Washkaji wenye Afro mnafanyaje nywele zinakuwa nyingi kiasi hicho

Washkaji wenye Afro mnafanyaje nywele zinakuwa nyingi kiasi hicho

Kuna mafuta ya nywele yanaitwa vaseline ni ya maji... Ukishaoga kausha nywele then paka hayo mafuta.... Hayo mafuta ni unyama mtupu utakuja kunishukuru.... Kachupa kake kanafanana na ka gricelini......

Kadogo kanauzwa 5000/6000 na kubwa ni sh 10000.... NI UNYAMA MTUPU
Ahsante broo
 
mkuu unatumia mafuta gan ya kukuza ndevu na je yanasaidia!

20231113_150032.jpg
 
Mwanaume unatamani kuwa na nywele kama dada zetu aloooo ukizipata hukawii kutamani kuguswa reeeender
 
Mwanaume unatamani kuwa na nywele kama dada zetu aloooo ukizipata hukawii kutamani kuguswa reeeender
Acha kuwa na mawazo ya kizamani ww

Hii ni dunia huru, sio dhambi kutamani anachokipenda.

Kufunga nywele ni hobby Tu ya mtu. Hamuwezi kufanana kifikra.

Kila mtu na style zake, Acha kumkebehi mwenzio.
 
Acha kuwa na mawazo ya kizamani ww

Hii ni dunia huru, sio dhambi kutamani anachokipenda.

Kufunga nywele ni hobby Tu ya mtu. Hamuwezi kufanana kifikra.

Kila mtu na style zake, Acha kumkebehi mwenzio.
Sawa
 
Back
Top Bottom