44mg44
JF-Expert Member
- Jun 16, 2019
- 2,158
- 2,186
1. Wanafunz wa kidato cha tano wanauliza kuwa tangu waanze form one mpaka walimaliza Form Four hawajawahi kuona Yanga unachukia ubingwa!! Weng wao wanashaur ishuke daraja,je mnawaambia nn Hawa watoto?
2. Je, hampati aibu kushabkia Tim ambayo haina mbele Wala nyuma?
2. Je, hampati aibu kushabkia Tim ambayo haina mbele Wala nyuma?