OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Mimi kama sina cha kutetea huwa napita kimya kimya. ukilazimisha unaaibika kama hivi yaani. kwa hiyo hata kama mwalimu wa kemia ndio aseme peoples. PtyuuuuuHakuwa mwalimu wa kiingereza na hiyo Phd yake sio ya lugha hivyo hamna tatizo hapo.
Ni aibu kwa rais wa nchi kama Tanzania, ambaye amesoma mpaka chuo kikuu kwa kiingereza, akaishi ulaya, akafanya Phd kwa kiingereza halafu hajui kuongea kiingereza fasaha.
Rais wa nchi ndio kioo cha nchi, kiingereza kibovu cha rais wetu ni aibu kwetu sisi sote. Wasaidizi wa rais wako wapi kumsaidia kumfundisha kiingereza kizuri.
Kama lugha yako tu inakushinda vipi uanze kumkosoa rais kwa kwa alicho ongea. *Ni kua sio kuwaAnazidiwa hata na mwanangu yuko level ,kweli kuwa uyaone
Magufuli hajui English ,full stop.Kama lugha yako tu inakushinda vipi uanze kumkosoa rais kwa kwa alicho ongea. *Ni kua sio kuwa
Hata ukiteteaje jamaa anatuaibisha watanzaniaMmekosa hoja....Nyie hata kiswahili hamjui sembuse kingereza....!!Upinzani wengi ni vijana mpechempeche marioo wa mjini wapenda vya bure,kingereza wamekijulia Kwenye movie na nyimbo za kina Cellin Dione...Wanaume wa kweli hawezi ongea hoja za kijinga kama hizi...!!
Aibu kubwa sn kwa taifa letuphd zenu hizi zakupeana hazifai
Nimeona mahali you tube kwamba katika Shit hole countries yeye ndio msomi kuliko wote.Ni aibu kwa rais wa nchi kama Tanzania, ambaye amesoma mpaka chuo kikuu kwa kiingereza, akaishi ulaya, akafanya Phd kwa kiingereza halafu hajui kuongea kiingereza fasaha.
Rais wa nchi ndio kioo cha nchi, kiingereza kibovu cha rais wetu ni aibu kwetu sisi sote. Wasaidizi wa rais wako wapi kumsaidia kumfundisha kiingereza kizuri.
Mkuu jamaa ni muongo sana huyo hajawahi kuishi Ulaya labda kama alikuwa anamaanisha Ulaya ya chato.Ni aibu kwa rais wa nchi kama Tanzania, ambaye amesoma mpaka chuo kikuu kwa kiingereza, akaishi ulaya, akafanya Phd kwa kiingereza halafu hajui kuongea kiingereza fasaha.
Rais wa nchi ndio kioo cha nchi, kiingereza kibovu cha rais wetu ni aibu kwetu sisi sote. Wasaidizi wa rais wako wapi kumsaidia kumfundisha kiingereza kizuri.
Mambo yake karibu yote ni ya kuunga unga tu hata hiyo PhD nakumbuka pale mlimani alifanyiwa na akina Dr flani na wote amewapa mavyeo makubwa, ni mtu wa ajabu na wengi bado hawajamjua vizuri, ana mambo makubwa.Ni Tanzania tu maajabu kama haya hupatikana. Sasa piga mahesabu darasani alikuwa anafundishaje!
Hao unaowasema hawajawahi kuwa rais wa nchi wala usiwaongelee labda kama utamsema jkMmekosa hoja....Nyie hata kiswahili hamjui sembuse kingereza....!!Upinzani wengi ni vijana mpechempeche marioo wa mjini wapenda vya bure,kingereza wamekijulia Kwenye movie na nyimbo za kina Cellin Dione...Wanaume wa kweli hawezi ongea hoja za kijinga kama hizi...!!
Inaonekana wanafunzi wake wengi walifeli kutokana na yeye kutokueleweka, na inaoneka alijificha kwenye kuchapa sana. Halafu, inaonekana ndio maana alikimbilia kwenye siasa.Ni Tanzania tu maajabu kama haya hupatikana. Sasa piga mahesabu darasani alikuwa anafundishaje!
Aliwahi kusema kuwa hiyo lugha yeye haijui vizuri? na kama angesema hivyo unadhani ungeweza kuona uzi wowote hapa. Halafu hii ni kawaida wala usipanic, ukishakuwa kiongozi wa nchi hata akichapia sentensi 1 lazima uwe mjadala nchi nzima sio kwa tz tu hata marekaniRais Magufuli ni mtu huru, ni fikra huru. Na hiki ndicho kinachomfanya awe rais bora miongoni mwa marais tuliowahi kuwa nao Tanzania. Anawaza kivyake, anasema anavyotaka iwe kingreza, kiswahili au kisukuma. Akosee au asikosee.
Rais wetu si mtumwa wa mtu yeyote, akili zake hajashikiwa na mtu yeyote. Anafanya anavyoona inafaa popote pale na muda wowote ule.
Ogopa kiongozi anayesema kwa staili ya ajili kuwaridhisha watu fulani au eti aendane na fikra fulani. Political correctness. Ni wabaya maana hawana ubunifu, hawawezi fanya maamuzi magumu, yaani wapo wapo tu kama maroboti ya kikundi fulani cha watu au fikra. Tulipopata uhuru kutoka kwa mkoloni maana yake ilikuwa ni uhuru kamili -- kimwili, kifikra na kimaamuzi.
Hakuna kumuumbua, kwanza sasa anajipanga kutekeleza ilani ambayo tayari wananci wameipitisha.Huyo makamu mwenyekiti wa chadema aanze kufikiria atamsaidiaje boss wake ktk kujenga chama ambacho kitabomoka sana baada ya 20/10Ndio hapo utashangaa ana mrukia Dkt Avemaria Semakafu aliye katika program ya kuinua walimu wa cheti kuwa na diploma kuwa ni mpumbavu sasa dunia ione Mpumbavu wa kweli no yupi hiyu mtu hashauriki ngoja tarehe 28/10 aumbuke ndipo siri zake za upumbavu wake utakavyo anikwa kwa speed ya moto wa petrol
Peoples ndio kiingereza gani mkuuPeoples ya chadema siyo hii ya akina kilaza wa CCM! ile ni peoples'