Wasanii zaidi ya 2000 Uingereza wasaini waraka kuilaani Israel

Wasanii zaidi ya 2000 Uingereza wasaini waraka kuilaani Israel

Mkuu shida ninayoiona mashariki ya kati ni ubinafsi.
Myahudi anataka aishi na mparestina kama kabila ndani ya Israel na sio taifa.
Na mparestina hataki kabisa kuishi na muisrael hata kumfanya kuwa jirani yake hataki.
Kila mparestina akiañzisha vita ardhi yake inazidi kumegwa mwisho atajikuta hana ardhi kabisa.
Kwa hali ilivyo mparestina angeachana na vita atafute suruhu kwa njia ya mazungumzo.
Huwezi kupigana vita huku umefungwa mikono. Waparestina hawana jeshi wala silaha za kufanya vita na wayahudi. Wanachokifanya hamas ni kuwaongezea shida raia wa parestina.
Hawaongezi kitu bali wanazidi kupoteza
Ushauri wa kimaskini
 
In case you didn't know. Kunamakubalianoo yalisainiwa miaka miwili iliyopita kwamba hakuna pande yoyote itamshambulia mwenzie. Palestina kupitia Hamas kavunja makubalino kwa kufanya mashambulizi so huu ni muda wa wao kulia na kusaga meno. Somebody has to bear consequences of his deed.
Hamas Wanashambuliwa kimya kimya na Israel ila media za west Huwa haziripoti kabisa.Watu wanadungwa sindano za sumu kimya kimya Israel so mjinga kuingia makubaliano na Hamas ye alitaka awamalize kimya kimya na ndo kitu alikuwa anafanya.Hii Dunia ni zaidi tuijuavo
 
Wasanii wa kada zote nchini Uiengereza wanaozidi elfu mbili wamesaini waraka kuonesha kukerwa kwao na ukatili wa Israel kwa wapalestina.

Wasanii hao ni pamoja na Tilda Swinton, Steve Coogan, Charles Dance and Maxine Peake.Katika waraka wao huo wamesema wanaitaka Israel isitishe unyama wake mara moja na pia serikali ya UK isitishe misaada yake kwa taifa hilo kwani misaada hiyo ndiyo inayochochea ukatili wa Israel

=====

Actors’ open letter condemns ‘Israel’s war crimes’ but not Hamas massacre


View attachment 2786089

An open letter signed by well-known actors condemning Israeli military actions has been criticised for failing to mention brutal terror attacks carried out by Hamas.

More than 2,000 artists, actors and musicians in the UK, including Tilda Swinton, Steve Coogan, Charles Dance and Maxine Peake, signed the letter.

They called for an immediate ceasefire in Gaza and for “our governments to end their military and political support for Israel’s actions”.

“Our governments are not only tolerating war crimes but aiding and abetting them,” the note, written by Artists for Palestine UK, added.

However, it did not mention the terror group Hamas - or the massacres it carried out earlier this month.

On Wednesday night, a former actor-turned-Tory MP said it was important to address “both sides” and that actors ought to think carefully before weighing in on such a sensitive issue.

Giles Watling, who sits on the culture, media and sport committee, said: “I think it’s a very complicated situation politically and historically and in this case, it is very important to present both sides of the issue.

“We must absolutely condemn the attacks of Hamas on Israel, yes, but of course, I have great sympathy for the Palestinian people and the suffering they have endured.

“But you can’t just present one side and not the other.”

‘Group of misfits and weirdos’

The Clacton MP, best known for his role as Vicar Oswald in the BBC sitcom Bread, added: “Everyone is entitled to a view, but actors will be aware of the powers of their views and they should try to think very carefully when they weigh in on sensitive issues like this.”

Meanwhile, David Mencer, former director of Labour Friends of Israel, went further and described the letter as “drivel”.
Kumbe ni wasanii, sasa Kuna shida gani harmorapa akisaini waraka. Dua la kuku halimpati mwewe
 
Kumbe ni wasanii, sasa Kuna shida gani harmorapa akisaini waraka. Dua la kuku halimpati mwewe
Mpaka lini utabaki na mawazo hayo kuwa wapalestina ni kuku tu.
 
In case you didn't know. Kunamakubalianoo yalisainiwa miaka miwili iliyopita kwamba hakuna pande yoyote itamshambulia mwenzie. Palestina kupitia Hamas kavunja makubalino kwa kufanya mashambulizi so huu ni muda wa wao kulia na kusaga meno. Somebody has to bear consequences of his deed.
Mbona waisraeli walikuwa wanawashambulia na kuchukua maeneo ya wapalestina?
 
Mbona waisraeli walikuwa wanawashambulia na kuchukua maeneo ya wapalestina?
Hawajawahi kusimamisha mashambulizi na vitimbi vyao kwa wapalestina hata kuwe na makubaliano aina gani.Watayavunja tu.
 
sijui umejuwaje kuhushu kulaaniwa kwake.Pamoja na hivyo vitu huwa vinazidiana.Huyu itakuwa kaona wayahudi wanafanya mambo ya laana kuliko yake ndio akajiamini kuwalaani.
ss hv wasanii wa uingereza ni malaika?
 
Hamas Wanashambuliwa kimya kimya na Israel ila media za west Huwa haziripoti kabisa.Watu wanadungwa sindano za sumu kimya kimya Israel so mjinga kuingia makubaliano na Hamas ye alitaka awamalize kimya kimya na ndo kitu alikuwa anafanya.Hii Dunia ni zaidi tuijuavo
ww ujue hlf media za BRICS zisijue au zijue zikae kimya , huu uzezeta wenu tafuten pa kuupeleka
 
In case you didn't know. Kunamakubalianoo yalisainiwa miaka miwili iliyopita kwamba hakuna pande yoyote itamshambulia mwenzie. Palestina kupitia Hamas kavunja makubalino kwa kufanya mashambulizi so huu ni muda wa wao kulia na kusaga meno. Somebody has to bear consequences of his deed.
Israeli siku zote anawaua Wapaletina pamoja na kuwepo hayo makubaliano. Israeli ni magaidi yanayo dekezwa na ulimwengu tu.
 
Sawa, ila kipondo kwa Hamas kinaendelea kama kawaida.
 
Hamas wamechinja watoto wa Israel na kuondoka na mama zao kama mateka na wengine wamechomwa 🔥 wakiwa hai ndani ya nyumba lkn jihadists hawaongelei kabisa hayo wao reaction ya Israel ndio wanaona.

Sasa kwa unafiki huo ngoja waisraeli wawachakaze tu hayo magaidi kwa sababu hawana cha kupoteza.
 
Unashabikia
Unashabikia usichokijua
Izo ni facts mkuu... Nimepresent kama zilivyo.
Kuhusu upande mimi sichukui upande wowote. Hii ni baada ya kupitia documentary moja hivi inayoelezea ile ardhi ilivyokaliwa 1000 BC mpaka siku ya leo.

Kiufupi wote palestina na jews kwenye ile ardhi ni kama wamevamia.

Palestinas waliachwa na Ottoman, Jews wakaletwa na Zion Movement.
 
Back
Top Bottom