Walianza form one mpaka wakamalza form four bila kuona Yanga ikichukua ubingwa,samahan nlikosea kutype1.Wanafunz wa kidato Cha tano wanauliza kuwa tangu waanze form one mpaka walimaliza form form hawajawah kuona Yanga unachukia ubingwa!! Weng wao wanashaur ishuke daraja,je mnawaambia nn Hawa watoto??
2.Je hampat aibu kushabkia Tim ambayo haina mbele Wala nyuma ??
Lakini hao hao mbona hawakuwahi kuhoji ni kwanini tangu walipokua darasa la pili(2012) mpaka wanamaliza darasa la saba(2017) hawakuwahi kuiona simba bingwa?1.Wanafunz wa kidato Cha tano wanauliza kuwa tangu waanze form one mpaka walimaliza form form hawajawah kuona Yanga unachukia ubingwa!! Weng wao wanashaur ishuke daraja,je mnawaambia nn Hawa watoto??
2.Je hampat aibu kushabkia Tim ambayo haina mbele Wala nyuma ??
Umetumia nguvu kubwa sana kumjibu kolo kilazaLakini hao hao mbona hawakuwahi kuhoji ni kwanini tangu walipokua darasa la pili(2012) mpaka wanamaliza darasa la saba(2017) hawakuwahi kuiona simba bingwa?
Iweje leo?
Aya ilete hyo taarifa yako sahihi.Taarifa hii sio sahihi ndugu
Hiv wew kuuelew mpira ulianza ukiwa na umri gan??? Achen kukwepa aibu,mtoto Kama Ana miaka 3 anakuwa na ufaham kuhusu mpira ??Lakini hao hao mbona hawakuwahi kuhoji ni kwanini tangu walipokua darasa la pili(2012) mpaka wanamaliza darasa la saba(2017) hawakuwahi kuiona simba bingwa?
Iweje leo?
Sidhani kama mtu akiwa darasa la saba ni mtoto kiasi kwamba hawezi kufuatilia maswala ya soka.Hiv wew kuuelew mpira ulianza ukiwa na umri gan??? Achen kukwepa aibu,mtoto Kama Ana miaka 3 anakuwa na ufaham kuhusu mpira ??
Weng wanaanza kufaham wakiwa form one,achen kukwepa aibu,wajibun madogoSidhani kama mtu akiwa darasa la saba ni mtoto kiasi kwamba hawezi kufuatilia maswala ya soka.
Darasa la saba ni mtu ambaye ana ufahamu kuhusu maswala ya mpira.
Jibu hoja kiongozi..
Em twende taratibu kiongozi..Watoto wanakuwa na uelewa wa mpra wakiwa na miaka angalau 13 ambayo ni miaka ya kuanza form one,kwa hyo tangu watoto Hawa waanze kuelewa kuhusu mpra hawajawah kuiona Yanga ikpata ubingwa
Sijawahi kuulizwa na mtoto ilo swali..Weng wanaanza kufaham wakiwa form one,achen kukwepa aibu,wajibun madogo
waambie wasubiri msimu huu uishe halafu waulize tena swali lao!!!1. Wanafunz wa kidato cha tano wanauliza kuwa tangu waanze form one mpaka walimaliza Form Four hawajawahi kuona Yanga unachukia ubingwa!! Weng wao wanashaur ishuke daraja,je mnawaambia nn Hawa watoto?
2. Je, hampati aibu kushabkia Tim ambayo haina mbele Wala nyuma?
Mimi nilianza kuipenda ac milan tokea nipo shule ya msingi mpaka sasa, kuna kale katoto kadogo majuzi tu kabla ya derby ya kariakoo dogo kataja wachezaji wote wa kikosi cha Yanga halafu ukimcheki ni mtoto mdogo wa miaka takribani 7 mpaka 9.Hiv wew kuuelew mpira ulianza ukiwa na umri gan??? Achen kukwepa aibu,mtoto Kama Ana miaka 3 anakuwa na ufaham kuhusu mpira ??