Washauri wa Rais Magufuli, mshaurini aache kutumia Kiingereza kwenye hadhara

Washauri wa Rais Magufuli, mshaurini aache kutumia Kiingereza kwenye hadhara

Mtu mwerevu huficha ujinga wake. Je, anajua kwamba hajui? Kuna haja gani ajitutumue kuzungumza lugha asiyoijua. Mimi sioni tatizo katika kutojua kwake kiingereza, tatizo naliona katika kulazimisha kuzungumza lugha asiyoiweza! Anatuabisha sote kama taifa! Wamwambie hajui kiingereza na si dhambi kutojua kiingereza. Azungumze tu kiswahili! Ni aibu jamani! Wisdom is knowing the limits of your knowledge! Dah!
 
Kwahiyo unamtukuza malkia si ndiyo? Kwani hakuna wazungu wasiokosea Kiswahili?
 
Watanzania wengi hasa tuliosoma masomo ya sayansi hatuko fluent sana kwenye kiingereza cha maongezi, lakini hilo halituzuii kuwa best candidates kwenye taaluma zetu. Mfano, magu anaweza kuwa mwalimu mzuri sana wa chemistry kutokana na recommendations za wanafunzi anaowafundisha.

Maana yake ni kwamba, anaweza ku-deliver contents za hilo somo ambalo mostly linatumia terminologies na akaeleweka sana na wanafunzi wa chemistry. In the same sence anao uwezo mkubwa tu wa kufanya presentation kwa wanataaluma kwenye field yake wakamwelewa na hata kumuuliza maswali au any clarification, na aka-respond bila shida yoyote. Mfano, nilipowasilisha draft yangu ya thesis kwa masupervisor wangu ambao ni waingereza hawaku-recommend kabisa kuipeleka kwa editors wa lugha kwa sababu ilikuwa super.

Sijigambi kuwa nipo vizuri sana kwenye kimalkia hasa ninapotakiwa nifanye maongezi ya kawaida, lakini nilipokuwa nafanya discussion na supervisors wangu walisema my english is good na wananielewa sana. Kuthibitisha hili nilishapata a number of best presenter awards kwenye international conferences ambazo zinakuwa zimefurika wazungu. Haya sasa na wengine tupeni experience yenu kwenye kimalkia ili twende sawa.
 
Ni aibu kwa rais wa nchi kama Tanzania, ambaye amesoma mpaka chuo kikuu kwa kiingereza, akaishi ulaya, akafanya Phd kwa kiingereza halafu hajui kuongea kiingereza fasaha.

Rais wa nchi ndio kioo cha nchi, kiingereza kibovu cha rais wetu ni aibu kwetu sisi sote. Wasaidizi wa rais wako wapi kumsaidia kumfundisha kiingereza kizuri.
Ndalichako nasikia alikuwa na akili sana akapewa scholarship canada na kurukishwa hadi u PHD ila English yake dah yaani ya Diamond, Samatta na Harmonise zipo mbali sana
 
Watanzania wengi hasa tuliosoma masomo ya sayansi hatuko fluent sana kwenye kiingereza cha maongezi, lakini hilo halituzuii kuwa best candidates kwenye taaluma zetu. Mfano, magu anaweza kuwa mwalimu mzuri sana wa chemistry kutokana na recommendations za wanafunzi anaowafundisha.

Maana yake ni kwamba, anaweza ku-deliver contents za hilo somo ambalo mostly linatumia terminologies na akaeleweka sana na wanafunzi wa chemistry. In the same sence anao uwezo mkubwa tu wa kufanya presentation kwa wanataaluma kwenye field yake wakamwelewa na hata kumuuliza maswali au any clarification, na aka-respond bila shida yoyote. Mfano, nilipowasilisha draft yangu ya thesis kwa masupervisor wangu ambao ni waingereza hawaku-recommend kabisa kuipeleka kwa editors wa lugha kwa sababu ilikuwa super.

Sijigambi kuwa nipo vizuri sana kwenye kimalkia hasa ninapotakiwa nifanye maongezi ya kawaida, lakini nilipokuwa nafanya discussion na supervisors wangu walisema my english is good na wananielewa sana. Kuthibitisha hili nilishapata a number of best presenter awards kwenye international conferences ambazo zinakuwa zimefurika wazungu. Haya sasa na wengine tupeni experience yenu kwenye kimalkia ili twende sawa.
Ndiyo maana mtoa mada katoa ushauri kwamba aachane na hiyo lugha
 
Mbona iko poa tu.

Shida ipo wapi kwenye hiyo nukuu.

Em andika ambavyo Alipaswa kusema. Kutoa hiyo message kwa jinsi ulivyoelewa wewe.
 
Mmekosa hoja....Nyie hata kiswahili hamjui sembuse kingereza....!!Upinzani wengi ni vijana mpechempeche marioo wa mjini wapenda vya bure,kingereza wamekijulia Kwenye movie na nyimbo za kina Cellin Dione...Wanaume wa kweli hawezi ongea hoja za kijinga kama hizi...!!
Tell them, wa Mbowe wanasikitisha Sana. Hivi mwenyekiti wenu anajua Kiingereza kweli? Maana kwenye hilo genge lake, vilaza wakutosha.
 
Na bado amejenga

Vituo vya Afya Vya Kutosha
Zahanati za Kutosha
Barabara za Kutosha
Shule za Kutosha
Umeme kila Kijiji
Maji karibu kila Kijiji
Amekusanya kodi
Amewabana mafisadi
Ameongeza nidhamu ya kiutendaji
Anatetea Wanyonge
Anatoa elimu bure
Analinda Rasilimali zetu
Ameishinda Korona kwa uwezo wa Mungu
Anajenga Reli ya Kisasa
Anajenga mradi mkubwa wa Umeme Rufiji
Amejenga Viwanja Vya Ndege
Amenunua Ndege Mpya na kufufua ATCL
Ameimalisha Bandari
Amekarabati Meli na Vivuko
Amejenga Meli & Vivuko


Maajabu kamwe hayataisha nchini kwetu!
 
Nukuu:
"We suppose to focus according our direction according our environment that's only way we can help our peoples no body should come and say that his there to save the problems of our peoples we are the one we are leader we suppose to change the direction"
Kutokujua sio tatizo...., hakuna ajuaye yote...., tatizo ni pale kufanya makosa ambayo yangeweza kuzuilika..., since hii kitu alikiandaa na alijua kwamba atakifanya kweli alishindwa kumuita mdau yoyote aweke sawa mambo ili wadau waweze kuelewa anachomaansha?
 
ndiyo maana mtoa mada katoa ushauri kwamba aachane na hiyo lugha
Ninaloona kwa magu hapendi kusoma hotuba, wanachotakiwa kufanya wasaidizi wake ni kumwandikia summary au point anazotakiwa kuzisemea katika matukio mbalimbali, whether ni kwa kiingereza au kiswahili. Hata mwl. Nyerere alipokuwa anahutubia alikuwa anashika kikaratasi mkononi ambacho anakuwa ameandika points ambazo ilikuwa muhimu kuzielezea katika hadhara husika.
 
Back
Top Bottom