Washauri wa Rais Magufuli, mshaurini aache kutumia Kiingereza kwenye hadhara

Washauri wa Rais Magufuli, mshaurini aache kutumia Kiingereza kwenye hadhara

Ni aibu kwa rais wa nchi kama Tanzania, ambaye amesoma mpaka chuo kikuu kwa kiingereza, akaishi ulaya, akafanya Phd kwa kiingereza halafu hajui kuongea kiingereza fasaha.

Rais wa nchi ndio kioo cha nchi, kiingereza kibovu cha rais wetu ni aibu kwetu sisi sote. Wasaidizi wa rais wako wapi kumsaidia kumfundisha kiingereza kizuri.
Aliishi Ulaya lini na nchi gani?
 
Rais Magufuli ni mtu anayependa Kiswahili na huwa anapambana sana kukidumisha na kukikuza lakini cha ajabu anapokuwa na wageni wasiofahamu Kiswahili, ana hulka ya kuongea kiswa-nglish...
Duh! Hii lugha kweli ilikuja na meli na kabla haijatukaa sawa ikaondoka upesi na ndege
 
Rais Magufuli ni mtu anayependa Kiswahili na huwa anapambana sana kukidumisha na kukikuza lakini cha ajabu anapokuwa na wageni wasiofahamu Kiswahili, ana hulka ya kuongea kiswa-nglish.

Kiingereza ni lugha ya malkia na ilikuja na meli kwahiyo ni vizuri akaongea lugha ya taifa inayoeleweka sababu wakalimani wapo.

Nukuu:
"We suppose to focus according our direction according our environment that's only way we can help our peoples no body should come and say that his there to save the problems of our peoples we are the one we are leader we suppose to change the direction"
Hapo kaongea nini na kwa kutumia lugha gani bwashe
 
Ni aibu kwa rais wa nchi kama Tanzania, ambaye amesoma mpaka chuo kikuu kwa kiingereza, akaishi ulaya, akafanya Phd kwa kiingereza halafu hajui kuongea kiingereza fasaha.

Rais wa nchi ndio kioo cha nchi, kiingereza kibovu cha rais wetu ni aibu kwetu sisi sote. Wasaidizi wa rais wako wapi kumsaidia kumfundisha kiingereza kizuri.
Hii aibu tuna nafasi ya kuiepuka tarehe 28.10.2020.The ball is in your hands
 
Ni aibu kwa rais wa nchi kama Tanzania, ambaye amesoma mpaka chuo kikuu kwa kiingereza, akaishi ulaya, akafanya Phd kwa kiingereza halafu hajui kuongea kiingereza fasaha.

Rais wa nchi ndio kioo cha nchi, kiingereza kibovu cha rais wetu ni aibu kwetu sisi sote. Wasaidizi wa rais wako wapi kumsaidia kumfundisha kiingereza kizuri.
20201009_005923.jpg


Kudhani kujua kiingereza ni usomi bali ni ushamba na ulimbukeni ,ebu jaribu kumfuatilia Vladimir Putin
 
Sasa kwani ulazimishe kuongea lugha usiyoiweza wakati una nafasi ya kutumia lugha unayoimudu vyema.Nae ni hovyo tu
Sasa ndio kulinganisha na usomi? Kwaiyo msomi lazima hujue kiingereza?
 
Hivi ndio vinini Sasa?

Nukuu:
"We suppose to focus according our direction according our environment that's only way we can help our peoples no body should come and say that his there to save the problems of our peoples we are the one we are leader we suppose to change the direction"

Ras Simba ana ofisi kila sehemu, kwanini anashindwa kukitolea ili kulinda heshima ya Taifa lake?
Uko wapi uzalendo wake?
Maendeleo hayana chama
 
Hivi ndio vinini Sasa?

Nukuu:
"We suppose to focus according our direction according our environment that's only way we can help our peoples no body should come and say that his there to save the problems of our peoples we are the one we are leader we suppose to change the direction"

Ras Simba ana ofisi kila sehemu, kwanini anashindwa kukitolea ili kulinda heshima ya Taifa lake?
Uko wapi uzalendo wake?
Maendeleo hayana chama

Ras Simba akamatwe, anaruhusu vipi haya kutokea huku akijinasibu kwa Kingereza cha kanuni maalumu!
 
Kwani wazungu wote wanaongea kiswahili wanakijua kiswahili?au wazungu wote wanaongea kiingereza wanakijua kiingereza?Practice makes it perfect, mwacheni aendelee kukiongea apate uzoefu na confidence.
Lakini Jiwe hadi PhD ni kiingereza. KWA NINI HAJUI ENGLISH. KWA NINI? ANATUAIBISHA
 
Mtu unapokosoa unapaswa uweke na masahihisho ili tujue alipaswa kusemaje
 
Yeye alishasema ukisema yes au no inatosha.Ila nyie vitoto vya English medium mnasumbua sana.
Ila wanajua Kichina walivhopatia huo Uinginia.....issue hapa inakuwaje unaharibu lugha uliyopatia elimu Hadi Phd kwa kiwango like.....haileti picha nzuri!
Afu Kuna Mmalswi mshenzo Sana alikuwa anatabasamu kwa mbali!
 
Ingekua ni Rais wa nchi nyingine ameongea kiswahili kibovu msingemcheka wala kushangaa ila mtampongeza kwa kujitahidi.

Ila kwa sababu za kisiasa mmeamua kumshikia bango JPM, anyway ndio siasa zilivyo.
Hachekwi kwa sababu ni Rais. Na mfano wako haufanani na uhalisia. Watu wanashangaa mtu ambaye kasoma mpaka kiwango cha Phd kiingereza ikiwa lugha ya kujifunzia na kufanyia mitihani, na akawa mwalimu akifundisha kwa kutumia kiingereza, lakini hakijui kiingereza kwa kiwango kile. Mimi binafsi namhurumia tu kwani si tatizo lake binafsi bali ni tatizo la mfumo wa elimu yetu.

Kiingereza ni lugha tu kama kisukuma au kiswahili. Mbona anafahamu hizi lugha zingine? Vile vile, ukipitia kauli zake, utaona Rais wetu ana tatizo la msingi ambalo si la kujitakia. Ni wa kuhurumiwa tu wala si kuchekwa. Pole Mr. President.
 
Back
Top Bottom