Uchaguzi 2020 Washauri wa Lissu mitandaoni wana tatizo kubwa la kiufahamu

Uchaguzi 2020 Washauri wa Lissu mitandaoni wana tatizo kubwa la kiufahamu

Inaonekana mheshimiwa ni mchangiaji mzuri, ila una kasoro ya ushabiki badala kujikita kwenye uchambuzi wa kila mgombea. Kumbuka kuwa wapiga kura ni watanzania tena wengi wao ni vijijini hawajui wa kimataifa. Hivi huwa mnafanya utafiti kwa ujumla wao...
Asante kwa maoni na mtazamo ..umejitahidi sana kuweka mizania lakini bado mahaba ya upande fulani yakakuzidi nguvu...sio kesi kwakuwa ni ngumu mno kuwa neutral kwenye hizi mambo
 
Usitufokee[emoji28][emoji28]
Na bado[emoji1787]
Screenshot_20200807-202804.jpg
 
Ila mkuu kusema ukweli Lissu ajikite kuelezea atatuvushaje hapa tulipo? Siyo lazima aanze kuponda vile vilivyofanywa na CCM, nchi hii wajinga bado wengi wanaoona kujenga mamiundombinu ndio kamaliza. Hivyo akianza kuyaponda hayo mamiundombinu ataharibu! Atueleze namna gani ataleta ajira kwa vijana, mikopo kwa wanafunzi wote, mishahara iliyoboreshwa, uhuru wa kujieleza n.k.
Asante kwa maoni na mtazamo ..umejitahidi sana kuweka mizania lakini bado mahaba ya upande fulani yakakuzidi nguvu...sio kesi kwakuwa ni ngumu mno kuwa neutral kwenye hizi mambo
 
Moja ya vitu anajivunia Mbowe pale chadema ni kuwa na wafuasi mbumbumbu
 
Tangu TUNDU LISSU achaguliwe na chama chake cha CHADEMA kuwania urais wa Jamhuri ya Tanganyika wamejitokeza waswahel washauri wanaomfuatilia kwa karibu mno na kujaribu kushauri kindezi kabisa ama kukosoa kila anachoongea Lissu

Kundi hili ndio lile lililokuwa likijiapiza kuwa Lissu kamwe hawezi kurudi nchini na akithubutu kufanya hivyo ni moja kwa moja selo...hizi tabiri na haya maapizi vyote vimedunda... Lissu is at large..health n sound...!!! Fully energetic...!!!

Zikafuatia shauri na tabiri kuwa hawezi kamwe kuchaguliwa na chama chake kupeperusha bendera ya CDM kwenye kinyanga'anyiro cha urais..fitina, uzushi na mazingaombwe vilikuwa vingi mno...hatimaye kachaguliwa sasa wamebadili gia angani wamegeuka washauri

Chadema sio cha porojo na maneno mingi...wanajua kwanini wamemchagua Lissu. Ambaye ni mwanasheria nguli ngumu sana kumshinda...mpanga na mpangua hoja makini anayejua kwa hakika anachofanya.

Tunatumia nguvu nyingi kumshauri na kumkosoa mtu ambaye kwasasa ni international figure akiwa kafanya press conference nyingi za kimataifa na kuhudhuria interviews nyingi ambazo amezifanya kwa mafanikio makubwa.

Ndugu yangu wewe kachala uko ghetto na bundle ya msaada uliyefeli hata interview ya who are you unajaribu kumshauri mtu aliyekuzidi kila kitu?

Kuna wakati ni sahihi watu kuandika mitazamo na mawazo yao lakini isifike ukampangia mtu cha kusema ama cha kufanya...kila mmoja ana hulka yake...na hulka hazifanani hata kama nyie ni pacha.

Kwa nyakati tulizonazo kwenye hizi siasa za Tanganyika...hatuhitaji tena mtu linient..ni lazima awepo mmoja mahiri ambaye ni hardcore hasa....waswahel wanaita chuma cha pua.

