Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwan wanaokosea, kiswahili ni lugha ya kufundishia kwao? Huu ni utetez wa kitoto sn lazima tukubali bwana mkubwa ana shida kwenye hii lugha....ni wajibu wake kubadilisha mitaala ili tutumie lugha itakayoeleweka kufundishia.Ni aibu kwa kariba yake kushindwa kuzungumza kiingereza cha kawaida.Ingekua ni Rais wa nchi nyingine ameongea kiswahili kibovu msingemcheka wala kushangaa ila mtampongeza kwa kujitahidi.
Ila kwa sababu za kisiasa mmeamua kumshikia bango JPM, anyway ndio siasa zilivyo.
Nakubali mkuu hapo kwenye kuelewa tu maswali mara kadhaa amekua akipuyanga sasa kama tu kuelea swali ni tatizo basi kujibu ndio zaidi, kwakweli akiwa kama raia number one anatutia aibu sana kama taifaWewe kwa upeo wako ndiyo unaona ni hoja ya kijinga. Hapa tunazungumzia mtu aliyeandika thesis ya kitaalam ya kuhitimu Phd baada ya kufanya utafiti na baadae akawa mwalimu akifundisha kwa kutumia lugha ya kiingereza. Aliwezaje kumudu yote hayo wakati hawezi kuongea kiingereza ''cha kuridhisha''? Na wala siongei kile kizuri. Nimekutana na wasomi wengi ambao english inawapiga chenga lakini wakizungumza unaona kabisa wana mwelekeo wa usomi na unaridhika. Yeye ni mweupe pee. Hata maswali rahisi anashindwa kuelewa sembuse kujibu! Something very very wrong with his education!
Kwann anatumia kiingereza wakati hakipandi?Angetumia kiswahili muda wote hakuna ambaye angemtilia shaka usomi wake wangefikiri anadumisha lugha yakeViongozi wengi wakubwa duniani huongea lugha zao, hata wa kwetu afanye hivyo
Tunatarajia azungumze Kiingereza cha Tanzania lakini sio level hii ya broken Tz English. Nimesahau jina la yule profesa aliyemwandikia tasnifu ya phd!!
Cheki huyo jamaa yako eti sereous ni nomino kwa confidence zote kabisaUkirudia kusoma unaelewa ulichokiandika? Wewe ni mfano unaoishi wa victims wa elimu ya kibongobongo!
Kama vyombo vya habari vya Malawi vimeichukuwa, leo magurupu ya WhatsApp yatapasuka mbavu kwa vicheko huko Lilongwe na Blantyre.
Kupatwa kwa lugha ya malkia
Acha kutetea uovu wewe ...niabu raisi Kidhungu chake mugogoroAcha uongo. Magufuli hajawahi kuishi Ulaya.
Kama hujuwi kidhungu huwezi kuwa na aibuUsitujumuishe kwenye dhambi yako.
"Aibu kwetu sote" kivipi??
Aibu kutokua muingereza au aibu ni kutokuongea kiingereza fasaha kama muingereza!!?Ni aibu kwa rais wa nchi kama Tanzania, ambaye amesoma mpaka chuo kikuu kwa kiingereza, akaishi ulaya, akafanya Phd kwa kiingereza halafu hajui kuongea kiingereza fasaha.
Rais wa nchi ndio kioo cha nchi, kiingereza kibovu cha rais wetu ni aibu kwetu sisi sote. Wasaidizi wa rais wako wapi kumsaidia kumfundisha kiingereza kizuri.
Yeye mzalendo lugha ya mabeberu ya nini!?Hakuwa mwalimu wa kiingereza na hiyo Phd yake sio ya lugha hivyo hamna tatizo hapo.
Kwan ukiongea kiingereza ukakosea kuna tatizo gani? Mbona waingereza wanakosea kiswahili? Tutaondoka lini huko kwenye ujinga huo? Kwa hiyo huo nao ni uzi?Hii ni swala ni kubwa sana, haupaswi upanic
So do you share common religion, culture or language with the peoples of republic of Malawi?? kubali tuu should focus na ujenzi wa barabara ,madaraja n.k kidhungu kwake ni mugogoro mdomoni
Sasa unabisha wakati alisema mwenyeweAcha uongo. Magufuli hajawahi kuishi Ulaya.