Wasanii wanaoimba kuhusu bangi wapewa onyo

Badala wazuie kitimoto hata vitabu vya dini vinekataza wai wanaangaika na ganja. Hii kitu ni tamu hasa ule moshi ukiwa unautolea kwa puani 😋😋
 
Ni sheria ipi iliyovunjwa? Ama hatua gani hizo za kisheria zitachukuliwa?
 
Miss u mwenza. Hlf nitakuletea siku moja...na hivyo vimacho vyako sijui utakuaje[emoji28][emoji28]
Mwenza hapana aiseee me kuna vitu acha niwe mtazamaji na hiyo ikiwepo [emoji1787]mpaka kufikia uzee huu hivyo vitu sijawahi kugusa acha viendelee kunipita
 
Kweni pombe sio dawa ya kulevya?.. Binafsi nashauri mswada wa Bangi urudi bungeni tu [emoji23][emoji23][emoji23]

Iruhusiwe tuu.. Itakuza uchumi kuliko tumbaku na ukizingatia haina madhara kama tumbaku pia
 
Bangi ina majina mengi sana. Tutaimba kuhusu bangi ila kwa lugha za mtaani. Kamishina akapambane na bange mashambani sio kwenye mistari ya ngoma za watu
 
Huyu angetuacha na bangi yetu tu, kuna wasanii wapo na mashoga kila siku na huwezi kusikia hili wakiongelea ila linapokuja suala la kiburudisho wanaleta mhaho
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…