BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
ππππππππ
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
πππππππKOMWE, KOMWEEEE, KOMWEEEEEEEEE π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£
Usioshe Kila siku.Habari [emoji870] [emoji870] [emoji870]
Kuna jambo naomba mnishauri, najua kuna watu humu mnajua mawili matatu kuhusu nywele.
Mm nywele zangu kwa sasa zipo level hii(picha hapo chini) baada ya kuacha kunyoa takribani miezi nane(nanyoa tuu pembeni)
View attachment 2811019
Sasa mm matanio yangu ni kuwa na nywele nyingi sana(afro) kama mshkaji kweny picha hapo chini.
View attachment 2811020
Huwaga natamani sana kuwa na nywele nyingi, nikikutana na mtu ana manywele mengi kama picha hapo juu huwa namwoneaga wivu Sana na namwona kama mtu wa kipekee sana(ni kitu ambacho nakipenda toka utotoni)
Matunzo yangu ya nywele ni ya kawaida, huwa naziosha kila siku na napakaa mafuta, ila nikija kuchana nywele zinakatika kinoma, sometimes huwa naendaga kuchana bafuni kwasababu nikichana room chumba kinajaa manywele, muda mwingine nawaza maybe ndo maana hazikui kwa sababu zinakatika sana.
Kama kuna mtu ana hints zozote za kunipa, please share them.
Kuoga bila kuoshwa kichwa ni ngumu sanaβ¦Tumia mafuta ya nazi asilia,hakikisha usizioshe kila siku wala kuzichanachana hovyo.
Mmefikiria suala la vinasaba?ukoo wenu mna nywele za kutosha?tupo wengi aisee,
youtube ndo hapafai kila mtu anakushauri tofauti
natakaga niwe kama donald gloverπ
naelekea kukata tamaa
Wenzio wanakaa miezi sita bila kuosha kichwa ndio utajua hujui!Kuoga bila kuoshwa kichwa ni ngumu sanaβ¦
Kuna wakati niliweka style ambayo haitakiwi nywele ipate maji, sasa wakati wa kuoga nakuja kushtuka nishajimwagia maji.
zipo za kutoshaMmefikiria suala la vinasaba?ukoo wenu mna nywele za kutosha?
Kama zipo haziitaji Nguvu nyingi zitakuwa tu,kama hazipo hapo utatumia Hela nyingi sanazipo za kutosha
Tafuta moisturizerNywele ninazo sio haba ila tatizo ni ngumu balaa ngumu mno. Nikifuga miezi mitatu au minne nakata tamaa naenda kunyoa maana kuchana inakua kipengele.
Nikugawie nywele zangu?Habari π π π
Kuna jambo naomba mnishauri, najua kuna watu humu mnajua mawili matatu kuhusu nywele.
Mm nywele zangu kwa sasa zipo level hii(picha hapo chini) baada ya kuacha kunyoa takribani miezi nane(nanyoa tuu pembeni)
View attachment 2811019
Sasa mm matanio yangu ni kuwa na nywele nyingi sana(afro) kama mshkaji kweny picha hapo chini.
View attachment 2811020
Huwaga natamani sana kuwa na nywele nyingi, nikikutana na mtu ana manywele mengi kama picha hapo juu huwa namwoneaga wivu Sana na namwona kama mtu wa kipekee sana(ni kitu ambacho nakipenda toka utotoni)
Matunzo yangu ya nywele ni ya kawaida, huwa naziosha kila siku na napakaa mafuta, ila nikija kuchana nywele zinakatika kinoma, sometimes huwa naendaga kuchana bafuni kwasababu nikichana room chumba kinajaa manywele, muda mwingine nawaza maybe ndo maana hazikui kwa sababu zinakatika sana.
Kama kuna mtu ana hints zozote za kunipa, please share them.
Tutatumia process gani mkuu kuhamisha hizo nywele kwanguNikugawie nywele zangu?
Zina asili ya huko mashariki ya kati
ThanksTafuta moisturizer
mkuu unatumia mafuta gan ya kukuza ndevu na je yanasaidia!Kuna mafuta flani hivi ya kukuza ndevu na zinafanya ziwe nyeusi na kunukia natumiaga, nikirudi home ntayapiga picha ntakutumia.
Usiku unasuka mabutu asubuhi unafumuaπKusuka mzee alaf naingiaje kazini.
Mkuu unaweza share linkTumia mafuta ya belavista, wana akaunti Instagram wanauza online mafuta yao ni mazuri sana na yanajaza nywele na kuzuia kukatika mimi niliwahi tumia.
Ndio yanasaidia, nitatuma pichamkuu unatumia mafuta gan ya kukuza ndevu na je yanasaidia!