1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,552
- 13,090
Jamaa anataka atie maji kila cku😂, unawaona wale akina Bob Marley
Hawatii maji kika siku,
Kuna kinyoz mmoja alikuwa anapga kaz katika kiSalon changu,, aiseee ana minywele cjapata ona,, hadi mabinti walikuwa wanataka kujua anafanyaje,, sema jamaa akaanza na kusuka akafu anapga kofia kwa juu,, siku akiamua kuyachana utazani Ludacris😂 ama snopp dogg dogg
Hawatii maji kika siku,
Kuna kinyoz mmoja alikuwa anapga kaz katika kiSalon changu,, aiseee ana minywele cjapata ona,, hadi mabinti walikuwa wanataka kujua anafanyaje,, sema jamaa akaanza na kusuka akafu anapga kofia kwa juu,, siku akiamua kuyachana utazani Ludacris😂 ama snopp dogg dogg