Washauri wa Rais Magufuli, mshaurini aache kutumia Kiingereza kwenye hadhara

Washauri wa Rais Magufuli, mshaurini aache kutumia Kiingereza kwenye hadhara

Shida ipo wapi. Wazingu wenyewe Kiingereza ni shida. Kiswahili ni shida kwa wenzetu pia
 
Nimefanya kazi na wazungu kutoka mataifa tofauti tofauti wanaongea kiswahili broken na wengine kiingereza broken bt wapo very happy and comfrotable about it.

Unakutana na Muhispania au Mrusi anapuyanga na Lugha ya Malkia na yupo comfortable na wazungu wenzake hawamcheki. Infact ht ss ngozi nyeusi tukipuyanga hawatucheki wala kutudharu.

Only African belives kuongea vzuri Lugha ya Malkia ndio sign of excellence.
Utumwa umetufanya tusijiamini na tuamini kua vya mzungu ndo mali.

Watu wana audacity ya kufungua thread ya ku mcritisize mtanzania mwenzao kisa tu haijaimaster lugha ya mzungu...no wonder wazungu hua wanatuita nyani.
Shida ni kwamba toka sekondari mpaka ngazi ya PhD unatumia kiingereza halafu unakuja kuongea broken kiasi hiki

Akichapia mchina wala siwezi kuwa na doubt
 
Nafikiri siyo mfumo tu wa elimu hata yeye anaweza kuwa ana tatizo la uwezo binafsi na inawezekana baadhi ya maeneo alipita sio kwa kukaza msuli. Si bado watu wana hoji hiyo Phd? Sasa huku kwenye Bachelor na Masters tuna jua alipitaje? Je performance yake kwenye inglishi fomu foo ilikuwaje? Who knows?!

Wewe kwa upeo wako ndiyo unaona ni hoja ya kijinga. Hapa tunazungumzia mtu aliyeandika thesis ya kitaalam ya kuhitimu Phd baada ya kufanya utafiti na baadae akawa mwalimu akifundisha kwa kutumia lugha ya kiingereza. Aliwezaje kumudu yote hayo wakati hawezi kuongea kiingereza ''cha kuridhisha''? Na wala siongei kile kizuri. Nimekutana na wasomi wengi ambao english inawapiga chenga lakini wakizungumza unaona kabisa wana mwelekeo wa usomi na unaridhika. Yeye ni mweupe pee. Hata maswali rahisi anashindwa kuelewa sembuse kujibu! Something very very wrong with his education!
 
Shida ni kwamba Toka sekondari mpaka ngazi ya PhD unatumia kiingeleza halafu unakuja kuongea broken kiasi hiki. Akichapia mchina Wala siwezi kuwa na doubt
Km umesoma shule zetu hizi za serikali utaelewa aina ya ufundishaji wao wa Lugha ya kiingereza bt km hujapitia siwezi kukulaumu.

Huwezi mpata mwanafunzi aliesoma shule za kata mpaka chuo kikuu alie vzuri ktk Lugha ya Malkia km wapo ni wa kutafuta na tochi.

Kwanza wanafundisha bora liende ( I used to hate all my english teachers kutoka primary mpaka form 4),

Kuna kipindi Mwalimu akikuuinua ujibu swali unachukia kabisa maana hujanyoosha mkono ukihofia kuboronga ila yy kakuinua.

2nd hupati muda wa ku practice hio Lugha. nimesoma na ma TO chuo na mpaka leo mtaani wanaongea broken km kawaida.

Tena sisi tuliokua tunasoma PCM ndo kabisa, unatoboa mahesabu na formulas, mengine unameza kwenye pepa unayatema km yalivyo.
That's how life used to be.
 
Kwa sie tuliosoma sayansi hata simcheki kwakweli tena naona kajitahidi kweli
 
Sio lazima mtu aongee kama mwingereza anaweza kuongea kama Mmarekani au Mhindi.
Yani ushamba wa waafrika wa Tanzania umevuka mipaka kwani lazima mtu aongee kama mwingereza.. Mbona ameeleweka
 
Kingereza sio lugha ya kufundishia kwa wachina,wanasoma Kingereza kama mojawapo ya masomo mengine, lugha yao rasmi na ya kufundishia ni Kichina.
 
Kama umesoma kwa kingereza kutoka kidato cha kwanza hadi ukawa graduate na hujui vizuri kingereza unakubali kwamba mfumo wetu wa elimu una shida?
Kwa hiyo tuchague anaejua kiinglishi sana ili aweze tu kuongea na wazungu au mi sijaelewa mantiki hapo

Mi mwenyewe graduate lkn kiinglishi changu mpka nisilibe na mkono bao,,,

Siku kiinglishi kikikamilisha daraja la busisi ntamtafuta ras simba chap
 
Please mr would tell us in english?
What should I tell you in english? Your shambolic statements will never unveil the burning truth to our esteemed president that,what he speaks in english language is completely sucking
 
Ni aibu kwa rais wa nchi kama Tanzania, ambaye amesoma mpaka chuo kikuu kwa kiingereza, akaishi ulaya, akafanya Phd kwa kiingereza halafu hajui kuongea kiingereza fasaha.

Rais wa nchi ndio kioo cha nchi, kiingereza kibovu cha rais wetu ni aibu kwetu sisi sote. Wasaidizi wa rais wako wapi kumsaidia kumfundisha kiingereza kizuri.
Huwa hashauriwi.
 
Aibu kutokua mu ingereza au aibu ni kutokuongea kiingereza fasaha kama muingereza!!?
Mnatia huruma hamjui tuu mnavyojidhalilisha

Angekuwa mzalendo angeongea kiswahili tu kuliko kuchanganya madafu alafu akaharibu
 
Mkuu nashukuru sana unmeleta hii Nada. Mimi mwenyewe siwezi kujitapa kuwa najua kiingereza vizuri pamoja na kubwa na ka bachelor lakini kusema ukweli PhD wa maganda ya korosho akiongea kiingereza huwa najiona nina nafuu sana. Kweli PhD kaongea kiingereza kibovu sana tena baadhi ya maneno umemfichia kuya nukuu. Shida yake ni pale anapo taka kuonesha kuwa ana kijua kiingereza hapo ndipo anapo ingia mkenge. Matamshi ni ya kiwango cha chini sana kwenye r anaweka l na kwenye l anaweka r. Yuko very poor kwenye tense na diction. Yaani ni shida hata Kiswahili chake pia ni kibovu sana. Nadhani lugha pekee anayo imudu vizuri ni Kisukuma

What are you laughing at ...if your admitting that english is also your problem?

I think you should the last person to blame others!
 
Back
Top Bottom