Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huyo mama urais ulimfuata naa umemkuta Hana uwezo wa kuusimamia.Kuna hii ‘narrative’ inayoendelea sasa hivi kuwa Rais Samia a
usitishe watu wewe onyesha tusi alilotukana.Hii jeuri ya Kumtukana kama si Kumdhihaki Rais na Amiri Jeshi Mkuu umeitoa wapi Ndugu? Kuwa makini sana tafadhali.
huyo jamaa hajielewi, analeta maneno ya kizamani sanaHizo mbona za kitambo sana,usitishe watu dogo.
Babu tale tena, tumepigwa.Wabunge WA ccm..
Kina babutale ndio washauri wake
Kimsingi nasikia hanaga hoja, hata akiwa barazani na mawaziri wake huwa anawauliza mmpejipangaje, akielezwa nasema nendeni mkayatekeleze
Pro Magufuli hawahusiki kabisa. Sema akina January na kundi lake ndiyo walihakikisha kwanza gharama za maisha zinapanda kupitia umeme, tozo etcNinachoona pro-mwendazake wanajua udhaifu wa huyu mama, ndio maana wanam-feed 'maujinga' na anakubali ili 2025 aonekane dhaifu na wamtoe ktk kinyanganyiro cha uraisi, beleave me, time will tell.