Washington, USA: Mahakama yaitupilia mbali rufaa ya familia ya Valambhia dhidi ya Tanzania

Washington, USA: Mahakama yaitupilia mbali rufaa ya familia ya Valambhia dhidi ya Tanzania

Duh unateseka sana

..Mahakama ya Rufaa ya Tanzania ilishaamua kwamba huyo supplier wa silaha alipwe.

..Sasa jiulize kwanini huyu supplier amekwenda kushitaki nje ya nchi wakati alishinda kesi hapa Tanzania?

..Je, serikali yetu imegoma kuheshimu maamuzi ya mahakama ya Rufaa ya Tanzania?
 
Kwahiyo unataka alipwe?dogo acha hizo
..Mahakama ya Rufaa ya Tanzania ilishaamua kwamba huyo supplier wa silaha alipwe.

..Sasa jiulize kwanini huyu supplier amekwenda kushitaki nje ya nchi wakati alishinda kesi hapa Tanzania?

..Je, serikali yetu imegoma kuheshimu maamuzi ya mahakama ya Rufaa ya Tanzania?
 
Kwa uhusika uleule uliyomfanya akasemaga tutashitakiwa.

..tulishtakiwa.

..na ndio maana serikali ikaachana na madai ya usd 191 billion dhidi ya accacia.

..na makinikia bado yanasafirishwa kwenda nje.
 
Kwa uhusika uleule uliyomfanya akasemaga tutashitakiwa.
Hujitambui bado. Soma bandiko Tena. Au hii kesi serikali ilishitaki au ilishitakiwa? Mataga mna kazi ngumu Sana hasa msimu huu usiohitaji mapambio yenu! Tafuteni mbinu nyingine ya kumshangilia vinginevyo mnakwenda kupotea kabisa kwenye siasa za msimu huu!
 
Kweli sisi Watanzania ni watu wa kipekee hapa duniani.Hata masuala ya kesi za kisheria tunaingiza uvyama vya siasa?Sifahamu umekigusisha CHADEMA na Lissu kwa misingi gani kwenye Uzi huu!Ila ni aibu kufanya siasa za kichovu katika issues za kitaifa.
Siamini kama Wakili Msomi kama Mh.Lissu anafurahia Tanzania inavyoshtakiwa shtakiwa kwa uzembe wa watawala arrogant tuliokuwa nao tangia enzi za Tanganyika,wanaingia mikataba ya hovyo kwa niaba ya nchi na hawawezi kutimiza hizo terms kwa tamaa zao ndipo zinazaliwa kesi za ajabu ajabu.Ulikuwepo wakati Bombardier ilipozuiliwa Canada?Watawala arrogant wakataka kuficha issue waimalize kimya kimya.Unafamfahamu aliyewaambia Watanzania kuwa ndege yetu imekamatwa? Nadhani sasa Unafahamu jibu la kwa nini Mh.Lissu hafurahii Tanzania kushtakiwa Ama kuchukia Tanzania ikishinda kesi,mashindano nk.Jiongeze.
Lisu na wenzie pale bungeni ndo walioanzisha siasa za ajabu za kutojali maslahi ya Taifa hasa pale alipoitishia serikali kwamba ingeshitakiwa na MIGA kisa Serikali kuvunja mikataba ya kinyonyaji,Cdm walihusika kumsupport yule mkimbizi hewa
 
Lisu na wenzie pale bungeni ndo walioanzisha siasa za ajabu za kutojali maslahi ya Taifa hasa pale alipoitishia serikali kwamba ingeshitakiwa na MIGA kisa Serikali kuvunja mikataba ya kinyonyaji,Cdm walihusika kumsupport yule mkimbizi hewa
Halafu hiyo MIGA ni taasisi tu ya World Bank ambayo jukumu lake ni kutoa guarantee kwa wawekezaji katika nchi zinazoendelea, lisu alituingiza chaka na stori zake za kushitakiwa miga.
 
Hujitambui bado. Soma bandiko Tena. Au hii kesi serikali ilishitaki au ilishitakiwa? Mataga mna kazi ngumu Sana hasa msimu huu usiohitaji mapambio yenu! Tafuteni mbinu nyingine ya kumshangilia vinginevyo mnakwenda kupotea kabisa kwenye siasa za msimu huu!
Nisome tena nini wakati nilichokiandika hujakielewa. Maadamu chama bado kinaendelea kinaongoza hakuna kilichoharibika sijui wewe.
 
Lisu na wenzie pale bungeni ndo walioanzisha siasa za ajabu za kutojali maslahi ya Taifa hasa pale alipoitishia serikali kwamba ingeshitakiwa na MIGA kisa Serikali kuvunja mikataba ya kinyonyaji,Cdm walihusika kumsupport yule mkimbizi hewa

..siyo kweli.

..Lissu ni kati ya Watz wa kwanza kabisa kupaza sauti kwamba mikataba ya madini ni mibaya.

..Na hakuna wakati Lissu ametetea makampuni ya madini na unyonyaji wao hapa nchini.

..Alichokisema Lissu, na ambacho kinapotoshwa, ni kwamba ripoti za uchunguzi zilikuwa za kizushi na zenye kulidhalilisha taifa.

..Alitutahadharisha kwamba tuking'ang'ania madai ya usd 191 billion tutashitakiwa na tutashindwa kesi hiyo.

..Alichokisema Lissu ndicho kilichotokea kwasababu zifuatazo :-

1. Hatujalipwa usd 191 billion.
2. Accacia waliishitaki serikali, na waliondoa kesi yao baada ya Barrick kufika bei na kuwanunua.
3. Makinikia yanasafirishwa kuchenjuliwa nje ya nchi.
5. Tumesaini mikataba inayoruhusu Barrick kutushitaki ktk mahakama za nje ya nchi.
 
Back
Top Bottom