Gol D Roger
JF-Expert Member
- Sep 16, 2023
- 2,316
- 6,082
- Thread starter
- #61
Ahsante brooKuna mafuta ya nywele yanaitwa vaseline ni ya maji... Ukishaoga kausha nywele then paka hayo mafuta.... Hayo mafuta ni unyama mtupu utakuja kunishukuru.... Kachupa kake kanafanana na ka gricelini......
Kadogo kanauzwa 5000/6000 na kubwa ni sh 10000.... NI UNYAMA MTUPU