Ushauri wa kimaskiniMkuu shida ninayoiona mashariki ya kati ni ubinafsi.
Myahudi anataka aishi na mparestina kama kabila ndani ya Israel na sio taifa.
Na mparestina hataki kabisa kuishi na muisrael hata kumfanya kuwa jirani yake hataki.
Kila mparestina akiañzisha vita ardhi yake inazidi kumegwa mwisho atajikuta hana ardhi kabisa.
Kwa hali ilivyo mparestina angeachana na vita atafute suruhu kwa njia ya mazungumzo.
Huwezi kupigana vita huku umefungwa mikono. Waparestina hawana jeshi wala silaha za kufanya vita na wayahudi. Wanachokifanya hamas ni kuwaongezea shida raia wa parestina.
Hawaongezi kitu bali wanazidi kupoteza
Hamas Wanashambuliwa kimya kimya na Israel ila media za west Huwa haziripoti kabisa.Watu wanadungwa sindano za sumu kimya kimya Israel so mjinga kuingia makubaliano na Hamas ye alitaka awamalize kimya kimya na ndo kitu alikuwa anafanya.Hii Dunia ni zaidi tuijuavoIn case you didn't know. Kunamakubalianoo yalisainiwa miaka miwili iliyopita kwamba hakuna pande yoyote itamshambulia mwenzie. Palestina kupitia Hamas kavunja makubalino kwa kufanya mashambulizi so huu ni muda wa wao kulia na kusaga meno. Somebody has to bear consequences of his deed.
Kumbe ni wasanii, sasa Kuna shida gani harmorapa akisaini waraka. Dua la kuku halimpati mweweWasanii wa kada zote nchini Uiengereza wanaozidi elfu mbili wamesaini waraka kuonesha kukerwa kwao na ukatili wa Israel kwa wapalestina.
Wasanii hao ni pamoja na Tilda Swinton, Steve Coogan, Charles Dance and Maxine Peake.Katika waraka wao huo wamesema wanaitaka Israel isitishe unyama wake mara moja na pia serikali ya UK isitishe misaada yake kwa taifa hilo kwani misaada hiyo ndiyo inayochochea ukatili wa Israel
=====
Actors’ open letter condemns ‘Israel’s war crimes’ but not Hamas massacre
View attachment 2786089
An open letter signed by well-known actors condemning Israeli military actions has been criticised for failing to mention brutal terror attacks carried out by Hamas.
More than 2,000 artists, actors and musicians in the UK, including Tilda Swinton, Steve Coogan, Charles Dance and Maxine Peake, signed the letter.
They called for an immediate ceasefire in Gaza and for “our governments to end their military and political support for Israel’s actions”.
“Our governments are not only tolerating war crimes but aiding and abetting them,” the note, written by Artists for Palestine UK, added.
However, it did not mention the terror group Hamas - or the massacres it carried out earlier this month.
On Wednesday night, a former actor-turned-Tory MP said it was important to address “both sides” and that actors ought to think carefully before weighing in on such a sensitive issue.
Giles Watling, who sits on the culture, media and sport committee, said: “I think it’s a very complicated situation politically and historically and in this case, it is very important to present both sides of the issue.
“We must absolutely condemn the attacks of Hamas on Israel, yes, but of course, I have great sympathy for the Palestinian people and the suffering they have endured.
“But you can’t just present one side and not the other.”
‘Group of misfits and weirdos’
The Clacton MP, best known for his role as Vicar Oswald in the BBC sitcom Bread, added: “Everyone is entitled to a view, but actors will be aware of the powers of their views and they should try to think very carefully when they weigh in on sensitive issues like this.”
Meanwhile, David Mencer, former director of Labour Friends of Israel, went further and described the letter as “drivel”.
Lakini unafaa sana!Ushauri wa kimaskini
Mbona waisraeli walikuwa wanawashambulia na kuchukua maeneo ya wapalestina?In case you didn't know. Kunamakubalianoo yalisainiwa miaka miwili iliyopita kwamba hakuna pande yoyote itamshambulia mwenzie. Palestina kupitia Hamas kavunja makubalino kwa kufanya mashambulizi so huu ni muda wa wao kulia na kusaga meno. Somebody has to bear consequences of his deed.
kwann msitulie mjenge nchi?Hamas hakuinitiate yeye aliendeleza mgogoro wa siku nyingi.
ss hv wasanii wa uingereza ni malaika?sijui umejuwaje kuhushu kulaaniwa kwake.Pamoja na hivyo vitu huwa vinazidiana.Huyu itakuwa kaona wayahudi wanafanya mambo ya laana kuliko yake ndio akajiamini kuwalaani.
kwel umeoza kichwan [emoji23][emoji23][emoji23]Unashabikia
Unashabikia usichokijua
kichwa chako ni bogusUshauri wa kimaskini
ww ujue hlf media za BRICS zisijue au zijue zikae kimya , huu uzezeta wenu tafuten pa kuupelekaHamas Wanashambuliwa kimya kimya na Israel ila media za west Huwa haziripoti kabisa.Watu wanadungwa sindano za sumu kimya kimya Israel so mjinga kuingia makubaliano na Hamas ye alitaka awamalize kimya kimya na ndo kitu alikuwa anafanya.Hii Dunia ni zaidi tuijuavo
Israeli siku zote anawaua Wapaletina pamoja na kuwepo hayo makubaliano. Israeli ni magaidi yanayo dekezwa na ulimwengu tu.In case you didn't know. Kunamakubalianoo yalisainiwa miaka miwili iliyopita kwamba hakuna pande yoyote itamshambulia mwenzie. Palestina kupitia Hamas kavunja makubalino kwa kufanya mashambulizi so huu ni muda wa wao kulia na kusaga meno. Somebody has to bear consequences of his deed.
Round hii nani kaanzisha?Israeli siku zote anawaua Wapaletina pamoja na kuwepo hayo makubaliano. Israeli ni magaidi yanayo dekezwa na ulimwengu tu.
Izo ni facts mkuu... Nimepresent kama zilivyo.Unashabikia
Unashabikia usichokijua