The Invincible
JF-Expert Member
- May 6, 2006
- 6,006
- 3,275
Not true. Hata sayansi inafundishwa kwa lugha, iwe kiingereza au kiswahili au kichina.Wanasayansi hawahitaji kujua sana lugha hizo mkuu! Ungeniambia kada za sheria na nyingine lakini watu hao wapo hivohivo na wanaeleweka kitaifa na kimataifa! Endelea kukosoa sisi kazi inaendelea
Hiyo PhD (kama anayo kweli) yake si iliandikwa kwa kiingereza? Tena inaweza kuwa na pages zaidi ya 200.