Gol D Roger
JF-Expert Member
- Sep 16, 2023
- 2,316
- 6,082
- Thread starter
-
- #61
Ahsante brooKuna mafuta ya nywele yanaitwa vaseline ni ya maji... Ukishaoga kausha nywele then paka hayo mafuta.... Hayo mafuta ni unyama mtupu utakuja kunishukuru.... Kachupa kake kanafanana na ka gricelini......
Kadogo kanauzwa 5000/6000 na kubwa ni sh 10000.... NI UNYAMA MTUPU
Nywele zangu nzuri ila sio nyingi 😭 😭 😭unataka nywele nzuri au hutaki?😅
Yanaitwaje na yanauzwa bei gani ndgKuna mafuta flani hivi ya kukuza ndevu na zinafanya ziwe nyeusi na kunukia natumiaga, nikirudi home ntayapiga picha ntakutumia.
Itapendeza sana😀Nywele zangu nzuri ila sio nyingi 😭 😭 😭
Au nisuke hayo marasta ya Bob marley kama wewe hapo kweny DP
Na wewe unafuga ndevu?Yanaitwaje na yanauzwa bei gani ndg
Kuna mafuta flani hivi ya kukuza ndevu na zinafanya ziwe nyeusi na kunukia natumiaga, nikirudi home ntayapiga picha ntakutumia.
Wenzio wanakaa miezi sita bila kuosha kichwa ndio utajua hujui!
Kichwa hakitamuacha salama[emoji23]Usiku unasuka mabutu asubuhi unafumua[emoji12]
Acha kuwa na mawazo ya kizamani wwMwanaume unatamani kuwa na nywele kama dada zetu aloooo ukizipata hukawii kutamani kuguswa reeeender
SawaAcha kuwa na mawazo ya kizamani ww
Hii ni dunia huru, sio dhambi kutamani anachokipenda.
Kufunga nywele ni hobby Tu ya mtu. Hamuwezi kufanana kifikra.
Kila mtu na style zake, Acha kumkebehi mwenzio.
Tunakupenda pia!Kichwa kinanuka uvundo,ndio mana napenda sana wanawake wenye wanayoa nywele yani akienda kuoga anaosha na nywele.
yanapatikana wap na bei yake ipoje?
25k ila mm nilimpokonya mshkaji wangu.yanapatikana wap na bei yake ipoje?