Lissu ni hardcore na ni fearless...tanuri alilopitia limemuongezea ujasiri wa ajabu..amekuja kwa nyakati sahihi na muda anaotakiwa hasa....kwa siasa hizi za Lissu jina la NYUMBU LITAKOMA.

mungu janja janja ...mungu wa kabari na bisibisi mungu wa tofali la kisogo...nyakati sio rafiki tena...sasa ni bandika bandua hoja kwa hoja.....msiwe busy kushauri mpaka mkasahau kuoga.
Kama mlitegeshea hilo mpate pakuropokea mmedunda, ngoja apigwe kwanza kwenye uchaguxi harafu apambane na kesi zake.
 
Tangu TUNDU LISSU achaguliwe na chama chake cha CHADEMA kuwania urais wa Jamhuri ya Tanganyika wamejitokeza waswahel washauri wanaomfuatilia kwa karibu mno na kujaribu kushauri kindezi kabisa ama kukosoa kila anachoongea Lissu

Kundi hili ndio lile lililokuwa likijiapiza kuwa Lissu kamwe hawezi kurudi nchini na akithubutu kufanya hivyo ni moja kwa moja selo...hizi tabiri na haya maapizi vyote vimedunda... Lissu is at large..health n sound...!!! Fully energetic...!!!

Zikafuatia shauri na tabiri kuwa hawezi kamwe kuchaguliwa na chama chake kupeperusha bendera ya CDM kwenye kinyanga'anyiro cha urais..fitina, uzushi na mazingaombwe vilikuwa vingi mno...hatimaye kachaguliwa sasa wamebadili gia angani wamegeuka washauri

Chadema sio cha porojo na maneno mingi...wanajua kwanini wamemchagua Lissu. Ambaye ni mwanasheria nguli ngumu sana kumshinda...mpanga na mpangua hoja makini anayejua kwa hakika anachofanya.

Tunatumia nguvu nyingi kumshauri na kumkosoa mtu ambaye kwasasa ni international figure akiwa kafanya press conference nyingi za kimataifa na kuhudhuria interviews nyingi ambazo amezifanya kwa mafanikio makubwa.

Ndugu yangu wewe kachala uko ghetto na bundle ya msaada uliyefeli hata interview ya who are you unajaribu kumshauri mtu aliyekuzidi kila kitu?

Kuna wakati ni sahihi watu kuandika mitazamo na mawazo yao lakini isifike ukampangia mtu cha kusema ama cha kufanya...kila mmoja ana hulka yake...na hulka hazifanani hata kama nyie ni pacha.

Kwa nyakati tulizonazo kwenye hizi siasa za Tanganyika...hatuhitaji tena mtu linient..ni lazima awepo mmoja mahiri ambaye ni hardcore hasa....waswahel wanaita chuma cha pua.

Lissu ni hardcore na ni fearless...tanuri alilopitia limemuongezea ujasiri wa ajabu..amekuja kwa nyakati sahihi na muda anaotakiwa hasa....kwa siasa hizi za Lissu jina la NYUMBU LITAKOMA.

mungu janja janja ...mungu wa kabari na bisibisi mungu wa tofali la kisogo...nyakati sio rafiki tena...sasa ni bandika bandua hoja kwa hoja.....msiwe busy kushauri mpaka mkasahau kuoga.
Muulize kwanza hapo mwanzo alisema ahakikishiwe usalama wake na serikali ndipo atakuja ,swali je sasa amehakikishiwa usalama,mlaumu Tundu Lissu kwa uoga na unafiki wake na si watu wa mitandaoni.
 
Tangu TUNDU LISSU achaguliwe na chama chake cha CHADEMA kuwania urais wa Jamhuri ya Tanganyika wamejitokeza waswahel washauri wanaomfuatilia kwa karibu mno na kujaribu kushauri kindezi kabisa ama kukosoa kila anachoongea Lissu

Kundi hili ndio lile lililokuwa likijiapiza kuwa Lissu kamwe hawezi kurudi nchini na akithubutu kufanya hivyo ni moja kwa moja selo...hizi tabiri na haya maapizi vyote vimedunda... Lissu is at large..health n sound...!!! Fully energetic...!!!

