Edon 666
JF-Expert Member
- Jul 15, 2022
- 417
- 1,056
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mozambique tunaita shuruma
AiseeKhooo khooo khooo Yoyooooooo ,kwanza ganja n dawaaa....View attachment 2438909
Sent using Jamii Forums mobile app
Kupanga ni kuchagua yeye kamishna atoe wimbo wa kuhamasisha kilimo.🤣🤣“Mbona mashairi yapo ya aina nyingi unashindwaje kutunga mashairi ya vitu vyote, si wahamasishe hata kilimo bora au biashara, kwani lazima wahamasishe mambo ya bangi? hatutoruhusu Mtanzania yoyote afanye uhamasishaji wa matumizi ya dawa za kulevya”[emoji1752]
Huyo Kamishna akili hana aliyemwambia ganja ni miongoni mwa madawa ya kulevya ni nani
[emoji38][emoji38][emoji38]kikohozi Cha mchongoKile kikohozi cha mmakonde kinaenda kupona
Tanzania tunaita bangheeBonge ya ngoma jamani. Kwanza harmonize kamfunika Koshens
mkuu, wewe ni kiboko hutaki masihara.Lil Wayne, Jay-Z, Kodak, Snopp na wengineo kibao nyimbo zao zimejaa mashairi ya kuutukuza huu mmea na ni wasanii wakubwa na wanatoka kwenye nchi kubwa kiuchumi duniani mbona hawakatazwi ni kwa sababu huu mmea hauna madhara kama tunavyoaminishwa na WAJINGA
unafiki mtupu ndio maana kama nchi hatuendelei kwa sababu ya mambo ya kijinga kama haya tunaacha mambo ya maana kama tozo, katiba mbovu, upungufu wa fedha za kigeni BOT na mengine mengi
SHUBAAMIT
Sijaifungua leo mkuu ipo hivi siku zote na ni mtumiaji mzuri tu wa huu mmeamkuu, wewe ni kiboko hutaki masihara.
umeamua ufungue ID kabisa yenye jina la Ganja ni dawa kulaani tamko la huyu kamishna sijui nani.