye uhamasishaji wa matumizi ya dawa za kulevya”
Sio rahisi kutokomeza ukahaba au udangaji. Hii kitu ni worldwide. Lakini tunaweza punguza kwa kuzuia promotions za wazi wazi.Ila wakisema wakaze wengine ndo biashara zao.
Kuna mademu wana iphone 14 pro ila wanaishi nyumba za ajabu, usafiri wao daladala unabaki unamshangaa
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Teh teh ,ila mondi &Co Ltd wana promote sana ushg
Ova
Labda kila mtu aanze kwa wanaomzunguka.Sio rahisi kutokomeza ukahaba au udangaji. Hii kitu ni worldwide. Lakini tunaweza punguza kwa kuzuia promotions za wazi wazi.
Watu wameshabikia Qatar kusimamia tamaduni na maadili yao wakati huku kwetu mambo ambayo tunajidai tunayapinga kwa kigezo kwamba sio maadili yetu tunayaacha wazi wazi wazi hakuna mwenye ubavu wa kukemea.
Tukemee uovu kama tunavyokemea mabehewa ...
Wanao kuzunguka labda watoto wako. Wengine huwezi kuwaingilia maisha yaoLabda kila mtu aanze kwa wanaomzunguka.
Tatizo wanawake wanapenda kitonga,wanaume nao wanapenda kitonga.
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
WASAFIWanao kuzunguka labda watoto wako. Wengine huwezi kuwaingilia maisha yao
Badala wakataze sigara zinaharibu afya za watu wanahangaika na mmea mtamu kiasi hichoKweni pombe sio dawa ya kulevya?.. Binafsi nashauri mswada wa Bangi urudi bungeni tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Iruhusiwe tuu.. Itakuza uchumi kuliko tumbaku na ukizingatia haina madhara kama tumbaku pia
Mozambique tunaita shurumaHow do you call weed in your language
Tanzania tunaita bangi
Kenya tunaita tishurumashesh
Ghana tunaita kdampee
Niger tunaita igway
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]