Wasanii zaidi ya 2000 Uingereza wasaini waraka kuilaani Israel

Hili hata hao US wameliktaa, wewe bado umemeza huo uharo wa mgaidi wa kizayuni pole sana.
 
Kwanza hayaruhusu
Wacha wadundane hadi akili ziwakae sawa
Sisi sio wayahudi wenzao wala sio waparestina wenzao.
Hayaruhusu!
Ubinadamu pia haukuhusu ?.Hata wanyama wako wengine huwa wanajali matatizo ya wenzao
 
Ubinadamu pia haukuhusu ?.Hata wanyama wako wengine huwa wanajali matatizo ya wenzao
Tuna matatizo kibao Afrika na hatuyajadili.
Vita kila kona, watu wanauwana kongo huko hata kuongelea tu hatutaki.
Tumeshuupalia ya watu baki ambao hata hatuna asili nao.
Kila kukicha tunajadili Ukrein vs Urusi
Sasa tupo Israel vs parestina
 
Wewe mpumbavu ni nani alimshambulia mwenzake mwanzoni mwa mwaka huu kule Jenin kwa kuua raia ? ,na kuvamia msikiti wa Alqsa na kupiga na kujeruhi waumini ?
Walichofanya Hamas October ilikuwa ni malipizi ya upuuzi walioufanya wazayuni mwaka huu .
Muwe mnakuwa informed ninyi wapuuzi ,hizo smartphones zenu na computer mnaangalia porn tu na kufuatilia umbeya
 
Soma hapo ujue nani alianza kumchukiza mwenzake
 
Huo unajisi uliofanyika Al aqsa moscue ulikuwa ni mwendelezo wa kilichofanyika Jenin , mazayuni walifanya mashambulizi kumi tena kwenye makazi ya raia ,yaliyosongamana .tena kambi ya wakimbizi .
Hii ilikuwa ni july ,mpuuzi wewe na wenzako ambao hamfuatilii mambo
Soma hapo

Ni nani alienda kufanya uvamizi na uharibifu kwenye makazi ya raia ambayo ni kambi ya wakimbizi ?
 
Mnakera sana na mnatia kinyaa , hayo mashambulizi yamefanyika mwezi wa saba na wa tisa ,halafu choko moja linalofukuliwa mtaro linakuja kuropoka hapa " wapalestina wachokozi "
Idiots
 
Unarmed civilians waliouawa kwenye kambi ya wakimbizi pale Jenin kwa kupigwa risasi na wazayuni na waumini waliovamiwa kwenye msikiti wa Al Aqsa na kupigwa vibaya na wengine kuuawa kwa risasi wakati wanaswali wao ni nguruwe sio ?
 
Awabarikiye Israel atabarikiwa, amlaaniye atalaaniwa. Makobazi mnajisumbua bure.
 
Wapigania Allah, kazi mnayo. Mnayempigania hataweza kuwaokoa na upanga wa watoto wa Yakobo.
 
Hamas hakuinitiate yeye aliendeleza mgogoro wa siku nyingi.
Sasa mzee wa Hamas kanda ya Buza mbona unapingana na Hamas wa Cassam Brigade wao wanasema Wamewaua raia na askari wa Israel kwa Sababu ya Ghasia za pale Al aqsa Mosque wakaipa na jina kabisa Operation Al Aqsa Flood au wewe ndio unajua zaidi enh?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…