Washington, USA: Mahakama yaitupilia mbali rufaa ya familia ya Valambhia dhidi ya Tanzania

Umempa za uso,hawa jamaa wanakawaida ya kuchelewa kuelewa(slow learning) wabishi na wàpotoshaji.Wamekariri MIGA aliyowatahadharisha Mh.Lissu ilhali wali surrender.Kawaida ya MATAGA wakikaririshwa basi wote hunena kauli ile ile kila Siku.
CCM imejimilikisha akili za wanachama wake zipo bohari.Wamebakia kuwaza kama walivyoelekezwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…