Nzige Mdudu
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 1,048
- 830
''Mwanaume Kuwa Na Hela Ni Sawa Na Demu Kuwa Mzuri.../ Umasikini Jeuri Ni Msemo Tu Usiuweke Kwenye Akili.../'' - Mwana FAogopa sana mtu anaefundisha vitu ambavyo hata yeye ameshindwa kuviishi!
be careful chief, let pull our effort
Kanawahadaa kaka zetu tuHivi haka kamsemo huwa kana maana gani...?
noted chief , nimeona๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐๐๐๐ Kama una Afya endelea kupambana ila Kwa kuwa uko weak emotianally ni vyema ukawa mbali na hao Jamaa na kwenu pia ikibidi usiende hata huko kanisani maana utakuja kujitundika Bure kisa ujinga wa kujilinganisha na kujikataa.
Mwisho kama kweli mchungaji wenu aliyasema hayo maneno Sina neno jingine zaidi ya kumwita mpumbavu.
mh! [emoji848] huu uzinenda hospitalini: ICU na MOI
utakujafuta andiko lako chap
Amekuambia anatafuta lkn hapatiKwahiyo kwako MAFANIKIO ni kutoa mifuko ya cement au ni Nini ? Hiyo hatua uliyopo umejiweka wewe hapo na sio Mungu
Hiyo hatua kajiweka yeye hapo hivyo Nguvu ya kwenda mbele ipo ndani yake.Amekuambia anatafuta lkn hapati
kweliUsipende kwenda sehemu unayojua utakuna na waliokuzidi mafanikio utajiuwa bure
una maudhiNje ya nyeto bro una akili !!!
Duu[emoji848]Haya maisha ukiamua kujiua au kukata tamaa utakuwa mpuuzi tu, ombaomba wamejazana posta hawana mikono wala miguu wanaomba vishilingi ,wanakula na maisha yanaenda hawakati tamaa
๐๐๐ค๐๐ ๐๐จ๐ฆ๐ฆ๐๐ง๐ญUkitaka kufanikiwa ukiwa Afrika hasa Tanzania lazima uwe mkwepa kodi, mhujumu uchumi, mbadhirifu, mla rushwa na upige madili ya michongo.
Watanzania wengi ni wanafiki sana, Hapa utasikia wengi wanasema mara oooh! Pambana lakini nyuma ya pazia wengi ni wahujumu uchumi..
Walio fanikiwa kihalali barani Afrika ni wachache sana kulinganisha na wengi waliofanikiwa kwa wizi wizi na janja janja.
Mifumo ya kiafrika automatically imekaa kiupigaji.
so poah chiefNoma sana.
๐๐จ๐ง'๐ญ ๐๐จ๐ฆ๐ฉ๐๐ซ๐ ๐ฒ๐จ๐ฎ๐ซ๐ฌ๐๐ฅ๐ ๐ฐ๐ข๐ญ๐ก ๐จ๐ญ๐ก๐๐ซ๐ฌ, ๐ฐ๐ ๐๐จ๐ง'๐ญ ๐ก๐๐ฏ๐ ๐ญ๐ก๐ ๐ฌ๐๐ฆ๐ ๐ฉ๐๐ฉ๐๐ซ ๐ข๐ง ๐ฅ๐ข๐๐Ukiona una wasiwasi na hali yako ya maisha ya sasa jua unajitambua , wapo wengi ni vijana wadogo wameshakata tamaa wanaona ni kawaida tu.
Mbaya zaidi ni pale kujilinganisha kwako na hao walifanikiwa kutakapo kufanya ukate tamaa .
๐ค๐ฐ๐๐ฅ๐ขI understand....Kuna watakaobeza...but as human ni kwl usiangalie ya watu ila Kuna saa unapambana mpaka jasho la mwisho no Kulala halafu inakuwa 0.... Kila mtu na siku yake ya kufanikiwa kubarikiwa au kuwa juu
๐๐๐ฉ๐ ๐ค๐ฎ๐ง๐ ๐ฎ๐ ๐ฎ๐ฆ๐ฎ ๐ฆ๐ค๐ฎ๐ฎ, ๐๐ก๐ ๐ฆ๐ฌ๐ข๐ง๐ ๐ข ๐๐ฉ๐๐ฆ๐๐๐ง๐ ๐ญ๐ฎ ๐ฎ๐ง๐ญ๐ข๐ฅ ๐ญ๐จ ๐ญ๐ก๐ ๐๐ง๐ ๐๐๐๐จ๐ซ๐๐ข๐ง๐ ๐ญ๐จ ๐๐๐ซ๐ฑ๐ข๐ฌ๐ฆHiyo hatua kajiweka yeye hapo hivyo Nguvu ya kwenda mbele ipo ndani yake.
Hii ni kwel mkuu , ila anaweza jifunza kitu.๐๐จ๐ง'๐ญ ๐๐จ๐ฆ๐ฉ๐๐ซ๐ ๐ฒ๐จ๐ฎ๐ซ๐ฌ๐๐ฅ๐ ๐ฐ๐ข๐ญ๐ก ๐จ๐ญ๐ก๐๐ซ๐ฌ, ๐ฐ๐ ๐๐จ๐ง'๐ญ ๐ก๐๐ฏ๐ ๐ญ๐ก๐ ๐ฌ๐๐ฆ๐ ๐ฉ๐๐ฉ๐๐ซ ๐ข๐ง ๐ฅ๐ข๐๐
thank u luluI understand....Kuna watakaobeza...but as human ni kwl usiangalie ya watu ila Kuna saa unapambana mpaka jasho la mwisho no Kulala halafu inakuwa 0.... Kila mtu na siku yake ya kufanikiwa kubarikiwa au kuwa juu