Washkaji wenye Afro mnafanyaje nywele zinakuwa nyingi kiasi hicho

Washkaji wenye Afro mnafanyaje nywele zinakuwa nyingi kiasi hicho

Habari [emoji870] [emoji870] [emoji870]

Kuna jambo naomba mnishauri, najua kuna watu humu mnajua mawili matatu kuhusu nywele.

Mm nywele zangu kwa sasa zipo level hii(picha hapo chini) baada ya kuacha kunyoa takribani miezi nane(nanyoa tuu pembeni)

View attachment 2811019

Sasa mm matanio yangu ni kuwa na nywele nyingi sana(afro) kama mshkaji kweny picha hapo chini.

View attachment 2811020

Huwaga natamani sana kuwa na nywele nyingi, nikikutana na mtu ana manywele mengi kama picha hapo juu huwa namwoneaga wivu Sana na namwona kama mtu wa kipekee sana(ni kitu ambacho nakipenda toka utotoni)

Matunzo yangu ya nywele ni ya kawaida, huwa naziosha kila siku na napakaa mafuta, ila nikija kuchana nywele zinakatika kinoma, sometimes huwa naendaga kuchana bafuni kwasababu nikichana room chumba kinajaa manywele, muda mwingine nawaza maybe ndo maana hazikui kwa sababu zinakatika sana.

Kama kuna mtu ana hints zozote za kunipa, please share them.
Usioshe Kila siku.
Ukiosha chana ikiwa mbichi,taratibu.
Isokote uzi,iache ikauke... usipendelee kutumia blow dryer

Tumia steaming,,
Tafuta mafuta mazuri ya nywele..yapo mengi.
Mafuta ya mnyonyo yanajaza nywele ila harufu yake ni mbaya kiasi.
 
Kuoga bila kuoshwa kichwa ni ngumu sana…
Kuna wakati niliweka style ambayo haitakiwi nywele ipate maji, sasa wakati wa kuoga nakuja kushtuka nishajimwagia maji.
Wenzio wanakaa miezi sita bila kuosha kichwa ndio utajua hujui!
 
Habari πŸ– πŸ– πŸ–

Kuna jambo naomba mnishauri, najua kuna watu humu mnajua mawili matatu kuhusu nywele.

Mm nywele zangu kwa sasa zipo level hii(picha hapo chini) baada ya kuacha kunyoa takribani miezi nane(nanyoa tuu pembeni)

View attachment 2811019

Sasa mm matanio yangu ni kuwa na nywele nyingi sana(afro) kama mshkaji kweny picha hapo chini.

View attachment 2811020

Huwaga natamani sana kuwa na nywele nyingi, nikikutana na mtu ana manywele mengi kama picha hapo juu huwa namwoneaga wivu Sana na namwona kama mtu wa kipekee sana(ni kitu ambacho nakipenda toka utotoni)

Matunzo yangu ya nywele ni ya kawaida, huwa naziosha kila siku na napakaa mafuta, ila nikija kuchana nywele zinakatika kinoma, sometimes huwa naendaga kuchana bafuni kwasababu nikichana room chumba kinajaa manywele, muda mwingine nawaza maybe ndo maana hazikui kwa sababu zinakatika sana.

Kama kuna mtu ana hints zozote za kunipa, please share them.
Nikugawie nywele zangu?
Zina asili ya huko mashariki ya kati
 
Tumia mafuta ya belavista, wana akaunti Instagram wanauza online mafuta yao ni mazuri sana na yanajaza nywele na kuzuia kukatika mimi niliwahi tumia.
 
Kuna mafuta ya nywele yanaitwa vaseline ni ya maji... Ukishaoga kausha nywele then paka hayo mafuta.... Hayo mafuta ni unyama mtupu utakuja kunishukuru.... Kachupa kake kanafanana na ka gricelini......

Kadogo kanauzwa 5000/6000 na kubwa ni sh 10000.... NI UNYAMA MTUPU
 
Tumia mafuta ya belavista, wana akaunti Instagram wanauza online mafuta yao ni mazuri sana na yanajaza nywele na kuzuia kukatika mimi niliwahi tumia.
Mkuu unaweza share link
 
Back
Top Bottom