Zikafuatia shauri na tabiri kuwa hawezi kamwe kuchaguliwa na chama chake kupeperusha bendera ya CDM kwenye kinyanga'anyiro cha urais..fitina, uzushi na mazingaombwe vilikuwa vingi mno...hatimaye kachaguliwa sasa wamebadili gia angani wamegeuka washauri

Chadema sio cha porojo na maneno mingi...wanajua kwanini wamemchagua Lissu. Ambaye ni mwanasheria nguli ngumu sana kumshinda...mpanga na mpangua hoja makini anayejua kwa hakika anachofanya.

Tunatumia nguvu nyingi kumshauri na kumkosoa mtu ambaye kwasasa ni international figure akiwa kafanya press conference nyingi za kimataifa na kuhudhuria interviews nyingi ambazo amezifanya kwa mafanikio makubwa.

Ndugu yangu wewe kachala uko ghetto na bundle ya msaada uliyefeli hata interview ya who are you unajaribu kumshauri mtu aliyekuzidi kila kitu?

Kuna wakati ni sahihi watu kuandika mitazamo na mawazo yao lakini isifike ukampangia mtu cha kusema ama cha kufanya...kila mmoja ana hulka yake...na hulka hazifanani hata kama nyie ni pacha.

Kwa nyakati tulizonazo kwenye hizi siasa za Tanganyika...hatuhitaji tena mtu linient..ni lazima awepo mmoja mahiri ambaye ni hardcore hasa....waswahel wanaita chuma cha pua.

Lissu ni hardcore na ni fearless...tanuri alilopitia limemuongezea ujasiri wa ajabu..amekuja kwa nyakati sahihi na muda anaotakiwa hasa....kwa siasa hizi za Lissu jina la NYUMBU LITAKOMA.

mungu janja janja ...mungu wa kabari na bisibisi mungu wa tofali la kisogo...nyakati sio rafiki tena...sasa ni bandika bandua hoja kwa hoja.....msiwe busy kushauri mpaka mkasahau kuoga.

Winning an election is a lengthy, methodical and track record-driven process. It ain’t a crash program!

I can only advise you to perform a postmortem review after October 2020. You may be disappointed and ashamed...
 
Mkuu hao wanabwatuka tu, baba zao wanaujua ukweli na hawawezi kuruhusu hicho kitu kamwe kitokee maana sio tu watashindwa vibaya bali watapata aibu ya karne.

Dah kuna watu wabishi kiimani aisee. Hivi kweli kabisa unaamini Lissu atamshinda JPM?? Aisee huu muujiza huu nausubiri, Mungu atuweke hai tu tuishuhudie hiyo siku
 
Sio kila watu wanao mshauri lisu hawamtakii mema, wengi ni kwa Nia njia na kumsaidia maana saa nyingine ukiangalia Jambo kiushabiki huwezi kuona mapungufu utajiona uko sahihi kumbe ur wrong. Achukulie ushauri in constructive way maana lisu Kuna Mambo kazidi too much talking Sasa matokeo yake watu wanajua upinzani wako kifujo fujo, aepuke kuwapa adui point za weakness zake bure.
NB Mimi sifungamani na itikadi ya Chama chochote eeeh napenda kuandika Mambo kwa angle tofauti tofauti

Halafu JF ina wanachama kama wajumbe. Mtandaoni watakupamba kinyamaa halafu wakifika mbele ya sanduku la kura peke yao wanakufyekelea mbalii
 
Dah kuna watu wabishi kiimani aisee. Hivi kweli kabisa unaamini Lissu atamshinda JPM?? Aisee huu muujiza huu nausubiri, Mungu atuweke hai tu tuishuhudie hiyo siku

Hahaha... Umeona eeh? Kuna watu wanadhani huu ni uchaguzi wa kamanda wa guerilla fighters!
 
Back
Top Bottom